''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

asante sana!
wanawake kama wewe ndio ninaopenda waendelee kuwepo duniani.....
hapa wewe hoja ni KUTUMIA HELA YA NANI

hata nikifanyaje kama wa kutoka atatoka tu....so bora bac atumikie jasho lake!
 
hapo ina maanisha itakuwa hivyo maisha yako yote?....matatizo ya kwenye ndoa ukiyachukulia kama unasoma katekismo bac uanishilia taratibu, ukiyaona mengine ukayapotezea mengine unaharibu bac cku zinasonga, ni bora kuingia na kupambana nayo kuliko kutumika huko nje kama ifuatavyo...na hawa wanaume ambavyo hawatosheki kesho kesho akiokita ka spring chicken kengine anakumwaga.....

Nyamayao hawa wadada wengine wa nje wakifuatwa na mume wa mtu kwanini hawawezi kuresist kabisa?????
 
hata nikifanyaje kama wa kutoka atatoka tu....so bora bac atumikie jasho lake!
AHSANTE...!
nimefurahishwa na uamuzi wako wa kumruhusu mumeo kuwa na ''mpango wa kando''.....CHA MSINGI ATUMIE HELA YAKE
 
mwanaume walio wengi wakitoka nje ucdhani atadumu na wewe kivile, akimaliza kale ka uzuri kako ujue atatafuta mwingine, jinc mie mke wake anavyonifanyia ndio atakavyokufanyia wewe, mie c ziwa limedondoka kwa kumnyonyesha yeye na wanae, sasa wewe kalidondosha kwa kubembea nalo....hapo faida ipo kwangu japo atakumbuka kuna familia atatimua mbio kurudi hme....baadhi ya wadada nawashangaa sana,hebu mjifunze kuringia usichana wenu...huyu mume wa mtu anakupimia muda anatoka saa mbili anakuambia namuwahi "wife"...we umeridhika tu kutumika, labda awe gold digger nitamuelewa otherwise hakunaga mapenzi ya kweli kutoka kwa mume wa mtu, tena mwanaume anaeijali familia yake ndio kabisaaa wanajua kuwapotezea warembo muda....


Nimeelewa asilimia mia moja dada, sasa hiyo ya kuwa Ifii nai deleate kwene kichwa, moyo, nafsi na roho yangu compltly
Ngoja nisubiri akuje mutu wa kuoa dada, sasa sijui nifanye mazoezi ya kukabidhiana na hayo mavituko!!!!
 
Nimeelewa asilimia mia moja dada, sasa hiyo ya kuwa Ifii nai deleate kwene kichwa, moyo, nafsi na roho yangu compltly
Ngoja nisubiri akuje mutu wa kuoa dada, sasa sijui nifanye mazoezi ya kukabidhiana na hayo mavituko!!!!

Eti nini........mpaka umpate huyo mume?shauri yako...............................
 
nimeelewa asilimia mia moja dada, sasa hiyo ya kuwa ifii nai deleate kwene kichwa, moyo, nafsi na roho yangu compltly
ngoja nisubiri akuje mutu wa kuoa dada, sasa sijui nifanye mazoezi ya kukabidhiana na hayo mavituko!!!!

wengine huanza siku moja baada ya kufunga ndoa
 
Nimeelewa asilimia mia moja dada, sasa hiyo ya kuwa Ifii nai deleate kwene kichwa, moyo, nafsi na roho yangu compltly
Ngoja nisubiri akuje mutu wa kuoa dada, sasa sijui nifanye mazoezi ya kukabidhiana na hayo mavituko!!!!

usifanye infi mwaya,,,sawa eeeh
 
Nimeelewa asilimia mia moja dada, sasa hiyo ya kuwa Ifii nai deleate kwene kichwa, moyo, nafsi na roho yangu compltly
Ngoja nisubiri akuje mutu wa kuoa dada, sasa sijui nifanye mazoezi ya kukabidhiana na hayo mavituko!!!!

huhitaji mazoezi mdogo wangu, unaweza fanya ya kukabiliana na mume ukakuta umepata mume mtam anaku support 101%...huku kwa mawifi/mama mkwe ndio balaa, utafanya mazoezi yapi uache yapi? we ingia ndani ukiwa na roho nyeupe mengine utayaweka sawa ukiwa ndani...mie kwa kweli mtu akiniambia hawara ana enjoy ckubaliani nae, kwangu mie naona naenjoy sana yeye asaidie tu kwa muda huyo mr arudi kwenye familia yake...(nicwabambe lakini)
 
huhitaji mazoezi mdogo wangu, unaweza fanya ya kukabiliana na mume ukakuta umepata mume mtam anaku support 101%...huku kwa mawifi/mama mkwe ndio balaa, utafanya mazoezi yapi uache yapi? we ingia ndani ukiwa na roho nyeupe mengine utayaweka sawa ukiwa ndani...mie kwa kweli mtu akiniambia hawara ana enjoy ckubaliani nae, kwangu mie naona naenjoy sana yeye asaidie tu kwa muda huyo mr arudi kwenye familia yake...(nicwabambe lakini)

He he he he hapo inaonekana patachimbika ile mbaya
 
huhitaji mazoezi mdogo wangu, unaweza fanya ya kukabiliana na mume ukakuta umepata mume mtam anaku support 101%...huku kwa mawifi/mama mkwe ndio balaa, utafanya mazoezi yapi uache yapi? we ingia ndani ukiwa na roho nyeupe mengine utayaweka sawa ukiwa ndani...mie kwa kweli mtu akiniambia hawara ana enjoy ckubaliani nae, kwangu mie naona naenjoy sana yeye asaidie tu kwa muda huyo mr arudi kwenye familia yake...(nicwabambe lakini )
ha ha ha ha!
ahsante kwa kutuongezea mbinu
 
Back
Top Bottom