Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

Pole sana shemeji, hii changamoto nilishaipitia ila yakwangu ilikuwa pande zote mbili[emoji3] Mama yangu hakutaka nioe mchaga na Baba mkwe nae hakutaka mwanae aolewe na Muislam.
Msimamo wangu na wa mwanamke ndio vilifanya mpaka leo tupo kwenye ndoa miaka 12 sasa.
Vp maisha yakoje maana hapa watu wanamtisha eti asiolewe kisa mama mkwe kakataa
 
Acha tu Hawa wamama wakati mwingine sijui wanakuwaga wachawi wanapewa mashart uko watoto wao wasioe hata sielewi maana kaka ake naye amezaa na mdada wa uko kwao ika Bado mama naye hataki amuoe uyo dada anadai eti ana kiburi na wakati wameshazaa, Aya huyo mmakua mwenzao ana kiburi na Mimi huku ni mchaga yani hana jema hata kidogo hata na mimi ningekuwa mmakuwa Bado angesema labda Mimi mkorofi hakosi sababu ndomana mtoto wake amesema anamjua vizuri mama yake ndomana kachukua maamuzi magumu
Tuongee ukweli kwa mtu ambae amefatilia kauli zako toka mwanzo atakundua yafuatayo.

1.unachuki na huyo mama mkwe,ni kweli kakutendea usilopenda ila kiukweli hujataka kuvaa viatu vyake zaidi ya kumuatack yeye na ndugu wa mumeo mtarajiwa(kama atakuoa)

2.unakahasira flani ambako jaribu kukapunguza na utafute suluhu,umesema kwenu mmeokoka so sidhani kama unaweza omba Mungu akusaidie na ushaanza kuassume na kuwataja watu kama wachawi.

Mwisho wa siku utaharibu kila kitu.
 
Yani nmekupenda bure sijui kwanini hukuwa baba mkwe wangu hutetei ujinga Yani, hawa wamama tukiwaendekeza utajikuta wanakuharibia maisha mfano mzuri Jana nilimwambia mchumba angu ila Kama hawataki tuachane tu tubaki marafiki akanijibu Yani tukiachana siji kuoa maisha yangu yote itakuwa tu natoka na madem basi atakae eleweka namzalisha kwisha habari mambo ya kuoa sijui kulipa mahari siji kufanya tena ww ndoulikuwa wa kwanza kukupenda hadi nikataka kukuoa Ila baada ya ww sitokaa nioe mpaka nakufa nitafanya umalaya mwanzo mwisho. sasa kwa maneno haya huoni Kama huyu mama anataka kuharibu maisha ya mwanae na ninavyomjua hatooa kweli Mimi mwenyewe nimekuwa nae kwa miaka 6 huu wa saba ndoanataka kunioa huoni mtu wa hivi ni mtata hapo apate mwanamke mwingne mpaka tena amchunguze miaka 7 Kama Mimi nahisi atakuwa tayari mzee
 
Maamuzi anayo mumeo mtarajiwa(mchumba).

Ila angalia miaka 30 mbele, usipokubalika wewe ujue hata wanao, wajukuu wa mama mkwe wako hawatakubalika.

Kama amani hakuna usilazimishe, japo wanaume ni wachache ila bado wako wengi duniani.

Kama una roho ya kupambana ingia ulingoni olewa, ila usilazimishe sasa hivi halafu baada ya miaka 2 ukimbie ndoa kuwa mama mkwe sio... dalili umeziona mapemaaa.

Mapenzi yatakuumiza, ukiyapuuza uliyempenda sana pia unamsahau vilevile na anakuja mwingine anakava nafasi ya jamaa.

