''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

@hapo anayefaidi ni wewe unatunza zote mbili... moja ya home affair, na hiyo nyingine ya sports and entertainment

Kwenye home affair huwezi kuunda kitengo cha sports and entertainment?
 
Hivi unafikiri hawajui...? They are just not telling u what they know coz they are wise enough to know that they don't want their families to fall apart, but they know and they live in such horrible circumstances!! How difficult it is to being a woman...and more difficult when u are married!

So bora kuwa Infii au????

Manake Relaxation is there kadiri ya uwezo utakaokuepo, having fun.........
 
Nimeipenda hiyo avatar yako inanitamanisha yani acha tu... natamani kupaa now:focus:
it depends na wapi baba mwenye nyumba anaspend muda wake mwingi... huko anapospend muda mwingi huko basi ujue anafaidi sana huyo anayepewa muda kibao mengine mi huwa hayajalishi sana.. time spent kwangu ndio constant factor
HAYA BWANA!
kwa hiyo unamaanisha kuinjoi ni FUNCTION of TIME(in seconds)
 
(Safi kabisa...inaonekana krismas itakuwa tamu sana aisee hakikisha unarudi kabla mambo hayajaharibikia....)
(Patakuwa hapatoshi, katibu naye amethibitisha uwepo, na the King lazima tumpeleke akamnyweshe binti mbege):teeth::teeth::teeth:
 
So bora kuwa Infii au????

Manake Relaxation is there kadiri ya uwezo utakaokuepo, having fun.........
neno hilo mama mkubwa....!
 
Niko hapa hommie. Ulikuwa unasema...?....Hakikisha hapa, ili ujue nimekutukuza kwa kujali maslahi yangu.


The Following 3 Users Say Thank You to Kaizer For This Useful Post:
Asprin(Today), GY (Today), Teamo (Today)

Baba hachaguliwi...........:lol::lol:
Mama hapigiwi kura......watoto siri ya mama.
.:israel::israel::israel:

Babu huu nao ni mpango mzima au mpango wa nje?
 
hapo juu kaizer na asprin MNAICHAKACHUA THREAD
 
kiuhalisia mpango wa nje ndo unabenefit hapo kuliko mwenye nyumba,,,na mbaya zaidi mwanaume mwingine anapokuwa akifanya infii anaeleza weakness za mke wake though smtyms ni za uongo,,,so mpango wa nje unajaribu kucheza na gaps ili kuweza kizifill,,,ila ikatokea mambo yakabadilika mpango wa nje ukawa mwenye nyumba,,mlango mwingine unafunguliwa fasta!since there is no miss/mr perfect kwa hiyo unakuta infii kwa walio wengi haiwezi kukoma in actual fact!inaumiza sana

Lakini kila chenye faida kina hasara pia!!! But kama faida ni kubwa kuliko hasara, tunachagua.
So kama infii anapata furaha, amani, upendo nakadhalika zote kuliko mama mwenye nyumba,
Tunaweza kusema bora kuchagua Hiyo (MY INFII)
 
Back
Top Bottom