Dazla tech
Member
- Nov 10, 2023
- 38
- 19
jaribu kutulia na kuona ni swala la kawaida alafu kama ana kaka zake jaribu kuwatumia ao mana inaonekana amekuelezea vibaya kwa mama yake akiwa na hasira au kwa kukurupuka pole sana kaka mambo yatakua sawa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru jamii forum imenipa ujasiri kiukweli saivi wanajuta wananitafuta na sitaki tena sina huruma tenaMkuu umeonyesha udhaifu wa kuwatak san kuptlza
So wew relax
Nashukuru sana kwakunipa ujasiri kiukweli hiki ndio nimefanya na matunda nayaonaMwanamke hakutaki,mama mkwe hakutaki pia,huoni kama unalazimisha?
Mwisho wa siku ukitiliwa hata sumu ya kukuua taratibutaratibu,watu waje wakuhurumie.
Hebu jiongeze,usifosi,hujui wanakuongeleaje huko waliko,mbaya zaidi majirani yawezekana wanakuona kituko tu.Stand as a real man,show your manhood dude.
Mkuu yani hao kaka zake ndio vinala wa kunitumia sms za kuniachanisha nae yani kwakifupi io familia wana umoja kuhalalisha tabia zake yani ata nilikua nikituma sms kwa mke zinajibiwa na kaka zake kwakifupi amawafoadia zote sasa io hali imenichosha kabisa ngja ashike hamsini zake tujaribu kutulia na kuona ni swala la kawaida alafu kama ana kaka zake jaribu kuwatumia ao mana inaonekana amekuelezea vibaya kwa mama yake akiwa na hasira au kwa kukurupuka pole sana kaka mambo yatakua sawa tu.
Mkuu yani hao kaka zake ndio vinala wa kunitumia sms za kuniachanisha nae yani kwakifupi io familia wana umoja kuhalalisha tabia zake yani ata nilikua nikituma sms kwa mke zinajibiwa na kaka zake kwakifupi amawafoadia zote sasa io hali imenichosha kabisa ngja ashike hamsini zake tujaribu kutulia na kuona ni swala la kawaida alafu kama ana kaka zake jaribu kuwatumia ao mana inaonekana amekuelezea vibaya kwa mama yake akiwa na hasira au kwa kukurupuka pole sana kaka mambo yatakua sawa tu.
Kutakua na tatizo sehemu akiwapata waongee kiutu uzima
Umemuoa, umemlipia mahari?Habarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Kuna wakati kutimiza mahitaji ya kisheria inabidi kufikaMkuu hao watakusaidia nn?
Pia mwanaume kwenda kule ni kamzozo.
Tafuta chombo uweke ndani, hao wanakupima wakiona una watafuta sana ndiyo watazidi kukusumbuaYap yuko na Mama yake tu Baba yake alifariki kipindi mke ni mdogo sana ata hamjui Baba yake
Sijampiga kabisa wala kumtishiaUlimfanya nini mkeo? Ulimpiga au kumtishia maisha?
Nililipa mahari tu mkuu ndoa niliogopaUmemuoa, umemlipia mahari?
Hakika icho ndio nakiwaza kwa sasaTafuta chombo uweke ndani, hao wanakupima wakiona una watafuta sana ndiyo watazidi kukusumbua
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ndio ninacho kisubiri na nitawashangaa sana kwasababu watamuitaje mtu ambae walimficha mbali na mtoto wake najua lazima wataenda tu kwasababu kwa sasa kinachofanya wawe hivyo ni wana tabia ya kujikweza sana na mm naikataa mazimaKata matumizi yote
Kata mawasiliano
Tafuta chombo kipya.
Usipende mtoto kuliko mama yake
Jiandae kuitwa ustawi wa jamii
Wakiona huna shobo nao
Hakika mkuu ngoja akapambane huko yani kwasasa ata huruma sina tenaAchana naye naona anaupenda usingle maza. Kwa kuwa umeshamzalisha hana tena soko.
😂😂😂🤭Unafanya nini hapo njia panda.? Em rudi nyumbani haraka ufanye mambo yako madogomadogo