Mama Mobetto amuombea msamaha mwanaye kwa wote wanaomtukana

Mama Mobetto amuombea msamaha mwanaye kwa wote wanaomtukana

Alikua mwanamuziki huko uganda. Na zari kapata kujimilikisha pia kama akothee,watu wanasingizoa mali za watoto lakin tujiulize kwan wale watoto sio wa zari? Kumiliki hisa napo mtaji tosha sana. White party ipo sana,tv show anaifufua hivi karibun. Na pia usisahau ana ubaloz danube na zile pampaz
Mwisho wa siku hayo yote hayana maana kama halindi ile sifa yake ya zamani kwa kukimbizana na wanawake wa Diamond.
 
Wanawake ndo tulivyo,tukiona mahusiano ya mtu yamenoga twaanza jisogeza hata kama huyo mtu alitongoza mwanzon mwanamke akachomoa akimuona uchafu kituko ila kisa ana mtu na kapendeza ndo anaonekana wa maana
Adui wa mwnaamke ni mwanamke mwenzie ""...
 
Karibuni mobetostyles haters na lovers woote..

Kwanza kumfananisha Zari na Hamisa ni ujuha,upunguani na uwehu wa kiwango cha lami...

UMRI;Zari ana miaka 37 Hamisa ana miaka 24 ila tufanye 27 ila mi najua kamaliza form four 2011 sasa sijui mtajaza wenyewe

UMALAYA;hivi humu wazee wenzangu mnasema Hamisa kaanza kudanga bado mdodo eti tuwe wakweli sisi humu tumetolewa bikra na miaka mingapi?[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwa watanzania sisi ambao masikini tunaokutana na changamoto za kimaisha kutwa kucha tumedanga kuanzia miaka mingap?(wengine humu ukute hata form one hukua na bikra)haya huyo Zari mnajua kaanza umalaya lini kama mwaka 1993 alikua jinja anatoka na DJ?hapo hata diamond hajaanza nursery hamisa hata nyonyo hajaacha!
Mi nimemjua Zari 2008 hamisa yuko form one

Mafanikio;kwa umri wa Zari na Umalaya alioufanya ana haki ya kuwa juu hata ningekua Mimi kudanga kule nisingekosa hata nyumba ya vyumba sita

Umalaya wa Zari ni ameamua kuupa hadhi kama enzi hizo kina Kardashians au kina Black China sio hawa bongo movie so ni lazima awe pale alipo kimafanikio tu vyovyote iwavyo kwa umri ule;Hata huyo Zari mnaemfananisha nae alipokua na miaka kama ya Hamisa alikua kama alivyo Hamisa Leo..Hamisa tayari ana kiduka chake na kinafanya vizuri haswaa hebu nna uhakika kama hakutakua na vijicho kama vya humu vya sie watu wazima hovyo wenye stress za maisha atakua mbaali mnoo na atafika hata alipofika Zari au Zaidi ya hapo!

Hivi mtu kama Ontario Leo umfananishe na Mi dewji si ujuha hata kama wameshea bwanaa

Kuzaa na bwana wa mtu yupi?unajua makubaliano yao?wangapi humu mmezalishwa na mabwana wa watu?wanagapi humu michepuko ya waume za watu?

Wengi humu tukubali ni stress kumuona Hamisa kazaa na daimond hatukutegemea 'Siku moja nilikua na dogo mmoja amesoma Tandika Secondary anamponda Missa nkamuuliza,kwa nini humpendi?akanijibu tulikua wote makapuku sasa hivi mwenzetu katoboa anajidai[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]'ndo humu tulivyo wengi
Pyeeeeeeeeeeeeeee!wivu huoooooo!

Kuna wasichana wengi yu ambao walikuwa Choka mbaya wanaishi na hao wanaume za watu mumshauri Huyo Hamisa akila na kipofu ajue kunyamaza Sio Unachukua bwana wa mtu na matusi juu sasa anyamaze tu. Mwaka mwingine atajifunza
 
Karibuni mobetostyles haters na lovers woote..

Kwanza kumfananisha Zari na Hamisa ni ujuha,upunguani na uwehu wa kiwango cha lami...

