Mama mwenye hali ngumu anakaa na binti mdogo mjamzito ambaye sio ndugu yake

Mchanganyiko, mara mzaramo, mara mnyakyusa, mkoa wa Mara. Ulitaka kutuambia makabila au wema wa muuza samaki kwa mjamzito ?
 
Wema usiizidi Akiba, Huenda hakuna kinachoharibika kwa huyo mama hata kama anamsaidia.
 
Chai
 
tajiri anauogopa umaskini hataki kabisa chezea hela yake kwa upumbavu wa kuita msaada maana anajua hata siku akifirisika hao alio wasaidia ndo wakwanza kumbeza ko hataki hali hii
 
roho nzuri ama mbaya ni mtu kuzaliwa nayo

nna mshikaji wangu ana roho mbaya ana roho ya uchoyo hata yeye analijua hilo

kuna siku tumekaa analaumu kwa nini mtoto wake wa kwanza ni me hana roho ya mbaya (uchungu na kitu chake )

anamfurahia mtoto wake wa kike kumfata roho ya uchoyo (yeye anaita uchungu na kitu chake)
 
Mkuu, mimi ni mtu wa mkoa wa Mara, ila makabila ya Pwani wengi hawajasoma sana lakini wana mioyo ya utu na upendo mno..
 
Yesu alitoa mifano mingi sana, na mmoja wa mfano huo ni huu "Haki yenu isipozidi haki ya Mafarisayo hamtairithi mbingu"
Kuna watu tunadharau dini zao, kuna watu hawana muda na mambo ya ibada lakini haki zao ni kubwa kuliko viongozi wa dini.
 
Aiseee huyo jamaa yako ana roho ya ibilisi kabisa
 
Sijajua umetoka jamii gani na Mnatabia gani hasa kwenye utu na ubinadamu, ila ni kawaida sana, mfano wanyakyusa wana ndugu wa hiari wengi sana, na makabila mengi tu wamasai, wasukuma, wameru ndio usiseme unabatizwa hadi jina la ukoo
Okay. Asante kwa kunipa elimu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…