Uchaguzi 2020 Mama Maria Nyerere: Nimelazimishwa kuja kuongea, niliwaambia nimekuja kuongeza wingi wa watu, Mkutano wa CCM Musoma

Uchaguzi 2020 Mama Maria Nyerere: Nimelazimishwa kuja kuongea, niliwaambia nimekuja kuongeza wingi wa watu, Mkutano wa CCM Musoma

ungekua unawajua vizuri usinge waita hoe hae kwa taarifa yako sio wenzio wale. Na kama serikali ingekua haiwatendei vema makongoro nyerere asingeongea maneno yale leo pale musoma. Mnapumulia mashine mmekosa kabisa point.
Mmekosa point nyie, mnaokokota wazee ili wazungumze, na amewaumbua kweupeee.
Hadi chakubanga kapanick [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haipo katika maana hiyo mnayotaka ionekane kuwa ipo.

Ingekuwa kampeni za Chadema hapo angekuwa kweli kalazimishwa.

Nashangazwa sana namna msivyoelewa kauli za watu wazima kama hao mara nyingi zinakuwa namna ile.

Itakuwa huko kwenu hamna watu wazima ndio maana mnapata tabu kuwaelewa.

Mwacheni Bibi yetu msimuingize kwenye Mambo yenu.
Ccm inakataliwa na kila mtu timamu, (Ondoa waliyotoka jalalani)
 
View attachment 1559508

"Mimi kwa bahati nzuri pamoja na Wanamara wenzangu sisi ni kundi lile tulilokuja tuongeze idadi ya watu, vichwa viongozeke kwahiyo sikuja kuzungumza chochote wao walinilazimisha kwamba nizungumze nikasema sina lakuzungumza"- Mama Maria Nyerere

Baada ya ujumbe huu mgumu unaonyesha namna watu wanavyolazimishwa kufanya wasichopenda kufanya, naamini viongozi wamekereka kwa sababu polepole katamka maneno haya:

Mama tunajua una majukumu mengi, endapo ukijisikia kuondoka ondoka upo huru Mwenyekiti amekupa baraka zote.

Huyu mama nadhani ni mara ya kwanza anasimamishwa Kwenye jukwaa la kampeni. Tusiwafanyie hivi watu Hawa waliotumika kwa heshima, waacheni wabaki na heshima yao.
View attachment 1559499View attachment 1559500View attachment 1559501View attachment 1559502
BAVICHA HIVI HUWA NI UJINGA AU KUTOKUELEWA .....KWA HIYO UNAVYODHANI MAMA KALAZIMISHWA KWENDA AU
 
Hahahaa
Aibu kwa CCM na Magufuli.
Mama Maria Nyerere kauza mechi leo.
WanaCCM wa mara wamechoka kukokotwa kama ng'ombe wa kulimishwa.
 
Mataga kule Twitter wamepanic sasa hivi wataanza kudai huyo Mama Maria Nyerere kwa sasa anatumiwa na CHADEMA.
 
Upinzani ulishakufa tangu 2015 kama CCM haiku shindwa 2015 itachukua miaka mingi ya wapinzani kuungana kuiangusha CCM.hakuna chama kimojakimoja cha siasa kitaweza kuiangusha CCM.
Jadili hoja
 
Mbona makongoro kawachana sana chadema. Au amjamsikia? Na mama akasema yeye ana mengi makongoro amemaliza kila kitu. CHADEMA acheni Kumchonganisha mama wa watu na serikali. Pambaneni na hali zenu maana mna hali mbaya sana. Sema yule makongoro itakua anatumia kijiti.
poa poa tumekusikia. Turudi kwenye mada husika.
 
Haya ndio matatizo ya hii mitandao vitoto vidogo navyo vina access ya Internet,

Watu wazima hata hatujapata tabu kumuelewa Mama Maria.

She is such a very humble person na sio mwanasiasa kama alivyokuwa mumewe ambaye ni baba wa Taifa.

Lugha za mtiririko wa kisiasa Hana mama yetu , tunampenda na tunashukuru kwa support yake.
At least wewe umeonyesha heshima kwa mama.
 
View attachment 1559508

"Mimi kwa bahati nzuri pamoja na Wanamara wenzangu sisi ni kundi lile tulilokuja tuongeze idadi ya watu, vichwa viongozeke kwahiyo sikuja kuzungumza chochote wao walinilazimisha kwamba nizungumze nikasema sina lakuzungumza"- Mama Maria Nyerere

Baada ya ujumbe huu mgumu unaonyesha namna watu wanavyolazimishwa kufanya wasichopenda kufanya, naamini viongozi wamekereka kwa sababu polepole katamka maneno haya:

Mama tunajua una majukumu mengi, endapo ukijisikia kuondoka ondoka upo huru Mwenyekiti amekupa baraka zote.

Huyu mama nadhani ni mara ya kwanza anasimamishwa Kwenye jukwaa la kampeni. Tusiwafanyie hivi watu Hawa waliotumika kwa heshima, waacheni wabaki na heshima yao.
View attachment 1559499View attachment 1559500View attachment 1559501View attachment 1559502
Fisadi Meko anataka kuabudiwa na kila mtu kwenye nchi hii,
 
Mama wa watu atakuwa ameambiwa kuwa Kigogo 2014 anamfumua vibaya Mama Samia huko Twitter ivyo akaona asiongee maneno mengi asije kuharibu 😂😂😂
Kigogo anasemaje huko twitter, wengine hatujui jinsi ya kutumia huo mtandao
 
Back
Top Bottom