Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee

Enhee
Wamachame wapoje?
Kuna mmoja alisababisha mjomba wangu akajiua...daaaa wale watu ni nomaaa

Wapalesitina achana nao kabisa hahahaha
 
Mkuu.. nikushauri kabisa.. huwezi shindana na mama mkwe. Hutokaa ushinde. Sisi sote ni mama wakwe watarajiwa. Haya madhaifu kwakua tunayapitia basi itapendeza endapo tukajirekebosha pindi tunapokua mama wakwe tusinyanyase mabinti wataokuwa wanaolewa na vijana wetu ili kufuta hii zana ya mama wakwe ni wabaya. Tujifunze kuwa na huruma.

Pia... asilani abadani usibebe mimba. Siyo kigezo cha kumkeep mwanaume. Kuwa single mother si dhambi ila uko tayari?

Endelea kumshawishi mpenzi wako na watu wazima wanaowazunguka wakiwamo viongozi wa dini ili kuweka mambo sawa.

Pia jitahidi kuwa karibu na mama mkwe nafsi yako ikiwa imeridhia. Ukimtembelea usiende bila kapu la vyakula shoo.. mambo yako usimwambie ila jenga urafiki tu.

Zaidi hameni mkaishi mbali zaidi na familia ya mume ili kupata amani or else watawasumbua sana.

Zaidi ya yote... jipe muda na wewe. Usiogope kisa aibu. Hapana. Haya mambo hutokea. Ni sehemu ya maisha. Kama siyo riziki haitakua salama sana. Na maybe siye.

Mungu anakupenda sana. Wewe ni wa thamani sana.
 
Mkuu.. nikushauri kabisa.. huwezi shindana na mama mkwe. Hutokaa ushinde. Sisi sote ni mama wakwe watarajiwa. Haya madhaifu kwakua tunayapitia basi itapendeza endapo tukajirekebosha pindi tunapokua mama wakwe tusinyanyase mabinti wataokuwa wanaolewa na vijana wetu ili kufuta hii zana ya mama wakwe ni wabaya. Tujifunze kuwa na huruma.

Pia... asilani abadani usibebe mimba. Siyo kigezo cha kumkeep mwanaume. Kuwa single mother si dhambi ila uko tayari?

Endelea kumshawishi mpenzi wako na watu wazima wanaowazunguka wakiwamo viongozi wa dini ili kuweka mambo sawa.

Pia jitahidi kuwa karibu na mama mkwe nafsi yako ikiwa imeridhia. Ukimtembelea usiende bila kapu la vyakula shoo.. mambo yako usimwambie ila jenga urafiki tu.

Zaidi hameni mkaishi mbali zaidi na familia ya mume ili kupata amani or else watawasumbua sana.

Zaidi ya yote... jipe muda na wewe. Usiogope kisa aibu. Hapana. Haya mambo hutokea. Ni sehemu ya maisha. Kama siyo riziki haitakua salama sana. Na maybe siye.

Mungu anakupenda sana. Wewe ni wa thamani sana.
Mkuu umetisha sana.. Kiufupi wewe ni wife material

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Kuna mmoja alisababisha mjomba wangu akajiua...daaaa wale watu ni nomaaa

Wapalesitina achana nao kabisa hahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapoje??

Ilikuwaje?
 
Mimi ninaamini ndoa ni ya kati ya watu wawili wanaopendana. Hao wa pembeni ni Ziada tu. Imeandikwa Mwanaume ataachaje na baba yake na ataambatana na mkewe na watakuwa mwili mmoja. Nimefurahi kuwa huyo kijana anakupenda sana na ninakuhakikishia hatokuangusha huyo. Shikaneni na pendaneni mpaka kieleweke. Fungeni ndoa yenu hiyo August 2021 kwa FURAHA zote. Asiyekutaka anywe sumu.
 
Kumbe huwa una ushauri mzuri. Kule kwenye SIASA unaongea mambo ya ajabu sana
Kuna mambo huwa hayalazishwi. Mama na mtoto wana bound ya milele. Mchumba akitenda kinyume na matakwa ya mama ndoa yenu itakua na changamoto nyingi za upumuaji.

Ni afadhali mpate aibu ya kutolewa mahari na kutoolewa kuliko kuishi kwenye ndoa isiyo na amani. Ingekua uko kwenye ligue na mwanamke mwingine ningekishauri usife moyo lakini ligue na mzaa chema ni ngumu sana.
 
Mimi ninaamini ndoa ni ya kati ya watu wawili wanaopendana. Hao wa pembeni ni Ziada tu. Imeandikwa Mwanaume ataachaje na baba yake na ataambatana na mkewe na watakuwa mwili mmoja. Nimefurahi kuwa huyo kijana anakupenda sana na ninakuhakikishia hatokuangusha huyo. Shikaneni na pendaneni mpaka kieleweke. Fungeni ndoa yenu hiyo August 2021 kwa FURAHA zote. Asiyekutaka anywe sumu.
Yaani mama mkwe ambaye ni mama mzazi wa mume wake mtarajiwa anywe sumu?
Una utani wewe!
Mama ana nguvu Sana nyie.

