mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Eti anasema jimama la miaka 34[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kwani shule zimeshafungwa? Kumechafuka sana humu ndani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti anasema jimama la miaka 34[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kwani shule zimeshafungwa? Kumechafuka sana humu ndani.
Totoz nyingi Kwa sasa mmekua wajanjaHivi mbona sisi wababu wanatutaka ila hatujawai kuleta thread
Grow up bhana [emoji57]
Kakudanganya ameomba sensa huyo [emoji16]Awap! Chuo hakinaga scholars wazembe kiasi hiki! Huyu alimaliza four mwaka jana. Mwaka huu anajoin college ya unesi!
[emoji28][emoji28]
Hao wazee wetu mkae nao vizuri mkiwasumbua kama mnavyosumbua vijana mnatupa shida sisi kuanza kuhangaika nao wakipata strokeHivi mbona sisi wababu wanatutaka ila hatujawai kuleta thread
Grow up bhana [emoji57]
Hakuna binadamu asiyependa hela ila sasa madamKumbe wanaume nanyi mnapenda kuhongwa?
Kweli but kabisa,itakuwa chai hii😄😄✌️✌Hata yakiachaga gari garage yanakula uba au pin kitonga yanasepa zake!!
Hapo sasa yani 34 anasema jimamaHivi 34+ niji mama kumbe alaaaa.
Kuhongwa na wadada🤣🙌Hakuna binadamu asiyependa hela ila sasa madam
Hio sms iweke specific kuhongwa na nani ? Maana ili jua kali lote unga na mafuta yamependa bei nauli zimepanda halafu from no where upewe hela na mwanaume mwenzio
Wenye age yetu 🤣🤣🤣 muwe mnatusalimia Shikamoo mama...alaaHapo sasa yani 34 anasema jimama
Sasa miaka 34 ndio jimama?Wakuuu kuna jimama nimekutana nalo juzi kwenye daladala tulikuwa tumekaa siti moja ni jeupe yani pisi Kali sana. Mimi huwa na tabia ya kupendeza kula pamba na kunukia vizuri ndio tabia yangu so jimama limepagawa likaniomba namba Mimi nikampa lilisema tuwe marafiki
Toka jana linanisumbua limeniambia linanipenda linafanya kazi TRA sasa linaniambia niwe nae kimapenzi njtaenjoy hapa ninapoandika limenitumia hela shs elfu 50 limeniambia nitumie tu wikiendi hii ila limesema j3 nikutane nae.
Wakuu nifanyaje?
Lina ukimwi hiloWakuuu kuna jimama nimekutana nalo juzi kwenye daladala tulikuwa tumekaa siti moja ni jeupe yani pisi Kali sana. Mimi huwa na tabia ya kupendeza kula pamba na kunukia vizuri ndio tabia yangu so jimama limepagawa likaniomba namba Mimi nikampa lilisema tuwe marafiki
Toka jana linanisumbua limeniambia linanipenda linafanya kazi TRA sasa linaniambia niwe nae kimapenzi njtaenjoy hapa ninapoandika limenitumia hela shs elfu 50 limeniambia nitumie tu wikiendi hii ila limesema j3 nikutane nae.
Wakuu nifanyaje?
To yeye my heart, my eternal, my everything, my superwoman, my super loyaleWenye age yetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] muwe mnatusalimia Shikamoo mama...alaa
My lovely one😉To yeye my heart, my eternal, my everything, my superwoman, my super loyale