Mama mkwe kamtorosha Mke wangu, nifanye nini niko njia panda

Mama mkwe kamtorosha Mke wangu, nifanye nini niko njia panda

Kwao nimeenda hayupo na kuna taarifa nimesikia kwamba ameenda nje ya mkoa japo sina uhakika nazo mimi mwenyewe nawaza nimpotezee kwasababu hataki mawasiliano labda siku akihitaji matumizi ya mtoto atanitafuta yeye mwenyewe
🔨
 
😂😂wanasemaga nunua nguo zakike na chupi kadhaa Anika nje majirani ndo watakusaidia kumrudisha haraka 😀
 
Mtume 1M halafu kausha,wao wenyewe watakutafuta ndani ya wiki hiyo.
Hakuna kitu chenye nguvu kwenye mapenzi zaidi ya pesa.
Jiongeze jombaaa))
 
Chakufanya wewe fanya mambo yako, fanya kila namna mhudumie mwanao tu, kama ni shule aende. Mimi ilinikuta km hiyo, na shida ilikuja kumpata mtoto kuchelewa kuanza shule, na mpk sasa wa rika lake wako madarasa mawili mbele.
 
Chakufanya wewe fanya mambo yako, fanya kila namna mhudumie mwanao tu, kama ni shule aende. Mimi ilinikuta km hiyo, na shida ilikuja kumpata mtoto kuchelewa kuanza shule, na mpk sasa wa rika lake wako madarasa mawili mbele.
Na vipi Mama wa mtoto upo nae au ulimuacha jumla
 
Back
Top Bottom