asante sana!
wanawake kama wewe ndio ninaopenda waendelee kuwepo duniani.....
hapa wewe hoja ni KUTUMIA HELA YA NANI
hapo ina maanisha itakuwa hivyo maisha yako yote?....matatizo ya kwenye ndoa ukiyachukulia kama unasoma katekismo bac uanishilia taratibu, ukiyaona mengine ukayapotezea mengine unaharibu bac cku zinasonga, ni bora kuingia na kupambana nayo kuliko kutumika huko nje kama ifuatavyo...na hawa wanaume ambavyo hawatosheki kesho kesho akiokita ka spring chicken kengine anakumwaga.....
mwanaume walio wengi wakitoka nje ucdhani atadumu na wewe kivile, akimaliza kale ka uzuri kako ujue atatafuta mwingine, jinc mie mke wake anavyonifanyia ndio atakavyokufanyia wewe, mie c ziwa limedondoka kwa kumnyonyesha yeye na wanae, sasa wewe kalidondosha kwa kubembea nalo....hapo faida ipo kwangu japo atakumbuka kuna familia atatimua mbio kurudi hme....baadhi ya wadada nawashangaa sana,hebu mjifunze kuringia usichana wenu...huyu mume wa mtu anakupimia muda anatoka saa mbili anakuambia namuwahi "wife"...we umeridhika tu kutumika, labda awe gold digger nitamuelewa otherwise hakunaga mapenzi ya kweli kutoka kwa mume wa mtu, tena mwanaume anaeijali familia yake ndio kabisaaa wanajua kuwapotezea warembo muda....
Nimeelewa asilimia mia moja dada, sasa hiyo ya kuwa Ifii nai deleate kwene kichwa, moyo, nafsi na roho yangu compltly
Ngoja nisubiri akuje mutu wa kuoa dada, sasa sijui nifanye mazoezi ya kukabidhiana na hayo mavituko!!!!
nimeelewa asilimia mia moja dada, sasa hiyo ya kuwa ifii nai deleate kwene kichwa, moyo, nafsi na roho yangu compltly
ngoja nisubiri akuje mutu wa kuoa dada, sasa sijui nifanye mazoezi ya kukabidhiana na hayo mavituko!!!!
ahsante...!
Nimefurahishwa na uamuzi wako wa kumruhusu mumeo kuwa na ''mpango wa kando''.....cha msingi atumie hela yake
chako chetu sote cha kwangu ni changu peke yangu
Nimeelewa asilimia mia moja dada, sasa hiyo ya kuwa Ifii nai deleate kwene kichwa, moyo, nafsi na roho yangu compltly
Ngoja nisubiri akuje mutu wa kuoa dada, sasa sijui nifanye mazoezi ya kukabidhiana na hayo mavituko!!!!
usifanye infi mwaya,,,sawa eeeh
Nimeelewa asilimia mia moja dada, sasa hiyo ya kuwa Ifii nai deleate kwene kichwa, moyo, nafsi na roho yangu compltly
Ngoja nisubiri akuje mutu wa kuoa dada, sasa sijui nifanye mazoezi ya kukabidhiana na hayo mavituko!!!!
sema hata akifanya ''asipende kabisa kusikia watu wakijadili''
huhitaji mazoezi mdogo wangu, unaweza fanya ya kukabiliana na mume ukakuta umepata mume mtam anaku support 101%...huku kwa mawifi/mama mkwe ndio balaa, utafanya mazoezi yapi uache yapi? we ingia ndani ukiwa na roho nyeupe mengine utayaweka sawa ukiwa ndani...mie kwa kweli mtu akiniambia hawara ana enjoy ckubaliani nae, kwangu mie naona naenjoy sana yeye asaidie tu kwa muda huyo mr arudi kwenye familia yake...(nicwabambe lakini)
Bado upo mlimani? Nimekumiss ujue!!usifanye infi mwaya,,,sawa eeeh
ha ha ha ha!huhitaji mazoezi mdogo wangu, unaweza fanya ya kukabiliana na mume ukakuta umepata mume mtam anaku support 101%...huku kwa mawifi/mama mkwe ndio balaa, utafanya mazoezi yapi uache yapi? we ingia ndani ukiwa na roho nyeupe mengine utayaweka sawa ukiwa ndani...mie kwa kweli mtu akiniambia hawara ana enjoy ckubaliani nae, kwangu mie naona naenjoy sana yeye asaidie tu kwa muda huyo mr arudi kwenye familia yake...(nicwabambe lakini )
ndio mana kwangu pesa yangu ni yangu...yake ni yetu.
sema hata akifanya ''ASIPENDE KABISA KUSIKIA WATU WAKIJADILI''
afadhali uwaambie umewasomaa