Mama mwenye hali ngumu anakaa na binti mdogo mjamzito ambaye sio ndugu yake

Km hujui wengi wenye vipato hivyo ndo Wana roho mzuri,fuatilia utaona kulinganisha na wenye uwezo
 
sasa ww ushasema binti ni yatima..kuna baraka kubwa sana kumtunza yatima pia kuwasaidia wajane na maskini..hata marehemu mengi na matajiri wengine walisaidia sana yatima kuwasaidia makumdi hayo ni sadaka kubwa sana..ila wengi tunapuuza kisa eti hatuna undugu nao tumejaa roho mbaya na ubinafsi..ni watu wachache tu wanaojua siri iliyopo kwenye kuwasaidia maskini,wazee,wajane na yatima waache wavune hizo baraka pia hio ni kinga kubwa sana kiroho..
 
Nililelewa na mama wa kambo tangu nikiwa 2yrs old nikiri tu kuwa yule mama alinilea vizuri mno na Mungu ampe maisha marefu.Mama mzazi mwenyewe anampigia salute yule mama wa kambo
Unarikiwe Kwa kuona Hilo,mama angu kawalea 6 watt wa nje ila malipo yake ,nimesema sitakuja Lea mtt was mtu
 
Hapo mwisho nakubaliana na we ila hapo mwanzo ,km nakumbuka vzr hao waliambiwa hawatainiga mbinguni
 
Okay..
 
Wandengereko wako karibu zaidi na wangindo, wamatumbi kitabia kuliko wazaramo.
Wazaramo wako karibu na wakwere na wadoe.
Mkuu wandengereko na wazaramo ni kitu kimoja.

Boga Maneremango (Kisarawe) kwenye original wazaramo na Rufiji wamepakana.

Ndio maana unaona huko kote wana mambo yao ya unyago ambayo DC Magoti alikuwa akipambana nayo, na wanaoana sana.

Vinginevyo hoja ya mada issue sio ukabila ni maternal instincts tu za wanawake, previous experience ya mtu and humane (kuna binadamu wana-huruma tu), nothing to do with tribe but individual behaviour only that not every good deed is documented in the world.
 
Upande wa mama yangu wandekereko na wameoana na wazaramo.

Kisarawe ndio kwenye wazaramo haswa; na inapakana na Rufuji.

Wakerwe na (wazaramo na wandekereko) watu tofauti.
Asante sana kwa kunipa elimu ya ziada ndugu yangu..
 
Roho watu wanazo, tatizo ni binadamu hawa washenzi sana.
Nilimlea mjinga mmoja alinifunza akili ya kuwa na roho mbaya.
Saidia achana nae.
Kuna mmoja kaiba pesa kabisa cash huku nilimkaribisha tu asipigwe baridi akafa nje huko.
Mnyarwanda.
Mwingine mbongo mkimbizi mbali huko.
Kumkaribisha kaenda kwenye kesi zake kanishtaki kumnyanyasa ili apate papper zake.
Mi sina habari.
Huyo binti anaweza kuja kum dissapoint sana tu mama muuza samaki akabaki na wenge.
Binadamu hawa acha tu.
 
Hongera! Siku hizi umetelekeza chama cha CCM. Huweki uzi kusifia tena. Wewe pamoja na malaria sugu mepotea sana

Umenichekesha

Mimi nawekaga nyuzi kufanyaje!!!

Basi haunifahamu Coco chanel wa JF, maana kuandika naandika na kama kawa soon Mama tena itaanza
 
hiyo ni tabia ya mtu na sio ya kabila,huyo mama Mungu atamlipa mema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…