UMRI;Zari ana miaka 37 Hamisa ana miaka 24 ila tufanye 27 ila mi najua kamaliza form four 2011 sasa sijui mtajaza wenyewe

UMALAYA;hivi humu wazee wenzangu mnasema Hamisa kaanza kudanga bado mdodo eti tuwe wakweli sisi humu tumetolewa bikra na miaka mingapi?[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwa watanzania sisi ambao masikini tunaokutana na changamoto za kimaisha kutwa kucha tumedanga kuanzia miaka mingap?(wengine humu ukute hata form one hukua na bikra)haya huyo Zari mnajua kaanza umalaya lini kama mwaka 1993 alikua jinja anatoka na DJ?hapo hata diamond hajaanza nursery hamisa hata nyonyo hajaacha!
Mi nimemjua Zari 2008 hamisa yuko form one

Mafanikio;kwa umri wa Zari na Umalaya alioufanya ana haki ya kuwa juu hata ningekua Mimi kudanga kule nisingekosa hata nyumba ya vyumba sita

Umalaya wa Zari ni ameamua kuupa hadhi kama enzi hizo kina Kardashians au kina Black China sio hawa bongo movie so ni lazima awe pale alipo kimafanikio tu vyovyote iwavyo kwa umri ule;Hata huyo Zari mnaemfananisha nae alipokua na miaka kama ya Hamisa alikua kama alivyo Hamisa Leo..Hamisa tayari ana kiduka chake na kinafanya vizuri haswaa hebu nna uhakika kama hakutakua na vijicho kama vya humu vya sie watu wazima hovyo wenye stress za maisha atakua mbaali mnoo na atafika hata alipofika Zari au Zaidi ya hapo!

Hivi mtu kama Ontario Leo umfananishe na Mi dewji si ujuha hata kama wameshea bwanaa

Kuzaa na bwana wa mtu yupi?unajua makubaliano yao?wangapi humu mmezalishwa na mabwana wa watu?wanagapi humu michepuko ya waume za watu?

Wengi humu tukubali ni stress kumuona Hamisa kazaa na daimond hatukutegemea 'Siku moja nilikua na dogo mmoja amesoma Tandika Secondary anamponda Missa nkamuuliza,kwa nini humpendi?akanijibu tulikua wote makapuku sasa hivi mwenzetu katoboa anajidai[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]'ndo humu tulivyo wengi
Pyeeeeeeeeeeeeeee!wivu huoooooo!
Ha hahaha haha haha .....Wanawake akili zenu mnazijuaga wenyewe ""....
 
Sio kosa lake mashosti na mashabik wa insta wanampa kichwa kuwa anapendwa yeye na sio zari. Hamisa angejua adui yake sio zari bali msimamo wake mwenyewe kuyumba yumba
Yani mimi ananikasirisha angekua ndugu yangu ningemtia mabao akili imjie. Wakati mwingine anajikosesha bahati za maana kung'ang'ana kwa mtu anaemtumia kulipizia kisasi
 
Kuna wasichana wengi yu ambao walikuwa Choka mbaya wanaishi na hao wanaume za watu mumshauri Huyo Hamisa akila na kipofu ajue kunyamaza Sio Unachukua bwana wa mtu na matusi juu sasa anyamaze tu. Mwaka mwingine atajifunza
Kama hakujifunza wakati anadai child support mama hatajifunza tena keshakua kenge
 
Ni hiviiiiii nashindwa kuwaqoute wote nipo busy,, humu wengi mwajifanya kumponda misa utafikiri nyinyi wasafi sana ,utafikiri hamjawah kuwa na mahusiano ya hivyo au haya mambo kutokea yamemtokea misa tu,watu wanazaa kabisa na waume za watu wa ndoa kitu gani daimond,kimewauma sana misa kuzaa na daimond mnatamani kufa kwani zari ni nanii haswa yaan mlitaka daimond asizae na mtanzania mwenzie azae tu na wa nje,misa anachokifanya ni wengi wanafanya iwe ndugu zenu au nyinyi wenyewe humu ndani ukute hapo mlipo mmeng'anang'ana na waume za watu na mmewazalia juu mkija jf misa malaya,misa mchafu msipende kujaji sana, Hamisa ni mzuri na ni mrembo na kazaa na wanaume ambao wako hot hapo Dar,sio nyie tu kimewauma hata watu maarufu wameumia walitamani wazae na daimond wajulikane ,na inafahamika mwanamke anapenda mwanaume maarufu,mwenye pesa,mwenye kipaji,mwenye nguvu katika jamiii..
Wanaume na nyinyi ukute hapa mnaponda hamisa lakin iule dm mnavyohangaika kumpata mna maana sasa nyie,hata ushoga huwa mnauponda lakin wataje ndio nyie mkija jf mnaponda,,,punguzeni unafiki mlitaka mama mobeto amtetee nanii kama sio mwanae ..

