edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Umepima DNA?Asilimia mia moja ni wa kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepima DNA?Asilimia mia moja ni wa kwangu
Kuna watoto ua hakuna haja ya DNA mkuu yani nikienda nae kupima watasema nataka kusumbua mamlaka tu.Umepima DNA?
Kama ni kweli, na una uhakika kamtorosha,MUOE YEYE MWENYEWEHabarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Ni vichwa box, akili hamna empty setAsante sana ni changamoto sana hawa wanawake walio lelewa na Mama peke yake
Kabisa kaka maana naweza kutaka uyo mtoto kumbe nae akaja kua kama mama yakeKama Mama kama mtoto....hawana akili wote endelea na maisha yako na utafute kipoozeo kingine.
NAKUBALI 👍Ni vichwa box, akili hamna empty set
Chukua hii mkuu bonge la idea. Au kama vipi potezea jumla matapeli hao, alikuja kwenye ndoa kukutapeli tu kaona hutapeliki kaamua kusepa. Piga kimya
Ama kwa hakika mkuu nimejifunza mengi sana sitakaa nirudie tena kwasababu mke na mama yake ni kama mtu wanafanana matendo
Hapo kwao sitakuja kukanyaga tena mkuu hii imeisha kabisa wadau mmenipa nguvu za kukabiliana na hawa majiniTafuta mke mwingine oa,na usiende ukweni kiboya utakuja kufa
Ndio nilikua ivyo mkuu na ndio maana wameona mambo magumu in short nilikataa kutapelika na kuongozwa na familia ya mkeMwanamke ni kama nyoka wa kufugwa utamdhibiti kwa kila namna hata kwa kumng’oa meno kila yaotapo ila iko siku utang’atwa tu!
Mazoea ni mabaya sana hao viumbe usitabirike kwake leo mchekee kesho nuna hadi ajishtukie wiki ijayo kofi la kerbi afu lisilo na sababu kwa kakutana nalo kwa ujumla asikusome ulivyo!
Jitahidi uwe na tabia yako ambayo hata ukweni wajute kuwa na mkwe kama wewe mkia waufyate wao sio wewe hata ham ya kuja kwako iwakose!
Mnaumiza vidole vyenu Bure
Mnamshauri
PUNGUANI WAHED
[emoji16] aiseeh hadi nimejiona nyoko hii ng’ombe kumbe inatuchora manina wallah najuta kuipa ushauri nzi wa kijani huyo lo lote baya limpate!
Mkuu umeonyesha udhaifu wa kuwatak san kuptlzaHabarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
[emoji16][emoji850][emoji3482][emoji2781]Tafuta mke mwingine oa,na usiende ukweni kiboya utakuja kufa