Bubolwa Chura
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 300
- 560
Pole, ila kuoa mchaga napo inahitaji ujasiri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwendraaaaaa, watu ngangari wao wameumbwa na madini ya chuma cha pua....?!Jichanganye wakupake kimbo na kufa ufe. Kwani makabila mengine hamyaoni? Wachaga wanahitaji watu ngangari, yani ile jino kwa jino.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Utadhani watu wote walioendelea walioa au kuolewa na wachagga.......Hii turufu iliwabeba sana dada zenu kwa kipindi, not anymore.
Sasa huyo sio mwanamke wa kuoa..... Mtu mkipishana anakimbilia kwao hapo umeoa mwanamke au mtoto?!Hawana shida yoyote dada zangu wale..
Tatizo lao ni moja tu, sio wanyonge huwezi kumuonea nae anakua na sauti aka kibass,wanajiamini ukimzungua kesho unamkuta kwao[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wadada wa siku hizi hata kupika hawajui.
Yaani unajikuta utaishi na mzigo maisha yako yote.
Shida zote za Nini?
Hapana mama ndoana tatizo na Mimi niliwaza mwanzo mama wewe Ila Kuna wakati waligombana sana kisa hili swala na Mimi nilimsikia mama mwenyewe simu ilikuwa na sauti na sahivi mtoto wake naye kachanganyikiwa haelewi afanyaje Mimi ndo inanibidi tena nimtie moyo
Kasie Platinums❣️Ukimpenda utamfundisha kupika vile unapenda kula.
Kasie Platinums❣️
Ukweli upi sasa kama na wewe sio zoba?jamaa kuandika ukweli ndo kuleta taharuki?
AiseeMama wakwe kukataa wakamwana ipo sana tu....
Sasa wewe mwanaume wa daaar jichanganye hapo uone [emoji39][emoji39][emoji39]Kwendraaaaaa, watu ngangari wao wameumbwa na madini ya chuma cha pua....?!
Wana kitu gani kibaya sana??mimi mwenyewe mchagga ila sijawafikiri tena kuoa mchagga mwenzangu,
Hapa tatizo kubwa sio kama mama mkwe anakujua unatabia mbaya,ila anaamini wachaga hawafai.ndo tatizo.Kinachoshangaza watu hao ndugu zake hawanijui hata huko mtwara sijawahi kwenda ndomana mtoto wao aliwambia mtu hata hamumjui mnaanza kumchukia na mkikaa nae si itakuwa shughuli, yani nyie acheni tu imefika hatua mama mtu ikipita hata masaa 5 hajapigiwa simu na mwanae utaskia toka uwe na huyo mwanamke umebadilika kitu kidogo ambacho Mimi sihusiki utaskia toka uwe na huyo mwanamke umebadilika me wakati mwingine huwa nacheka tu maana vingine vinachekesha
Ukiwa legelege lazima iwe hivyo! Halafu usisahau mchagga huwa anaondoka na mguu mmoja na mwingine unabaki kwao. Ukiwa ngangari kama sie wananyoka ila ujiweze kielimu na kimapato (hapo ungangari wako utakuwa na maana)Huwa wanatuteka tunakuwa watu wa uchagani.
Yaani unakuta wajukuu wanakujua Moshi kuliko bulongwa huko.
Haya Mambo wazazi wa mikoa hii yanawauma Sana.
Hili liko wazi na linafahamika
Umesahau kuwa na wao wanawake ni wachepukaji maarufuNI KWELI NAMI NATOKEA MIKOA HIYO,
IKO HIVI:
WANAWAKE WENGI/WOTE WA KICHAGA WANAMALEZI KAMA WANAUME FLANI HIVI, TENA BORA UKAISHI NA MWANAUME KULIKO MWANAMKE WA KICHAGA.
HAWANA ZILE SIFA ZA UKIKE KIKE KAMA WANAWAKE WENGINE, NA UKIOA MCHAGA LAZIMA UWE NA MWANAMKE WA PEMBENI (NI LAZIMA, CHUNGUZA). HUYU TAKUFANYA UONEKANE MWANAUME NA ATAKUKAMILISHA KWENYE MAHITAJI YA SEX.
NA NDOA ZENYE KUDUMU ZA WACHAGA NI ZILE ZA WAO KWA WAO, KWANI UTAMADUNI WA JEURI, KIBURI,DHARAU NA UKATILI NI SEHEMU YA MAISHA YAO.LAKINI HIZI ZA MCHANGANYIKO NA MAKABILA MENGINE HAZIDUMU, KWANI TABIA HIZO NI SUMU KALI KWENYE UPENDO. ZINGINE ZIPO TU KWA SBB YA MACHO YA WATU.
NI KWELI HAWA WATU WANAONGOZA KUOLEWA/KUOA NA NI HAWA HAWA WANAONGOZA KWENYE TALAKA. SEMA KWENYE TALAKA HAKUNA MBWEMBWE KAMA HARUSINI.
PITIA TAARIFA ZA MIGOGORO YA NDOA NA TALAKA ZA KKKT, RITA, MAHAKAMA ZA MWANZO, NDOA ZA HAWA WATU SIO, NI CHACHU SANA.
SIONGEI KWA UBAYA, NI VEMA WAO KWA WAO WAKAOANA, KINYUME NA HAPO JIANDAE KWA NDOA NGUMU!
Huyo jamaa hajakosea, ni ukweli unaouma kwa sie tulio naoHuwajui Wachaga wala hujawahi kuishi nao acha kuleta taharuki.
Mods wanatakiwa kufuta hii comment maana inaleta taharuki
Miss chaga hujaolewa hadi leo?Ndio maana nimeomba msaada kwenu mnisaidie ili nisifanye maamuzi ya kijinga coz nmechanganyikiwa siko sawa
Kweli kabisaa Mkuu laana zipo yani...Unaona sasa. Yaani mtoto unamkatalia mabinti tena amezaa nao halafu eti utegemee mabinti zako au wajukuu zako wa kike watafanikiwa. Kuna familia mabinti na wajukuu wanazalia tu nyumbani kumbe ukichimbua utakuta ni manunguniko ya mabinti waliozalishwa huko nyuma na kuacha. Akitamka laana inafuata kizazi cha kike mpaka cha nne unashangaa wanazalishwa na hawaolewi.
Mimi wanaopendana makabila tofauti huwa naulizia wazi mbele yao wote kuwa makabila yenu haya mnafahamiana vyema dos and donts? Mnakubali kuyaishi? Wakijibu ndiyo sina pingamizi. Muhimu wapendane na wawe na life vision ya kuwapeleka mbele kimaisha. Full stop.