La mwisho mtahangaika bure hamisa na zari wote hawapindui kwa daimond na atakuwa nao wote,daimond hamatambulishi misa hampendiii angezaa nae? Mbona zari alitambulishwa kila kona na akafurahishwa mpaka kulia BBC bora kufichwa kuliko kuwekwa hadharani halaf unaibishwa kutwa kucha.

Washaurini na ndugu zenu waache kuzaa na waume za watu sio hamisa ,mnavyosema hamisa kana kwamba familia zenu safi hakuna alozaa na mme wa mtu acheni unafikiiii
Binamu na miye nna kazi tu ila humu watu ni wanaaafiki hatuna lolote lile wivu umetujaaa na husda wengine humu kula tu shida hapa

Na kiasi tumchukie Hamisa umesoma 7yrs,4 yrs,2yrs,3 yrs(sijaangalia diploma hapo)hata kiwanja hunaaa au hata bodaboda hunaaa...mshahara wako mobeto anaingiza kwenye viatu na bags pea mbili tu!

Mtoto form four ana division four ya 32...lazima umchukie mwenzio Leo anahongwa Rav four[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] buree wewe umehongwa sana tecno au Samsung kama miye!

Lazima umchukie mobeto!

Tukubaliane na hali zetu,mwl wangu wa uchumi kwenye Nationa Income nakumbuka factor nyingine na kua na uchumi mkubwa baadhi ya watu au nchi ni different talents[emoji3][emoji16][emoji16]shoga ndo hvyo yaani!
Tukubalini tu Hamisa na Zaru wametupita na Hamisa ni under 30...Zari ni Under 40 tofauti kabisaaaaaaa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kwa pesa gani aliyonayo dai kupangisha nyumba kama ile acha story za abunuasi bana.
Basi ya Kinje mwaya ile ya South na Diamond ndo analipa kodi pale. Kama akili ya kurudisha vitu vyake imemjia ni vyema akimaliza hayo aachane na kale ka **** boy Diamond ntaanza kumuheshimu tena na yeye
 
Unazaa na mume wa mtu kumkomoa mkewe + unamtukana mkewe+ badae unatafuta huruma= stupidity at its highest level.

Kwa niliowahi kuwaona (na sio ndugu zangu) wana heshima kwa hao waliowekwa ndani..pengine mtoto anafika hata miaka 9 huko mke hajui..hadi baba aamue mwenyewe kujishtaki kwa mkewe. Ila sio huyo mwenzenu kumuumiza mwenzie kwa makusudi akiamini yeye ni bora sana..endeleeni kumpa support, that's all she needs right now asije akajiua bure.


'Anayeua kwa upanga...'
rekebisha hapo juu" diamond hajawahi kuwa mume wamtu "" Au kibongo bongo watu wakifanya umalaya "" muda mrefu basi wanakuwa tayari ni wana ndoa ""...?
 
Binamu na miye nna kazi tu ila humu watu ni wanaaafiki hatuna lolote lile wivu umetujaaa na husda wengine humu kula tu shida hapa

Na kiasi tumchukie Hamisa umesoma 7yrs,4 yrs,2yrs,3 yrs(sijaangalia diploma hapo)hata kiwanja hunaaa au hata bodaboda hunaaa...mshahara wako mobeto anaingiza kwenye viatu na bags pea mbili tu!

Mtoto form four ana division four ya 32...lazima umchukie mwenzio Leo anahongwa Rav four[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] buree wewe umehongwa sana tecno au Samsung kama miye!

Lazima umchukie mobeto!

Tukubaliane na hali zetu,mwl wangu wa uchumi kwenye Nationa Income nakumbuka factor nyingine na kua na uchumi mkubwa baadhi ya watu au nchi ni different talents[emoji3][emoji16][emoji16]shoga ndo hvyo yaani!
Tukubalini tu Hamisa na Zaru wametupita na Hamisa ni under 30...Zari ni Under 40 tofauti kabisaaaaaaa!
Hehehehehheheheheehehh hamisa jeshi la mmoja anasakamwa na watu wote hawa ,,ni tishio sana hako katoto jamanii
 
Alishawaachia zamaan ila ndo hivyo tena hawaishi kumtaja taja
Mwisho wa siku hayo yote hayana maana kama halindi ile sifa yake ya zamani kwa kukimbizana na wanawake wa Diamond.
 
Back
Top Bottom