Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Kuna mmoja alisababisha mjomba wangu akajiua...daaaa wale watu ni nomaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee
Enhee
Wamachame wapoje?
Mkuu umetisha sana.. Kiufupi wewe ni wife materialMkuu.. nikushauri kabisa.. huwezi shindana na mama mkwe. Hutokaa ushinde. Sisi sote ni mama wakwe watarajiwa. Haya madhaifu kwakua tunayapitia basi itapendeza endapo tukajirekebosha pindi tunapokua mama wakwe tusinyanyase mabinti wataokuwa wanaolewa na vijana wetu ili kufuta hii zana ya mama wakwe ni wabaya. Tujifunze kuwa na huruma.
Pia... asilani abadani usibebe mimba. Siyo kigezo cha kumkeep mwanaume. Kuwa single mother si dhambi ila uko tayari?
Endelea kumshawishi mpenzi wako na watu wazima wanaowazunguka wakiwamo viongozi wa dini ili kuweka mambo sawa.
Pia jitahidi kuwa karibu na mama mkwe nafsi yako ikiwa imeridhia. Ukimtembelea usiende bila kapu la vyakula shoo.. mambo yako usimwambie ila jenga urafiki tu.
Zaidi hameni mkaishi mbali zaidi na familia ya mume ili kupata amani or else watawasumbua sana.
Zaidi ya yote... jipe muda na wewe. Usiogope kisa aibu. Hapana. Haya mambo hutokea. Ni sehemu ya maisha. Kama siyo riziki haitakua salama sana. Na maybe siye.
Mungu anakupenda sana. Wewe ni wa thamani sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mmoja alisababisha mjomba wangu akajiua...daaaa wale watu ni nomaaa
Wapalesitina achana nao kabisa hahahaha
Kuna mambo huwa hayalazishwi. Mama na mtoto wana bound ya milele. Mchumba akitenda kinyume na matakwa ya mama ndoa yenu itakua na changamoto nyingi za upumuaji.
Ni afadhali mpate aibu ya kutolewa mahari na kutoolewa kuliko kuishi kwenye ndoa isiyo na amani. Ingekua uko kwenye ligue na mwanamke mwingine ningekishauri usife moyo lakini ligue na mzaa chema ni ngumu sana.
Yaani mama mkwe ambaye ni mama mzazi wa mume wake mtarajiwa anywe sumu?Mimi ninaamini ndoa ni ya kati ya watu wawili wanaopendana. Hao wa pembeni ni Ziada tu. Imeandikwa Mwanaume ataachaje na baba yake na ataambatana na mkewe na watakuwa mwili mmoja. Nimefurahi kuwa huyo kijana anakupenda sana na ninakuhakikishia hatokuangusha huyo. Shikaneni na pendaneni mpaka kieleweke. Fungeni ndoa yenu hiyo August 2021 kwa FURAHA zote. Asiyekutaka anywe sumu.
Nguvu gani? Mtu unaongilia mpaka mahusiano ya watoto kisa ukabila? Ingekuwa ni tabia fulani mbaya ningeunga mkono ila siyo ukabila.Yaani mama mkwe ambaye ni mama mzazi wa mume wake mtarajiwa anywe sumu?
Una utani wewe!
Mama ana nguvu Sana nyie.
Tumuombee tu kwa Mungu,kama ipo ipo tu!
Pole miss chuga . Lakini hata mimi kidogo nina shida na mabinti wa mlimani !!. Unajua ni kwanini ?. Ni kwa sababu ukimuoa tu atakulazimishe (ki mapenzi) mkajenge Kilimanjaro . Na ki kwetu kujenga kwao na mwanamke, kabla ya kufanya hivyo kwetu ni haramu. Na hapo ndipo ninapo shida.Habari zenu wapendwa?
Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.
Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10
Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa
Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.
Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!,
Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
Unaona sasa. Yaani mtoto unamkatalia mabinti tena amezaa nao halafu eti utegemee mabinti zako au wajukuu zako wa kike watafanikiwa. Kuna familia mabinti na wajukuu wanazalia tu nyumbani kumbe ukichimbua utakuta ni manunguniko ya mabinti waliozalishwa huko nyuma na kuacha. Akitamka laana inafuata kizazi cha kike mpaka cha nne unashangaa wanazalishwa na hawaolewi.Mimi mama mkubwa wangu Mnayakyusa aligoma kwenda kwneye sherehe ya mwanae kisa kaoa Mchagaa jamaa hata hakujali yanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hadi leo wanadundaa alafu bro kafanikiwa kichiziii yani. Mama ake hajawahi kwenda kwa mwanae hata siku moja yani hataki hata kusikia!! Hapo bro alishazaa na wanawake watatu tofauti ambapo mama yake aliwakataa wawili huyu wa nne bro akasema liwalo na liwee yani
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Yaani mama mkwe ambaye ni mama mzazi wa mume wake mtarajiwa anywe sumu?
