Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hampendani mbona ipo waziHalafu utasikia "wanawake hawapendani". Alomtia huyo binti mimba, katokomea wala hana habari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hampendani mbona ipo waziHalafu utasikia "wanawake hawapendani". Alomtia huyo binti mimba, katokomea wala hana habari.
It's around 10K per day and not exactly. Mkuu, 10K per day kwa familia ya watu watatu na mmoja wao ni mjamzito, unasema kuwa hiyo sio pesa ndogo?? Seriously??10K per day kama ni uhakika kila siku hiyo sio pesa ndogo kabisa.
....ni kwa wanawake wa age/rika moja.Hampendani mbona ipo wazi
Sio kwa maisha ya chumba sebule ya 30k kwa mwezi hata matumizi hayawezi kuwa makubwa. Kuna watu wanaishi 6 kwa kipato cha elfu 5 kwa siku na maisha yanasonga.It's around 10K per day and not exactly. Mkuu, 10K per day kwa familia ya watu watatu na mmoja wao ni mjamzito, unasema kuwa hiyo sio pesa ndogo?? Seriously??
Mke wangu, alafu rudisha ile avatar/picha yako ya awali. Huo sasa ndio mpicha gani?? Unaonekana kama mshangazi..Halafu utasikia "wanawake hawapendani". Alomtia huyo binti mimba, katokomea wala hana habari.
hasa wa rika moja ila ke wengi wananafkiana sana tunaishi nao mtaani tunaona mengi.....ni kwa wanawake wa age/rika moja.
Kabisa ila watu wengu hawalijui hili. Ukiwa unatoa kwa moyo Mungu anakurudishia zaidi yake.Mkono utoao ndo upokeao daima
Mkuu, mbona hata wanaume kwa wanaume wanafanyiana sana u-snitch. Nothing stinks like a snitch.hasa wa rika moja ila ke wengi wananafkiana sana tunaishi nao mtaani tunaona mengi.
Yes. Upo sahihi sana mkuu. Ila hao ndio utakuwa ni wale wanaokula only twice a day..Sio kwa maisha ya chumba sebule ya 30k kwa mwezi hata matumizi hayawezi kuwa makubwa. Kuna watu wanaishi 6 kwa kipato cha elfu 5 kwa siku na maisha yanasonga.
Bora kwetu ni wachache sana ila huo upande wao ni balaa zaidi.Mkuu, mbona hata wanaume kwa wanaume wanafanyiana sana u-snitch. Nothing stinks like a snitch.
Mada kama ina husu wema na ubaya moja kwa moja inausika kidini piq ...maana dini ni kujua mema na mbaya kisha ukatenda mema na kuyaacha mabaya ...tumia akili ila kuna kitu kinaitwa unafiki wa kidini hicho ni kutenda mabaya na kuacha mema kisha kujitukuza kuwa una diniPlease ninaomba tusiingize dini katika mada hii mkuu. Please please please my dear brother..
Kwa maisha yao kula twice per day mbona ni anasa, hapo ni mlo mmoja na maisha yanasonga alafu uwezi sikia wakiumwa umwa hovyo sijui vidonda vya tumbo n.k.Yes. Upo sahihi sana mkuu. Ila hao ndio utakuwa ni wale wanaokula only twice a day..
Duuh. Balaa.Bora kwetu ni wachache sana ila huo upande wao ni balaa zaidi.
Kuna ke wafanya biashara wote nna ukaribu nao na kwa kiasi fulani wananiamini ila hawa viumbe sijui wanachukiana kwa sababu gani. Nikiwa na huyu lazima amseme yule vibaya na vice versa is true ila mimi kimya huwa nawasikiliza tu. Cha ajabu ni wakikutana wanavyochangamkiana utadhani hawajabebeana chuki moyoni 🙌
Hao ni wawili ila wapo wengi mifano ni mingi sana.
Ni hatari mkuuDuuh. Balaa.
Mwanadamu yeyote asipokula vizuri, kinywa hutoa harufu inayoleta mushkeli kidogo..Kwa maisha yao kula twice per day mbona ni anasa, hapo ni mlo mmoja na maisha yanasonga alafu uwezi sikia wakiumwa umwa hovyo sijui vidonda vya tumbo n.k.
Hata wewe ulipo, jaribu kufanya utafiti wa kukaa na ndugu baki, au yatima ukimtunza, lazima kuna wepesi flani Mungu huuleta katika maisha yako.Mambo vp wadau??
Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje?
Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.
From my experience, wengi wenu hamkusoma sana na mna vipato vidogo, lakini Mwenyezi Mungu amewapa mioyo iliyojaa upendo mnoo.
NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara na sio mtu wa Pwani.
....kuna nini mkuu??Hata wewe ulipo, jaribu kufanya utafiti wa kukaa na ndugu baki, au yatima ukimtunza, lazima kuna
Sina hakika na hilo mkuu ntalifanyia tafitiMwanadamu yeyote asipokula vizuri, kinywa hutoa harufu inayoleta mushkeli kidogo..
Poa mkuu..Sina hakika na hilo mkuu ntalifanyia tafiti