BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,975
Wewe huna haja na ndoa, una haja na harusi. Kama ni kweli una haja ya ndoa hapo hakuna ndoa fanya mambo mengine tu, ukae ukielewa ukishaolewa wewe ni mali ya mumeo na familia yake. Shupaza shingo hapo.