Una utani wewe!
Mama ana nguvu Sana nyie.
Tumuombee tu kwa Mungu,kama ipo ipo tu!
Unaona sasa. Yaani mtoto unamkatalia mabinti tena amezaa nao halafu eti utegemee mabinti zako au wajukuu zako wa kike watafanikiwa. Kuna familia mabinti na wajukuu wanazalia tu nyumbani kumbe ukichimbua utakuta ni manunguniko ya mabinti waliozalishwa huko nyuma na kuacha. Akitamka laana inafuata kizazi cha kike mpaka cha nne unashangaa wanazalishwa na hawaolewi.
Mimi wanaopendana makabila tofauti huwa naulizia wazi mbele yao wote kuwa makabila yenu haya mnafahamiana vyema dos and donts? Mnakubali kuyaishi? Wakijibu ndiyo sina pingamizi. Muhimu wapendane na wawe na life vision ya kuwapeleka mbele kimaisha. Full stop.
Huyo mama usidhani hana akili hadi akurupuke tu na kuingiliaNguvu gani? Mtu unaongilia mpaka mahusiano ya watoto kisa ukabila? Ingekuwa ni tabia fulani mbaya ningeunga mkono ila siyo ukabila.
Mama hao hao kuna ambao wameingilia ndoa za watoto wao mpaka zinasambaratika. Mama asiyejua kujenga familia SIYO MAMA HUYO ILANI MVUNJA NYUMBA.
Wanadhani mchezo [emoji1787]Watu wanaichukulia poa nguvu ya mama mkwe
Huyo mama usidhani hana akili hadi akurupuke tu na kuingilia
Kuna kaukweli fulani hapa. Kuna binti wa kichagga niliwahi kudate nae. Alikuwa soft siku za kwanza but jinsi tulivyozoeana nikaona anaanza kutaka nipanda kichwani.NI KWELI NAMI NATOKEA MIKOA HIYO,
IKO HIVI:
WANAWAKE WENGI/WOTE WA KICHAGA WANAMALEZI KAMA WANAUME FLANI HIVI, TENA BORA UKAISHI NA MWANAUME KULIKO MWANAMKE WA KICHAGA.
HAWANA ZILE SIFA ZA UKIKE KIKE KAMA WANAWAKE WENGINE, NA UKIOA MCHAGA LAZIMA UWE NA MWANAMKE WA PEMBENI (NI LAZIMA, CHUNGUZA). HUYU TAKUFANYA UONEKANE MWANAUME NA ATAKUKAMILISHA KWENYE MAHITAJI YA SEX.
NA NDOA ZENYE KUDUMU ZA WACHAGA NI ZILE ZA WAO KWA WAO, KWANI UTAMADUNI WA JEURI, KIBURI,DHARAU NA UKATILI NI SEHEMU YA MAISHA YAO.LAKINI HIZI ZA MCHANGANYIKO NA MAKABILA MENGINE HAZIDUMU, KWANI TABIA HIZO NI SUMU KALI KWENYE UPENDO. ZINGINE ZIPO TU KWA SBB YA MACHO YA WATU.
NI KWELI HAWA WATU WANAONGOZA KUOLEWA/KUOA NA NI HAWA HAWA WANAONGOZA KWENYE TALAKA. SEMA KWENYE TALAKA HAKUNA MBWEMBWE KAMA HARUSINI.
PITIA TAARIFA ZA MIGOGORO YA NDOA NA TALAKA ZA KKKT, RITA, MAHAKAMA ZA MWANZO, NDOA ZA HAWA WATU SIO, NI CHACHU SANA.
SIONGEI KWA UBAYA, NI VEMA WAO KWA WAO WAKAOANA, KINYUME NA HAPO JIANDAE KWA NDOA NGUMU!
Mimi shuhuda nimeishi moshi na Arusha nimeona. Ndio maana wanaume wa kichagga wanaongea fulani utadhani wanafoka ndio wanaelewana na hao wake zao.....Huwajui Wachaga wala hujawahi kuishi nao acha kuleta taharuki.
Mods wanatakiwa kufuta hii comment maana inaleta taharuki