Mama mchungaji Qute Mena anena kuhusu kutofautiana na baba mchungaji

Shetani ananguvu sana lakini wanadamu hawalijui hili
 
Swala la mgogo mc pilipili na ben paulo lilikuwa la muda tu

Ben POA kabadili dini Kisha kawa muislamu ila majuz jmaa amekwenda kuekeze kweny ufugaji was nguruwe na mke wa proof j
Ila sijui wagogo wanashida gani kwenye mahusiano wengi wao wanapigwa na vitu vizito utosini.

Sijui ni ushamba?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Huyo toka mwanzo tu alionekana bado anahitaji mambo ya kidunia, hayupo matured. Na kale kajamaa kalijimwaga moyo mno, kalionekana kanampenda sana kuliko kupendwa. Sasa kiko wapi?🤣
 
Dar Es Salaam na watu wake. Wanashindana tu kutupa matukio kila siku. Ila sio mbaya, na huu mgao na hii bei ya sukari bora hata tujipoze kwa habari na mtukio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…