Huu mpango umesikia ni wa miaka mingapi mkuu? Au ni mpango tu?Zipo tetesi za mpango wa siri za wazungu kuua Waafrika weusi ili baadaye vizazi vyao vije ku take over ardhi ya Africa, wanatumia njia mbalimbali ikiwemo njia ya Vaccine na Fortifications ya madawa (kampuni ya SANKU) katika unga wa vyakula nk.
Tatizo letu ni kwamba sisi vyombo vyetu vya usimamizi wa mambo ya kiuchunguzi mfano TFDA na TBS au ofisi ya mkemia mkuu havina ueledi mkubwa au ni butu tukiwategemea hao hao tunaowashutumu watusaidie kiutaalamu katika kuchunguza na kukagua dawa wanazotuletea, in that case we are victims.
Chanjo gani mmetengeneza?ππππππππππ
Futa kauli yako, sisi tumeweza kutengeneza chanjo, tunashindwaje kuchambua chanjo?
Itawachukua muda sana hawa kuachana na jinamizi la mwendazake...
sema unataka kurudi utumwani
ww na mizungu toka lini mkawa na umoja!?
Mzungu aka Beberu hakwepeki hasa kwa shithole countries ambao hatuwezi kutengeneza hata kibiriti.
Hizo ni story za wajinga kwenye vibanda umiza aisee !! Yani wasiweke sumu kwenye vitu vingine waje kwenye hill!?? Basi. Zuien ARV,zuien chanjo za watoto,zuieni ,Dawa za magonjwa yoooooooooote maana zinatoka kwaoZipo tetesi za mpango wa siri za wazungu kuua Waafrika weusi ili baadaye vizazi vyao vije ku take over ardhi ya Africa, wanatumia njia mbalimbali ikiwemo njia ya Vaccine na Fortifications ya madawa (kampuni ya SANKU) katika unga wa vyakula nk.
Tatizo letu ni kwamba sisi vyombo vyetu vya usimamizi wa mambo ya kiuchunguzi mfano TFDA na TBS au ofisi ya mkemia mkuu havina ueledi mkubwa au ni butu tukiwategemea hao hao tunaowashutumu watusaidie kiutaalamu katika kuchunguza na kukagua dawa wanazotuletea, in that case we are victims.
Mkuu,tukubali tukatae viongozi wetu wana safari kubwa sana katika kuongoza nchi katika zama hizi.Inawezekana ametoa kauli yake hio kwa sababu ya ushamba,ujinga au ujuaji.Ila hizi technolojia za wazungu zinatisha sana.Mfano hio mRNA uliyoweka hapo ina uwezo wa kubadili tabia ya GENES,Maana yake ni kwamba kama wanataka kufanya manipulation ya GENES zetu wanaweza na hatuna utaalam wa kukataa au hata kuthibitisha.Tunachoweza fanya ni kupeleka watoto shule,kuwa extra vigilant katika kila jambo.Nakuona ITV sasa umetoa sentensi hiyo kuwa wzungu wanaleta vitu vya sumu huku afrika deliberately ambayo nina uhakika you can not substantiate. Usitake "kuropoka" kama Jiwe.
Humu ndani hatuna uwezo wa kuhakiki composition ya chanjo maana hata technology iliyotumika kuitengeneza sijui kama tuna scientist ana weledi wa kuichambua. Unaanzia wapi?
mRNA and the future of vaccine manufacturing
mRNA vaccine production is fastβvery fast. What does that mean for traditional methods of vaccine production?www.path.org
Hizo ni story za wajinga kwenye vibanda umiza aisee !! Yani wasiweke sumu kwenye vitu vingine waje kwenye hill!?? Basi. Zuien ARV,zuien chanjo za watoto,zuieni ,Dawa za magonjwa yoooooooooote maana zinatoka kwao
I2; combined-NCD, IB NA POX vaccine( three in one), na vaccines against salmonellosis iko njiani. Kwafaida yako tambua kuwa Sasa team ya wataalam wazalendo iko maabara Ina chekecha covid vaccineChanjo gani mmetengeneza?
Pamoja na mkanganyiko uliopo back dhana kuwa wazungu hawana Nia njema na nchi maskin haiepukiki, Kuna hoja za msingi zinazojenga hoja:Wewe kapuku pull up your stockings.
Sio Wazungu wote wanao mpango huo bali ni akina Billy gates na wenzake, Waafrika wengi tunazo akili za kuvukia barabara tu!!!.
Ungesema "Kumkwepa kwa 100%" haikwepeki nadhani ni sahihi zaidi.Mzungu aka Beberu hakwepeki hasa kwa shithole countries ambao hatuwezi kutengeneza hata kibiriti.
Ungesema "Kumkwepa kwa 100%" haikwepeki nadhani ni sahihi zaidi.
Inawezekana ila siyo kwa asilimia zote.
Chanjo ipi tumetengeneza mkuu?ππππππππππ
Futa kauli yako, sisi tumeweza kutengeneza chanjo, tunashindwaje kuchambua chanjo?
Issue siyo kufunguka. Matokeo baada ya kuropoka yanaumiza wasiohusika
Ni ukweli.Hata JIWE alikuwa anawaponda kumbe nyuma ya pazia anaenda na BAKULI kuwapigia magoti kuomba misaada na mikopo.
Chanjo ya makatapera, makusu, mbula, numbu, migagi, masasati, vitindi, mang'ang'a, mabangayeye, madava, kabunguja, sungwa, na nguniyani