Mama mkwe nimemueleza aje amchukue binti yake kama anaona mimi namtesa

Mama mkwe nimemueleza aje amchukue binti yake kama anaona mimi namtesa

Pole sana
Haya maisha haya
Wanaopendwa hawathamini upendo
Kwa maelezo yako mkeo hakupendi
Pole sana
Pamoja na kipato nilichojaliwa alafu mwanaume akupeleke kwanda shoping hata ya elfu 50
Ni moja ya love mark kubwa sana
Jioni hii wakati tunafunga ofisi akaja boda kaagizwa mzigo
Akakaa kusubir boss wake alipie tukawa tunaongea akasema yeye kwa siku analaza 40,000 ila tatizo wanapenda wanawake ila ela wanapata
Naamini pesa ya kula hakosi kama wewe una boda
Ila HAKUPENDI
Na pia wanawake wengi wanaigana wanavyotunzwa na waume zao
Anataka nae umfanyie hivyo hivyo ni ujinga na kitokuangalia future
Na kuendekeza haya mambo ya kutumzana
Matokeo yake mtoto wa watu unamuumiza tu
SijawH kuwa kwenye situation ya ukata sana ila namshukuru Mungu sio materialistic sana
Sijawahi gombana na mume wangu swala la uchumi kabisa ni mambo mengine
Ana pesa zake na anasimamia jukumu la kutulea familia lakini yakitokea ups and down huwa n muelewa kirahisi sana
Sijakulia maisha ya kitajiri
Gari yangu ya kwanza kuendesha ni ya mume wangu na ya kwanza kumiliki nimemununuliwa n mume wangu ila mambo yooote yanatokea naturally tu
Simforce na simuumizi
Kwa sababu jambo moja ambalo nina uhakika nalo ni kwamba nampenda sana mume wangu

Kaa chini chambua
Utagundua mkeo hakupendi
 
Nataka kukukamatisha makosa wewe mwenyewe.

Ninahisi hivi:
Wakati ukimuoa ulijimwambafy sana kumuonesha uwezo wako mkubwa wa kimaisha upo juu, kwamba upo welloff, hutaki kukopa kwa mtu, wewe ni mboga7 na ulikuwa unamwachia 'maburungutu' wakati ukienda job nk nk.

Hayo yote uliyafanya mwanzo kabisa mwa ndoa yenu, mwenzako akayakariri na sasa dunia imekufosi kubadili mfumo wako.

Huyo mkeo ni aina ya wanawake wanaoitwa 'mama wa nyumbani', kachume ulete, ambaye hatakiwi kushirikishwa chochote katika mitikasi ya utafutaji.

Na mawazo ya kusurvive, yabuni wewe, yatekeleze wewe na usimshirikishe maana yeye hayamhusu, wanawake wa hivyo mbona wapo?

Kutaka kumrejesha kwao utatengeneza migogoro ya kushindwa zaidi.

Tuliza akili zako, jielekeze katika utafutaji wa ridhiki kisha badili life style yako.

Kama kurudi kwao arudi yeye mwenyewe bila ushiriki wako, akisha kuondoka urejee jukwaani hapa ili tukushauri jambo la kufanya.
Sahihi kabisa..
 
Oohh kwahiyo raha wanabeba wote mke na michepuko ila shida ndio abebe mke peke yake, mwanaume anayestahili kuvumiliwa akifilisika ni yule ambaye hachepuki na wala kufilisika kwake hakujasababishwa na kuhonga michepuko, huu umasikini wenu wa kujitakia mkishachunwa huko ndio mnarudi kwa wake zenu kutaka wawavumilie ndio ujinga ambao wanawake wa sasa hawataki
Kwahiyo unahalalisha mwanaume kuchepuka akiwa na hela ila tu mradi asifirisike?

Na mwanamke amvumilie mwanaume mchepukaji kisa hela ipo wanafaidi yeye na michepuko, ila mwanaume akifirisika basi walaumiwe michepuko kwa matumizi (as if mwanamke wa ndoa hakutumia) kisha mwanamke amuache mume mufirisi?

Sasa unaitaja ndoa au umalaya.
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
🤣🤣🤣 mm naona uyo sy level yako broo maana hapo chuma mbili zimekutana mmoja n mzaifu wa mapenz na jambaz kuu hapo n pesa mbele kama tai mwsho hapo lazm maji na mafuta ya jitenge swala la mda tu
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
Pole saana siku ukichoka kweliii utafanya uamuzi sahihi
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
Ulimvyompia mama yake amesemaje? amekuja kumchukua? akija mwambie asirudi tena,

Kosa hela ujue tabia ya mkeo
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale

Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
Mlifanya joint-venture mkuu, kwanza n kabila gani huyo mwenza wako?
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
HUNA MKE HAPO! ACHANA NAE KABLA MAMBO HAYAJAHARIBIKA
 
Huu uzi wako sikuchangia mwanzo ila nilivoona umepost tena uzi mwingine kuhusu huyu mwanamke dah! Nmejikuta nakuhurumia saana kwa maana ni jinsi gani huyu mwanamke anakutesa akili usahuri wangu.
Kwanza mpe likizo kidgo aenda kwao au kwenu akapumzike upumzishe akili
Lakini pia angalia unaelekea kupata matatizo mengi ya kiafya hvyo jua kuwa mlinzi wa afya yako ni wewe mwenyew.
Kumbuka kwa kazi yako hyo ya boda kama ukitoka home hakuna amani unaweza kuhatarisha hata maisha ako na unaweza kukosa hata umakin kazn na kukosa abiria
Kwani chief mna watoto wangapi? Piga chini huyo MBUZI tafta pisi kali kumzidi ili umkate domo
 
Wanawake hapana,yaan maisha yanakuvuruga huku nae anakupeleka mputa

Sitahau wakat akiba yang yote imeisha baada ya kupoteza kaz afu mwanamke kila siku ananiimbia wimbo wa kujenga tutoke kwenye kupanga,wakat huo nikipga hesabu za miezi miwili mbele sioni ramani ya maisha kabisa
 
Tatizo letu wabongo huwa hatuna utamaduni wa kuweka akiba visingizio kibao, hapo si ajabu ulikuwa na michepuko yako ya hapa na pale ambayo imechangia wewe kufilisika, lakini cha ajabu mke ndio analazimishwa abebe mzigo wa kuvumilia umasikini wa kujitakia wa mumewe
Bidada huyo jamaa hana hizo tabia unamuhukumu bure ninamjua tusipende kukariri maisha bila kumjua mtu alivyo
 
Back
Top Bottom