Mama mtoto wa sugu avaa pampers kwenye birthday

Chini yupo fresh lakini usoni kama mwanaume au ni wigi?!
 
Mbona hata sugu yuko hivyo hivyo kutembea bila nguo kawaida tu.
 
Serikali vituko haviishi na huku uswahilini nako haviishi pia kazi kwelikweli
 
Kichaa sio lazima uokote makapo barabarani....
 
huyu mwanamke anaonesha picha halisi ya sugu. wote wanafanana. kutofautina na hata kuachana haimaanishi kuwa hawafanani. huyu ni mtu aliyeishi nae kwa muda mrefu mpaka na kuzaa watoto. na kama aliweza kukaa naye muda wote hii ni picha tosha kuwa sugu ndivyo alivyo.


 
Umeweka picha sawa ila hujaeleweka....Sugu alichukua uamuzi gani wa kupongezwa? Na hii ya pampers what if designer wake ndo alimshauri itamtoa?

..!.. Hahaha, Kwahiyo Mkuu Kila Unachoshauriwa Unafanya Bila Kuchanganya Na Za Kwako?
 
Hata zari ni mama wa watoto 4 (anaficha mmoja mkubwa) na anafanya yasiyostahili ila mnampongeza. Muacheni faiza aishi maisha yake. Au kwa sababu ni mtz manake kitu afanye mgeni akifanya mzawa ni tatizo.
Tatizo la Zari si kuwa na watoto wa 4 - Kwani haiingii!
 

Faiza ana stress za kumkosa sugu na alishakiri kujutia kukutana na sugu kwani sugu anamuoneshea dharau. Pia kuhusu kumuambukia sugu gonorea Hii alopost mwenyewe Instagram.
 
Tabia anazoonesha huyu mwanamke ni jinsi pia sugu anavyotafsilika kwamba ni mtu wa aina gani SUGU tutakufundisha uchaguzi ujao USIHOFU

Sishangazwi na ripoti za watu wenye Iq kubwa kutoka pasipo Mwafrika hata mmoja.:thumbdown:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…