Vp maisha yakoje maana hapa watu wanamtisha eti asiolewe kisa mama mkwe kakataaPole sana shemeji, hii changamoto nilishaipitia ila yakwangu ilikuwa pande zote mbili[emoji3] Mama yangu hakutaka nioe mchaga na Baba mkwe nae hakutaka mwanae aolewe na Muislam.
Msimamo wangu na wa mwanamke ndio vilifanya mpaka leo tupo kwenye ndoa miaka 12 sasa.
Leo wanyaki tumepumzishwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Duh [emoji1787]
Tuongee ukweli kwa mtu ambae amefatilia kauli zako toka mwanzo atakundua yafuatayo.Acha tu Hawa wamama wakati mwingine sijui wanakuwaga wachawi wanapewa mashart uko watoto wao wasioe hata sielewi maana kaka ake naye amezaa na mdada wa uko kwao ika Bado mama naye hataki amuoe uyo dada anadai eti ana kiburi na wakati wameshazaa, Aya huyo mmakua mwenzao ana kiburi na Mimi huku ni mchaga yani hana jema hata kidogo hata na mimi ningekuwa mmakuwa Bado angesema labda Mimi mkorofi hakosi sababu ndomana mtoto wake amesema anamjua vizuri mama yake ndomana kachukua maamuzi magumu
Ahahhhah huwa unanifurahisha sana kwenye nyuzi kama hizi za ukabila akitajwa mchaga basi wanyaki mnafuatia.Leo wanyaki tumepumzishwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji851][emoji851][emoji851]Maamuzi anayo mumeo mtarajiwa(mchumba).
Ila angalia miaka 30 mbele, usipokubalika wewe ujue hata wanao, wajukuu wa mama mkwe wako hawatakubalika.
Kama amani hakuna usilazimishe, japo wanaume ni wachache ila bado wako wengi duniani.
Kama una roho ya kupambana ingia ulingoni olewa, ila usilazimishe sasa hivi halafu baada ya miaka 2 ukimbie ndoa kuwa mama mkwe sio... dalili umeziona mapemaaa.
Mapenzi yatakuumiza, ukiyapuuza uliyempenda sana pia unamsahau vilevile na anakuja mwingine anakava nafasi ya jamaa.
NB: Kiukweli nimesoma kichwa cha uzi tuu, uzi wenyewe sijausoma [emoji12][emoji12]
Yaani afadhali maana huwa hatupumui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo wanyaki tumepumzishwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo mama usidhani hana akili hadi akurupuke tu na kuingilia
Aiseee[emoji134]Hana akili tulienda hadi kwa mchungaji kumwelezea Cha kwanza akamuuliza mchumba angu ulishawahi kumpeleka kwenu akakaa na mama yako hata siku 2 tu akamwambia hapana, mchungaji mwenyewe aliishiwa pozi akasema sasa anamchukiaje mtu ambaye hajawahi hata kukaa nae Bora hata angekuwa amekaa naye tu hata siku 1 ningesema labda Kuna vitu kavisoma yani mchungaji nae haelewi maana ni vituko
Ahahhhah huwa unanifurahisha sana kwenye nyuzi kama hizi za ukabila akitajwa mchaga basi wanyaki mnafuatia.
But good enough sijawahi ona ukijibu kwa jazba na makasiriko kama mabinti wakichaga wanavyojibugi.
Huyo mama mzaa chema yeye si anaye mumewe. Sasa kwanini ampangie mwanae asiwe na mwenzake?Kuna mambo huwa hayalazishwi. Mama na mtoto wana bound ya milele. Mchumba akitenda kinyume na matakwa ya mama ndoa yenu itakua na changamoto nyingi za upumuaji.
Ni afadhali mpate aibu ya kutolewa mahari na kutoolewa kuliko kuishi kwenye ndoa isiyo na amani. Ingekua uko kwenye ligue na mwanamke mwingine ningekishauri usife moyo lakini ligue na mzaa chema ni ngumu sana.
