Mama Mobetto amuombea msamaha mwanaye kwa wote wanaomtukana

Kuzaa na mume wa mtu kwa siri au hadharani ni uzinzi tu dhambi ni ile ile!
Mtu anaejitambua hawezi kuzaa na Mme wa mtu!

Mwanamke wake ambae hajakutolea mahari au uchumba huyo sio mke ni hawara tena wewe unaeziniwa hadharani unapata dhambi kubwa kuliko aliyezini kwa siri!

Hivi kwa nini ukubali kuzaa na Mme wa mtu.. Halafu ukae kimya ule[emoji3][emoji16][emoji16]huu ndo ujinga sitamani hata kuuwaza ktk maisha yangu!

Yaani baba asijiachie na mtoto kisaaa...wanawake aliyesema mwl wetu kipofu ana maana kubwa!
 
Nimesema maneno kama haya kwenye post za mwanzo lakini watu hawataki kuelewa ""usikute kuna watu wenye akili kama hiyo misukule Humu ""... so kuelewa kwao ningumu mnooooo
 
Umemaliza wasipoolewa basi ubishi upo Kwenye damu.
 
ZARI JESHI LA MTU MMOJA KACHANGIWA NA WENGI MWISHO WA SIKU WAMEMSHINDWA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
[emoji3][emoji16][emoji16]nimekupenda mkwe wangu ila 'ushawahi kupenda katika maisha yako?'
 
Mama_mobetto
Mama_platnumz
Mama_john pombe
Mama_janet
Mama_reginald mengi
Safiria nyota.
 
Diamond kwani ndie victim hadi tumlaumu? Tunawalaumu hao wanawake wanaokubali kuchezewa akili na kutumika na familia ya Diamond. Zari na Hamisa hawajitambui ndo maana kila mdundo wa Diamond wanaucheza.
Yaap!wote wapumbavu hapo nakubali sawa kabisaa...maana wanachezewa kama pipi tu!

Kati yao hakuna mwenye akili wako kimaslahi zaidi!!

Kusema missa au zari mmoja wapo sijui mjinga ni uonevu!..Wote wajinga
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]eti msomi wa wapi labda?
[emoji3][emoji16][emoji16]sema anadanga kiakili mnoo!
Wengi tunatamani hata kama tunadanga tuwe kama yeye!
 
Kama hakujifunza wakati anadai child support mama hatajifunza tena keshakua kenge
Ila Hii ya sasa hivii kiboko kichambo Kuanzia mama Mkwe, mawifi, mameneja mpk Wafanyakazi wa chini asipopata akili ndio basi Tena.
 
Na huu ndio ujinga alioufanya alitakiwa amwache mond apambane na mtu wake asingekubali kutumika kama chambo mwisho wa siku hawezi epuka hayo matusi anayotukanwa kila kona. Mwenzie hapo alikuwa anapunguzia stress yeye akaona kapata na vijembe juu.
Hivi unafikiri kwa akili za bongo muvi nani anaweza toa mimba ya mondi?[emoji3][emoji16]tuwe wakweli
 
Hivi lakini huyo jamaa yenu nae mbona havai soksi? ?
Yani anajua hampendi lakini bado anatembea nae peku peku kwa maana anamuamini na kaona anafaa kuwa mama wa mtoto wake. Ndio mana ya akaenda peku hadi kummimbisha.

Wewe utakua ni mgeni wa wanaume, i guess. Pia nimesema Dai sio msafi katika hili. Dai or Mama yake hawajaenda mtandaoni kuomba huruma. Hamisa na Mama yake ndio wana play victims kwa hili. Both Dai na Hamisa are to blame here. Ila Hamisa cannot pretend as if she did not know what she was doing. If she did not want matatizo ange insist Dai avae mpira.
 
Eheeeee we ndo umeonesha wazi upuuzi wa huyu maza na mwanawe...
.wapambane na ujinga wao kwakweli
 
Tukianao nae alizaaa kumkomesha Wema ukweli ndo huo!na alizaa akijua Diamond atatulia [emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji2][emoji1]hapo ndo alibugi aiseehh!

Sasa kumbe pembe la ng'ombe halifichiki!

Alibugi mnoo kujibebesha mimba ndani ya mwezi mmoja akijua anakomoa Wabongo mbaya zaidi akabeba fasta fast a

Wanawake na siye tupunguze ujuha kumzalia mwanaume sio kigezo cha kupenda au kuolewa jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…