Tumuombee tu kwa Mungu,kama ipo ipo tu!
 
Mimi mama mkubwa wangu Mnayakyusa aligoma kwenda kwneye sherehe ya mwanae kisa kaoa Mchagaa jamaa hata hakujali yanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hadi leo wanadundaa alafu bro kafanikiwa kichiziii yani. Mama ake hajawahi kwenda kwa mwanae hata siku moja yani hataki hata kusikia!! Hapo bro alishazaa na wanawake watatu tofauti ambapo mama yake aliwakataa wawili huyu wa nne bro akasema liwalo na liwee yani

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Tatizo linaweza lisiwe tatizo ila kulifanya tatizo lisionekana linaweza kuwa zaidi ya tatizo
Mwaga mchele kwenu ...waambie kila kitu
Huondoe mzigo wakutaka kulisolve tatizo peke yako
 
Yaani mama mkwe ambaye ni mama mzazi wa mume wake mtarajiwa anywe sumu?
Una utani wewe!
Mama ana nguvu Sana nyie.

Tumuombee tu kwa Mungu,kama ipo ipo tu!
Nguvu gani? Mtu unaongilia mpaka mahusiano ya watoto kisa ukabila? Ingekuwa ni tabia fulani mbaya ningeunga mkono ila siyo ukabila.
Mama hao hao kuna ambao wameingilia ndoa za watoto wao mpaka zinasambaratika. Mama asiyejua kujenga familia SIYO MAMA HUYO ILANI MVUNJA NYUMBA.
 
Habari zenu wapendwa?

Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.

Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10

Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa

Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.

Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,

Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
Pole miss chuga . Lakini hata mimi kidogo nina shida na mabinti wa mlimani !!. Unajua ni kwanini ?. Ni kwa sababu ukimuoa tu atakulazimishe (ki mapenzi) mkajenge Kilimanjaro . Na ki kwetu kujenga kwao na mwanamke, kabla ya kufanya hivyo kwetu ni haramu. Na hapo ndipo ninapo shida.

Mambo mengine mko sawa tu.
 
Mimi mama mkubwa wangu Mnayakyusa aligoma kwenda kwneye sherehe ya mwanae kisa kaoa Mchagaa jamaa hata hakujali yanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hadi leo wanadundaa alafu bro kafanikiwa kichiziii yani. Mama ake hajawahi kwenda kwa mwanae hata siku moja yani hataki hata kusikia!! Hapo bro alishazaa na wanawake watatu tofauti ambapo mama yake aliwakataa wawili huyu wa nne bro akasema liwalo na liwee yani

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Unaona sasa. Yaani mtoto unamkatalia mabinti tena amezaa nao halafu eti utegemee mabinti zako au wajukuu zako wa kike watafanikiwa. Kuna familia mabinti na wajukuu wanazalia tu nyumbani kumbe ukichimbua utakuta ni manunguniko ya mabinti waliozalishwa huko nyuma na kuacha. Akitamka laana inafuata kizazi cha kike mpaka cha nne unashangaa wanazalishwa na hawaolewi.

Mimi wanaopendana makabila tofauti huwa naulizia wazi mbele yao wote kuwa makabila yenu haya mnafahamiana vyema dos and donts? Mnakubali kuyaishi? Wakijibu ndiyo sina pingamizi. Muhimu wapendane na wawe na life vision ya kuwapeleka mbele kimaisha. Full stop.
 
Kweli wakati mwingine maovu tunayoyapanda kwa watu, yanarudi kwa watoto wetu wemyewe wasio na hatia
Unaona sasa. Yaani mtoto unamkatalia mabinti tena amezaa nao halafu eti utegemee mabinti zako au wajukuu zako wa kike watafanikiwa. Kuna familia mabinti na wajukuu wanazalia tu nyumbani kumbe ukichimbua utakuta ni manunguniko ya mabinti waliozalishwa huko nyuma na kuacha. Akitamka laana inafuata kizazi cha kike mpaka cha nne unashangaa wanazalishwa na hawaolewi.

Mimi wanaopendana makabila tofauti huwa naulizia wazi mbele yao wote kuwa makabila yenu haya mnafahamiana vyema dos and donts? Mnakubali kuyaishi? Wakijibu ndiyo sina pingamizi. Muhimu wapendane na wawe na life vision ya kuwapeleka mbele kimaisha. Full stop.
 
