Pleasepast
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 509
- 848
- Thread starter
- #141
NAKUBALI 😂😂😂Thread ifungwe hapa😂🤣💪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKUBALI 😂😂😂Thread ifungwe hapa😂🤣💪
Mkuu pesa ipo sema wana katabia kakutukuzwa wanataka niwatetemekee na imeshindikanaAtafute pesa aone kama huyo mama mkwe hajamrudishia binti yake huku akimbembeleza kwa kumwambia Baba msamehe mwenzako mtengeneze maisha
Tena Aki nrudisha, Jamaa awe bize na Mambo yake.Atafute pesa aone kama huyo mama mkwe hajamrudishia binti yake huku akimbembeleza kwa kumwambia Baba msamehe mwenzako mtengeneze maisha
NAKUBALI 😂😂 Kiukweli Forum ina umuhimu sana hii.Tena Aki nrudisha, Jamaa awe bize na Mambo yake.
👉Awa ambie ana mengi ya kufanya, so ata waita akiwa free😂🤒
Jasiri haachi asili yake, tegemea na yeye kuwa single mama.Asante sana ni changamoto sana hawa wanawake walio lelewa na Mama peke yake
Kabisa mkuuJasiri haachi asili yake, tegemea na yeye kuwa single mama.
Nimesha toka hukoHuko njiapanda unafanya nini? Ndo unawasubiria?
Mkeo na mama yake lao moja. Achana nao, wasiendelee kuurarua moyo wako mkuu.Kabisa mkuu
Tunza meseji zote za miamala na ukorofi wake.Ndio ninacho kisubiri na nitawashangaa sana kwasababu watamuitaje mtu ambae walimficha mbali na mtoto wake najua lazima wataenda tu kwasababu kwa sasa kinachofanya wawe hivyo ni wana tabia ya kujikweza sana na mm naikataa mazima
Nimeshazifuta zote mkuu sitaki kumbukumbu mbayaTunza meseji zote za miamala na ukorofi wake.
Ipo siku zitakusaidia
Nashukuru sana mpendwa. 👍Mkeo na mama yake lao moja. Achana nao, wasiendelee kuurarua moyo wako mkuu.
Solved JipongezeHabarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Kwenye ofisi ya usitawi popote au pale walipo torokeaNenda ustawi wa jamii utoe taarifa.
Nakili kwamba nilikosea sana lakini ndio kujifunza mkuuUlifanya Ujinga mkubwa sana kwenda kwenye hiyo familia baada ya mkeo kutoroka yani Hukutakiwa hata kufikiria kumtafuta...!! Usirudie kosa piga kimya endelea na mambo yako na Mkeo akirudi peke yake Usimpokeee kamwe mwambie sikutambui kama mke wangu rudi ulipotoka.