umeona eeh kama analalamika na kuona mwanae anaonewa,washauri wake hawajamshauri vizuriMbona kama analazimisha msamaha kwa rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona eeh kama analalamika na kuona mwanae anaonewa,washauri wake hawajamshauri vizuriMbona kama analazimisha msamaha kwa rais
kabisaUmri wake siyo kinga kwa mwanae ..Kama hafiki vigezo vya kusamehewa
Kwa Africa sio kwa jamii zilizoelimika uyakuti hayaHayo mambo ya laana kuna watu hawayafikirii aise! Muhimu ni kutii mamlaka na kujiepusha kushindania na wenye mamlaka vinginevyo mnyonge utaishia kuumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu akishakula whats next au faidaIna maana kina zitto na kina maria sarungi wamemtekeleza huyu mama pamoja na kumtumia kote kule kabendera wakishirikiana na mabeberu? Ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa.
Nae ajifunze akitoka, alipokuwa anatumika hakujua kuna mama na ndugu zake wanamtegemea.?Wacha ale jeuri yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala ujumbe wako mkuu hapa sio huruma yako kwa huyo mama. Tumekuelewaa vzr.Nimemuonea huruma sana huyu bibi na sisi watoto tujifunze tunapokuwa sehemu tujifunze tutii mamlaka tunawapa tabu sana wazazi wetu
Hujui anavyojisikia kama mama na mhitaji aliyekosa msaada. Yasikutoke mengi. Dunia hii inazunguka kasi sana.Mbona kama analazimisha msamaha kwa rais
Inasikitisha. Kuna mtu kanitumia hiyo video whatsapp na sikutaka kuifungua nikaamua kuidelete, ingenitoa machozi.
Hukumu ya Malinzi umeisikia ? kabla ya hapo mashitaka yake ungeweza kudhani hukumu yake ingekuwa kunyongwa , kumbe wakati mwingine hizi kesi zinakuwa za kutengenezamama anaweza kuwa hajui mwanae anachofanya
Verdiana Mjwahuzi (81) ambaye ni mama wa mwandishi wa habari, Erick Kabendera amemuomba Rais wa Tanzania, John Magufuli kumsamehe mwanaye.
Akizungumza kwa huzuni leo Ijumaa Desemba 13, 2019 katika mkutano na waandishi wa habari, Verdiana amesema Kabendera ni mwanaye pekee anayemsaidia katika matibabu.
Kabendera anakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la utakatishaji za zaidi ya Sh173 milioni na tayari amemuandikia barua mkurugenzi wa mashtaka (DPP) kukiri makosa na kuomba msamaha. Oktoba Mosi , 2019 kupitia wakili wake Jebra Kambole, alimuomba msamaha Rais Magufuli kama kuna makosa ameyafanya.
Verdiana amesema kati ya watoto wake wanane, Kabendera ni wa saba kuzaliwa na ndio alikuwa na uwezo wa kumtunza na kumuuguza.
Mheshimiwa Rais na yeye ni mtoto kama walivyo watoto wengine hata kama ni mkubwa. Ni mzazi na analea watoto. Namwomba anionee huruma.”
"Angalia maisha yalivyo magumu, dawa sipati. Naomba Rais anisaidie kama anavyosaidia wazazi wake,” amesema.
Amesema mwanaye alijitahidi kuitunza familia yake, yeye na ndugu zake wengine na kusisitiza kuwa ndio mhimili wa familia.
"Siwezi kumsifia mwanangu, wanaume wengi wakitoka kazini wanakwenda kulewa lakini Eric anafanya kazi zake hapa nyumbani hadi saa saba usiku na wakati mwingine hadi saa nane . Mambo yote aliyopata ni kwa sababu ya kufanya kazi," amesema mama huyo huku akibubujikwa machozi.
Ameongeza, “kule Segerea (gerezani) siwezi kwenda kwa sababu kuna msongamano wa watu, mahakamani kuna ngazi. Lakini mara ya mwisho nilijitahidi nikaenda nilipomuona mwanangu sikulia, nilijikaza lakini chozi moja lilinitoka. Sikujua kama ni yeye, amekonda na ana nywele nyingi kama mwehu. Ni mweusi lakini amezidi kuwa mweusi.
"Huyu mtoto ni Mungu amenizawadia, ni tunu kwangu. Akisikia mama anaumwa anakimbia haraka. Sasa hizo dawa sizipati tena, macho yalikuwa yanauma na moja halioni tena na hili linaloona naona vitu vyeusi."
View attachment 1291137
kwelii mkuu ...... mm binafsi nikiangalia chain iliyoko nyuma yangu huwa naishia kuwa mpole tuu forthe sake of watu walioko nyuma yanguHayo mambo ya laana kuna watu hawayafikirii aise! Muhimu ni kutii mamlaka na kujiepusha kushindania na wenye mamlaka vinginevyo mnyonge utaishia kuumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kuna siku nae zamu yake itafika ya kulipwa kwa alichomfanyia mwenziwe.
Wakina nani ?"Wataishi kama mashetani" jiwe
Umri wake siyo kinga kwa mwanae ..Kama hafiki vigezo vya kusamehewa
Dah hayaIna maana kina zitto na kina maria sarungi wamemtekeleza huyu mama pamoja na kumtumia kote kule kabendera wakishirikiana na mabeberu? Ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa.
Nae ajifunze akitoka, alipokuwa anatumika hakujua kuna mama na ndugu zake wanamtegemea.?Wacha ale jeuri yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kama analazimisha msamaha kwa rais
basi tusubiri mahakama itoe hukumu na sio hukumu zote zinakuwa nyepesi....tusifananishe tuache mahakama ifanye kazi yake......na ukweli utabaki kwamba sio lazima mama yake ajue mwanae anachokifanyaHukumu ya Malinzi umeisikia ? kabla ya hapo mashitaka yake ungeweza kudhani hukumu yake ingekuwa kunyongwa , kumbe wakati mwingine hizi kesi zinakuwa za kutengeneza