Mama mtoto wa sugu avaa pampers kwenye birthday

Bado hujaeleza umejuaje Zari ana miaka 39!

Ngoja nikusaidie....ushawahi kuona cheti chake cha kuzaliwa au kitambulisho chake chochote kile kilicho rasmi kinachoonyesha kazaliwa lini?

Hapa ndipo wengi wetu tunakuchukiaga
 

Attachments

  • 1418994344644.jpg
    7.8 KB · Views: 671
Uwiiiii,km huo ndio ujnja basi mie ntabaki kuwa mshamba siku zote.
 
Faiza ana stress za kumkosa sugu na alishakiri kujutia kukutana na sugu kwani sugu anamuoneshea dharau. Pia kuhusu kumuambukia sugu gonorea Hii alopost mwenyewe Instagram.

Kwa hiyo sugu ana gonorea? ha ha ha aisee
 
Ndo mke wa mbunge, kama kweli ni vioo vya chamii hii inaufundisha nini?
Pole sana Sugu.
 

mdakuzi as usually
 

DelFrance! Sinza!
 
Chadema hoyee mchumba wa mbunge hoyeee pampers hoyeee
 
Huyu demu kweli hamnazo.....masikini mheshimiwa sijui aliwezaje kuishi na kichaa kama huyu. Hebu jionee hizo pics

My Take:
Tujitahidi sana kutafuta wenzi wetu wa kuanzisha nao familia kwa heshima yetu wenyewe, vizazi vyetu, wazazi wetu, ndugu zetu na jamii inayotuzunguka kwa ujumla.

Swali:
Hivi hizi ni hasira za kuachwa au ni kitu gani?
 
The news is kinda outdated!ilishapostiwa hapa jamvini,guess hujanotice mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…