Nguvu gani? Mtu unaongilia mpaka mahusiano ya watoto kisa ukabila? Ingekuwa ni tabia fulani mbaya ningeunga mkono ila siyo ukabila.
Mama hao hao kuna ambao wameingilia ndoa za watoto wao mpaka zinasambaratika. Mama asiyejua kujenga familia SIYO MAMA HUYO ILANI MVUNJA NYUMBA.
Huyo mama usidhani hana akili hadi akurupuke tu na kuingilia
 
na nyie wachaga mbadilike tabia zenu ona sasa Yanayowakuta... Ukiwa kule kanda ya ziwa.. Story za wachaga utazisikia sana ukiwa kusini mpaka magharibi ni nyie tu na tabia zenu... Badilikeni bhana mnachowafanyiwa atu wanakiweka kama reference
 
NI KWELI NAMI NATOKEA MIKOA HIYO,

IKO HIVI:

WANAWAKE WENGI/WOTE WA KICHAGA WANAMALEZI KAMA WANAUME FLANI HIVI, TENA BORA UKAISHI NA MWANAUME KULIKO MWANAMKE WA KICHAGA.

HAWANA ZILE SIFA ZA UKIKE KIKE KAMA WANAWAKE WENGINE, NA UKIOA MCHAGA LAZIMA UWE NA MWANAMKE WA PEMBENI (NI LAZIMA, CHUNGUZA). HUYU TAKUFANYA UONEKANE MWANAUME NA ATAKUKAMILISHA KWENYE MAHITAJI YA SEX.

NA NDOA ZENYE KUDUMU ZA WACHAGA NI ZILE ZA WAO KWA WAO, KWANI UTAMADUNI WA JEURI, KIBURI,DHARAU NA UKATILI NI SEHEMU YA MAISHA YAO.LAKINI HIZI ZA MCHANGANYIKO NA MAKABILA MENGINE HAZIDUMU, KWANI TABIA HIZO NI SUMU KALI KWENYE UPENDO. ZINGINE ZIPO TU KWA SBB YA MACHO YA WATU.

NI KWELI HAWA WATU WANAONGOZA KUOLEWA/KUOA NA NI HAWA HAWA WANAONGOZA KWENYE TALAKA. SEMA KWENYE TALAKA HAKUNA MBWEMBWE KAMA HARUSINI.
PITIA TAARIFA ZA MIGOGORO YA NDOA NA TALAKA ZA KKKT, RITA, MAHAKAMA ZA MWANZO, NDOA ZA HAWA WATU SIO, NI CHACHU SANA.

SIONGEI KWA UBAYA, NI VEMA WAO KWA WAO WAKAOANA, KINYUME NA HAPO JIANDAE KWA NDOA NGUMU!
Kuna kaukweli fulani hapa. Kuna binti wa kichagga niliwahi kudate nae. Alikuwa soft siku za kwanza but jinsi tulivyozoeana nikaona anaanza kutaka nipanda kichwani.

Mimi ni mtu wa kupenda sana mahusiano ya kudekezana na kujaliana yaani mwenzangu anapokwazika nitambembeleza hadi basi ili alainike arudi sawa pia nategemea na yeye awe hivyo hivyo kwangu.

Loh, kwa huyu binti nilinoa, alikuwa ananitengenezea swaga zile za kisela ambazo mimi huwa sizielewi kabisa. Yaani mtu ukimind jambo anakukaushia utajua mwenyewe na hata hajali....

Ikafika muda akawa akiamua lake basi hataki kubadilishwa na anakuwa mbogo.

Nikaona huyu hanijui huyu....... Anataka kujua upande wangu wa giza unafananaje.....

Nilichofanya nikakata mawasiliano ghafla tu nikakausha kama wiki nione atarespond vipi, eti nalo likakausha kimya..... Nikamblock kila sehemu nikafutilia mbali namba..... Hadi leo nimeshalisahau.....

Ni mabinti wazuri kwa muonekano na wanafaa kwaajiri ya mgegedo tu, ila ndoa adabu ya mke ni sifuri. Wanataka mwanaume uwe mkorofi. Mimi ukorofi binafsi sipendi, kuongea na mwanamke wangu kama naongea na kuruta wa jeshi sina huo utamaduni....

So kwa sisi ambao tumeshawashtukia tunawatafuna tu ila ndoa wakazitafute huko kishumundu siwezi ishi na mtu kiburi, jeuri na mkosa adabu kwa mume wake.

Maana ipo siku haina jina mtu unaweza amka vibaya ukachapa mtu makofi ukaonekana manyanyasaji wanawake.

Jamii zingine wamejaa kibao..... Ya nini kuhangaika na wachache wasio na adabu kwa mume....
 
Huwajui Wachaga wala hujawahi kuishi nao acha kuleta taharuki.
Mods wanatakiwa kufuta hii comment maana inaleta taharuki
Mimi shuhuda nimeishi moshi na Arusha nimeona. Ndio maana wanaume wa kichagga wanaongea fulani utadhani wanafoka ndio wanaelewana na hao wake zao.....

Mimi siwezi ishi na mwanamke kishari shari. Ni aidha romantic au tusiwe pamoja kabisa.
 
Back
Top Bottom