Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
π sasa naachaje kusifia uumbaji wa Mungu?Ukiachilia ukatibu sidhani kama wafaa kuwa hata mlinzi wa kanisani, hufai kabisa π
Kwa hiyo hujaona?Bora macho yetu Wazee hayaoni mbali....vinginevyo ningeongeza dhambi Leo ππππ
Wanawake huwa wanajiremba wakitaka kutoka out akiwa ndani hopeless kabisa halafu anakuwa anajisemeshe wenzako wa nje mbona wananiona mzuri??Ukiwa na access nae mda wote ule uzur hauonekani
Hivi mama mchungaji akikuwekea mkono kichwani ili upokee baraka utafumba macho?π sasa naachaje kusifia uumbaji wa Mungu?
Kama kusema ukweli ni dhambi basi acha niipate hiyo dhambi.
Mama mchungaji ni pisi waendeleze huduma sitakosa ibada
We kaza fuvu watakupandia hewani ASAPMkuu, nina masters ya kutoa fungu la kumi. Watoe namba mengine nitamaliza, mama mchunganji anahitaji sadaka katika kipindi hiki kigumu.
Hebu tuma kwanguMkuu, nina masters ya kutoa fungu la kumi. Watoe namba mengine nitamaliza, mama mchunganji anahitaji sadaka katika kipindi hiki kigumu.
We kaza fuvu watakupandia hewani ASAP
Hawa viumbe ishakua mtihani kuishi naoWanawake huwa wanajiremba wakitaka kutoka out akiwa ndani hopeless kabisa halafu anakuwa anajisemeshe wenzako wa nje mbona wananiona mzuri??
Sijaona Mkuu....na hivi miwani yangu imevunjika ndiyo kabiisaa πKwa hiyo hujaona?
Nilishawaza mbali kabla hata sijamaliza kusoma kichwani nilidhani kichwa kingine , nafumbua naangalia lips πHivi mama mchungaji akikuwekea mkono kichwani ili upokee baraka utafumba macho?
Acha tamaaHizo lips za mama mchungaji π
Acha tamaaAnafanya dhambi, akijiremba hivyo anashawishi waumini kuwaza uzinziπ€£
Sawa mkuuAcha tamaa
Sijui hata kama baba mchungaji anaziwezea...naona kama yuko resi...Hizo lips za mama mchungaji π
Heshima yako chief..Sawa mkuu
Kwema mkuu ? Huyo maza mchungaji wa mchongo ni kishawishiHeshima yako chief..
Siyo waumini ndo tumejaa matamanio kweli?π€£π€£Kwema mkuu ? Huyo maza mchungaji wa mchongo ni kishawishi
Kiumbe dhaifu sana yule mchawi mstaafu sema kwa kuwa hao walikurupukia uchungaji ndio maana yamekuwa hayo na kumpa ubingwa shetani.