NB: Kiukweli nimesoma kichwa cha uzi tuu, uzi wenyewe sijausoma [emoji12][emoji12]
[emoji851][emoji851][emoji851]
 
Leo wanyaki tumepumzishwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani afadhali maana huwa hatupumui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wameamka na wachaga Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hana akili tulienda hadi kwa mchungaji kumwelezea Cha kwanza akamuuliza mchumba angu ulishawahi kumpeleka kwenu akakaa na mama yako hata siku 2 tu akamwambia hapana, mchungaji mwenyewe aliishiwa pozi akasema sasa anamchukiaje mtu ambaye hajawahi hata kukaa nae Bora hata angekuwa amekaa naye tu hata siku 1 ningesema labda Kuna vitu kavisoma yani mchungaji nae haelewi maana ni vituko
Huyo mama usidhani hana akili hadi akurupuke tu na kuingilia
 
Hana akili tulienda hadi kwa mchungaji kumwelezea Cha kwanza akamuuliza mchumba angu ulishawahi kumpeleka kwenu akakaa na mama yako hata siku 2 tu akamwambia hapana, mchungaji mwenyewe aliishiwa pozi akasema sasa anamchukiaje mtu ambaye hajawahi hata kukaa nae Bora hata angekuwa amekaa naye tu hata siku 1 ningesema labda Kuna vitu kavisoma yani mchungaji nae haelewi maana ni vituko
Aiseee[emoji134]
Muulizeni ni nini sababu ya yeye kufanya hivyo
 
Haaha siku si nyingi tutaanzishiwa uzi

Na sionagi kwa kweli cha kunifanya nipovuke, watuache wanyaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahahhhah huwa unanifurahisha sana kwenye nyuzi kama hizi za ukabila akitajwa mchaga basi wanyaki mnafuatia.

But good enough sijawahi ona ukijibu kwa jazba na makasiriko kama mabinti wakichaga wanavyojibugi.
 
Kuna mambo huwa hayalazishwi. Mama na mtoto wana bound ya milele. Mchumba akitenda kinyume na matakwa ya mama ndoa yenu itakua na changamoto nyingi za upumuaji.

Ni afadhali mpate aibu ya kutolewa mahari na kutoolewa kuliko kuishi kwenye ndoa isiyo na amani. Ingekua uko kwenye ligue na mwanamke mwingine ningekishauri usife moyo lakini ligue na mzaa chema ni ngumu sana.
Huyo mama mzaa chema yeye si anaye mumewe. Sasa kwanini ampangie mwanae asiwe na mwenzake?
 
Aiseee[emoji134]
Muulizeni ni nini sababu ya yeye kufanya hivyo
Hana akili tulienda hadi kwa mchungaji kumwelezea Cha kwanza akamuuliza mchumba angu ulishawahi kumpeleka kwenu akakaa na mama yako hata siku 2 tu akamwambia hapana, mchungaji mwenyewe aliishiwa pozi akasema sasa anamchukiaje mtu ambaye hajawahi hata kukaa nae Bora hata angekuwa amekaa naye tu hata siku 1 ningesema labda Kuna vitu kavisoma yani mchungaji nae haelewi maana ni vituko
Shida kubwa ya mama ni "wachaga". So hata akiletewa malaika wa kichaga, atamkataa tu
 
Shida kubwa ya mama ni "wachaga". So hata akiletewa malaika wa kichaga, atamkataa tu
Huyu mama mkwe nina mashaka atakuwa anatoka huku maana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui waliwalishaga sumu gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna rafiki yangu mmoja wa kiume naye ametoka kunipa stori hizohizo juzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haaha siku si nyingi tutaanzishiwa uzi

Na sionagi kwa kweli cha kunifanya nipovuke, watuache wanyaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi ni mti wenye matunda...
Halafu sasa mbona huku tunaongoza kutoa mabinti wanaooleka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila wanavyotuandama sasa[emoji1787][emoji1787]
 