Yaani afadhali maana huwa hatupumui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wameamka na wachaga Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseee[emoji134]
Muulizeni ni nini sababu ya yeye kufanya hivyo
Shida kubwa ya mama ni "wachaga". So hata akiletewa malaika wa kichaga, atamkataa tuHana akili tulienda hadi kwa mchungaji kumwelezea Cha kwanza akamuuliza mchumba angu ulishawahi kumpeleka kwenu akakaa na mama yako hata siku 2 tu akamwambia hapana, mchungaji mwenyewe aliishiwa pozi akasema sasa anamchukiaje mtu ambaye hajawahi hata kukaa nae Bora hata angekuwa amekaa naye tu hata siku 1 ningesema labda Kuna vitu kavisoma yani mchungaji nae haelewi maana ni vituko
Huyu mama mkwe nina mashaka atakuwa anatoka huku maana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida kubwa ya mama ni "wachaga". So hata akiletewa malaika wa kichaga, atamkataa tu
Maana muda wowote watarudisha majeshi kwetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu tupumue kidogo, kabla hawajaturudia
Sisi ni mti wenye matunda...Haaha siku si nyingi tutaanzishiwa uzi
Na sionagi kwa kweli cha kunifanya nipovuke, watuache wanyaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahha ni kweli sista.Haaha siku si nyingi tutaanzishiwa uzi
Na sionagi kwa kweli cha kunifanya nipovuke, watuache wanyaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Samahani binti kama nitakuwa nakukwaza......lakini tiba pekee ya jambo lako ni kukaza Moyo na kuachana na huyo kijana.....Mungu atasimama na wewe utampata anayekufaa......inawezekana huyo kijana sio ridhiki yako na Mungu amekuandalia wa kwako.......usitazame nyuma mlipotoka bali tazama mbele unapokwenda.......maisha ya ndoa hali ya kuwa unachukiwa ukweni ni jambo baya sana......usiusikilize moyo kwa sasa bali unatakiwa utangulize akili......kwani mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake.......Kinachoshangaza watu hao ndugu zake hawanijui hata huko mtwara sijawahi kwenda ndomana mtoto wao aliwambia mtu hata hamumjui mnaanza kumchukia na mkikaa nae si itakuwa shughuli, yani nyie acheni tu imefika hatua mama mtu ikipita hata masaa 5 hajapigiwa simu na mwanae utaskia toka uwe na huyo mwanamke umebadilika kitu kidogo ambacho Mimi sihusiki utaskia toka uwe na huyo mwanamke umebadilika me wakati mwingine huwa nacheka tu maana vingine vinachekesha
“Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.”
MMH UMETOKA NAYE MBALI!!!!
WEWE UMETOKA NAYE MBALI KULIKO MAMA YAKE MZAZI?
KANIPOTEZEA MUDA!!!!
KAKUPOTEZEA MUDA NA MAHARI KAPELEKA KWENU?
Kwa kauli zako hizi tu na nyingine nashawishika nami kuamini kuwa HAUNA SIFA
hivyo kabila limetumika tu kama sababu!
na kama ni mama yake basi huyo mama kaona mbali sana!
Jamaa anapaswa amshukuru mno mama yake
na Kama ni kijana mwenyewe basi ameishakusoma A to Z
kauli za namna hii umeandika kwenye uzi JF
Je ulizomtamkia?
ni siri yake tu!
Wengi mkitolewa tu mahari huwa mnaona tayari mmeishaingia kwenye ndoa tayari na hivyo kuanza kuonesha rangi zenu halisi mlizokuwa mmeficha mnatoa makucha yenu sasa.
Naunga mkono maamuzi yake yupo sahihi coz dalili ya mvua daima wanasema kuwa ni mawingu
nalo wingu zito limetanda sasa.
Wanawake wengi kauli zinawaponza sana na mahari wala sio inshu coz hata sadaka huwa zinatolewa!
Kwani wachaga wangapi wameolewa ktk mazingira tena magumu ila hadi Leo hii wapo katika ndoa zao?
Inshu sio uchaga, tatizo ni ulimi wako so kabila limetumika kama excuse tu.