Kinachoshangaza watu hao ndugu zake hawanijui hata huko mtwara sijawahi kwenda ndomana mtoto wao aliwambia mtu hata hamumjui mnaanza kumchukia na mkikaa nae si itakuwa shughuli, yani nyie acheni tu imefika hatua mama mtu ikipita hata masaa 5 hajapigiwa simu na mwanae utaskia toka uwe na huyo mwanamke umebadilika kitu kidogo ambacho Mimi sihusiki utaskia toka uwe na huyo mwanamke umebadilika me wakati mwingine huwa nacheka tu maana vingine vinachekesha
Samahani binti kama nitakuwa nakukwaza......lakini tiba pekee ya jambo lako ni kukaza Moyo na kuachana na huyo kijana.....Mungu atasimama na wewe utampata anayekufaa......inawezekana huyo kijana sio ridhiki yako na Mungu amekuandalia wa kwako.......usitazame nyuma mlipotoka bali tazama mbele unapokwenda.......maisha ya ndoa hali ya kuwa unachukiwa ukweni ni jambo baya sana......usiusikilize moyo kwa sasa bali unatakiwa utangulize akili......kwani mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake.......

Wewe sio kwanza kukutana na kadhia hii na hutakuwa wa mwisho.....halitakuwa jambo geni hata kwa ndugu na wazazi wako zaidi watakutia moyo usonge mbele..........

Hesabu hasara endelea na maisha.....maisha ni mafupi sana kwanini uishi kwa stress wakati raha ipo.....jitoe katika utumwa wa nafsi ili upate furaha ya kweli.......nafsi inakupa furaha ya kusadikika lakini matumizi ya akili unakuwa furaha ya kweli.......

WORD IS ENOUGH FOR THE WISE.....
 
Nyie ndo wale wanaume msiokuwa na misimamo yeye amekaa na Mimi zaidi ya miaka 6 hajaona tatizo lolote kwangu ndomana kaamua tuoane hivyo vitu unavyosema mama yake kaviona ilipaswa avione mchumba wangu na siyo mama yake, soma uzi vizuri acha kukurupuka nimesema Kama ikitokea akiniacha atakuwa kanipotezea muda miaka 6 kuwa na mtu anakucontrol hataki hata utongozwe wala akute text ya mwanaume kwenye simu yangu siyo masihara nimetongozwa sana nimekataa kwajili yake inawezekana ktk wote walionitongoza pengine mmoja wapo angenioa na tungekuwa mbali sana kimaisha ningekuwa hadi na watoto Kama 3 hivi Ila nmewakataa sababu tayari nilikuwa na mtu ndomana nmesema kama akiniacha atakuwa kanipotezea muda mpaka nije nipate tena mtu sahihi tuchunguzane tabia nimpende Kama huyu nahisi hapo itachukua miaka 10 wanaume wenyewe sahivi kila anaye kutongoza ana mke wake anataka tu uwe mchepuko alafu nasema kanipotezea mda unatokwa povu upo serious kweli?
“Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.”

MMH UMETOKA NAYE MBALI!!!!
WEWE UMETOKA NAYE MBALI KULIKO MAMA YAKE MZAZI?

KANIPOTEZEA MUDA!!!!
KAKUPOTEZEA MUDA NA MAHARI KAPELEKA KWENU?

Kwa kauli zako hizi tu na nyingine nashawishika nami kuamini kuwa HAUNA SIFA
hivyo kabila limetumika tu kama sababu!
na kama ni mama yake basi huyo mama kaona mbali sana!
Jamaa anapaswa amshukuru mno mama yake
na Kama ni kijana mwenyewe basi ameishakusoma A to Z
kauli za namna hii umeandika kwenye uzi JF
Je ulizomtamkia?
ni siri yake tu!
Wengi mkitolewa tu mahari huwa mnaona tayari mmeishaingia kwenye ndoa tayari na hivyo kuanza kuonesha rangi zenu halisi mlizokuwa mmeficha mnatoa makucha yenu sasa.

Naunga mkono maamuzi yake yupo sahihi coz dalili ya mvua daima wanasema kuwa ni mawingu
nalo wingu zito limetanda sasa.

Wanawake wengi kauli zinawaponza sana na mahari wala sio inshu coz hata sadaka huwa zinatolewa!
Kwani wachaga wangapi wameolewa ktk mazingira tena magumu ila hadi Leo hii wapo katika ndoa zao?

Inshu sio uchaga, tatizo ni ulimi wako so kabila limetumika kama excuse tu.
 
Back
Top Bottom