Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

Kwani wewe ni mahakama?
na vipi ikitokea kabendera akashinda kesi yake.
Utakuja kusema nini?
Changanya dua za wafungwa elfu tano na ushee +ndugu na jamaa za wafungwa,ukipata jumla yake,kaanayo

Kisha laana huyo bibi na kijana wake msaliti wa taifa upime mzani .
Kosa alilofanya huyu dogo kwa taifa hili alistahili kunyongwa,sema Magufuli anahuruma sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazazi tuache kudekeza watoto tuwafunze kuishi na wakubwa zao vizuri Wawe ndugu,watu wazima wa mitaani,ofisini, serikalini nk

Kabendera Ni zao la ujinga wa wazazi wake akiwemo mama yake hasa hakumfunza jinsi ya kuishi na watu waliomzidi kiumri na kimadaraka

Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu.Mama kabendera lawama zote na ziwe juu yako kwa kutomfunza vizuri mwanao Hadi kusababisha dunia ishike nafasi ya kumfunza kwa ujinga wako na kutomfunza mwanao vizuri Kama mzazi uliyemzaa.Unajua kuzaa tu kulea hujui mwanamke wewe mama kabendera.Looo!!

Kuzaa hata ngedere na mbwa anazaa kazi Ni kwenye malezi ndio tofauti iliyopo Kati ya hao wanyama na binadamu

Mama kabendera hukutimiza wajibu wako Kama mama ulizaa tu uiawaachia watoto dunia ndio iwafunze
 
Aise
Wazazi tuache kudekeza watoto tuwafunze kuishi na wakubwa zao vizuri Wawe ndugu,watu wazima wa mitaani,ofisini, serikalini nk

Kabendera Ni zao la ujinga wa wazazi wake akiwemo mama yake hasa hakumfunza jinsi ya kuishi na watu waliomzidi kiumri na kimadaraka

Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu.Mama kabendera lawama zote na ziwe juu yako kwa kutomfunza vizuri mwanao Hadi kusababisha dunia ishike nafasi ya kumfunza kwa ujinga wako na kutomfunza mwanao vizuri Kama mzazi uliyemzaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Changamoto ni kwamba mamlaka zinajisahau kwamba zipo kwaajili ya nani,zikijitambua utii utakiwepo bila shaka.Nisawa na mama na mwanaye(Kabendera),kila mmoja anajitambua na anatambua nafasi yake kwa mwenzake.Sasa hizi mamlaka za kujimwambafy unadhani nini kinafata kama sio misuguano isiyo na ulazima?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumtukana Rais nje ya mipaka ya nchi ni kulitukana Taifa, kuungana na wahujumu wa rasilimali zetu (ACACIA) na kudidimiza juhudi za mkuu wa nchi wa kuzipigania ni swala lisovumilika, alivuka mipaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa, nina chalii wawili wadogo hapa nikiwatizama tu akili inanitulia maana najua watapata tabu sana na hakuna wa kuwasaidia.
Kama kweli Kabendera aliyafanya hayo makosa nahakika hakufikiria juu ya walioko nyuma yake, narudia kusema kama kweli aliyafanya hayo makosa, nisije kunukuliwa hapa!
kwelii mkuu ...... mm binafsi nikiangalia chain iliyoko nyuma yangu huwa naishia kuwa mpole tuu forthe sake of watu walioko nyuma yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Verdiana Mjwahuzi (81) ambaye ni mama wa mwandishi wa habari, Erick Kabendera amemuomba Rais wa Tanzania, John Magufuli kumsamehe mwanaye.

Akizungumza kwa huzuni leo Ijumaa Desemba 13, 2019 katika mkutano na waandishi wa habari, Verdiana amesema Kabendera ni mwanaye pekee anayemsaidia katika matibabu.

Kabendera anakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la utakatishaji za zaidi ya Sh173 milioni na tayari amemuandikia barua mkurugenzi wa mashtaka (DPP) kukiri makosa na kuomba msamaha. Oktoba Mosi , 2019 kupitia wakili wake Jebra Kambole, alimuomba msamaha Rais Magufuli kama kuna makosa ameyafanya.

Verdiana amesema kati ya watoto wake wanane, Kabendera ni wa saba kuzaliwa na ndio alikuwa na uwezo wa kumtunza na kumuuguza.

Mheshimiwa Rais na yeye ni mtoto kama walivyo watoto wengine hata kama ni mkubwa. Ni mzazi na analea watoto. Namwomba anionee huruma.”

"Angalia maisha yalivyo magumu, dawa sipati. Naomba Rais anisaidie kama anavyosaidia wazazi wake,” amesema.

Amesema mwanaye alijitahidi kuitunza familia yake, yeye na ndugu zake wengine na kusisitiza kuwa ndio mhimili wa familia.

"Siwezi kumsifia mwanangu, wanaume wengi wakitoka kazini wanakwenda kulewa lakini Eric anafanya kazi zake hapa nyumbani hadi saa saba usiku na wakati mwingine hadi saa nane . Mambo yote aliyopata ni kwa sababu ya kufanya kazi," amesema mama huyo huku akibubujikwa machozi.

Ameongeza, “kule Segerea (gerezani) siwezi kwenda kwa sababu kuna msongamano wa watu, mahakamani kuna ngazi. Lakini mara ya mwisho nilijitahidi nikaenda nilipomuona mwanangu sikulia, nilijikaza lakini chozi moja lilinitoka. Sikujua kama ni yeye, amekonda na ana nywele nyingi kama mwehu. Ni mweusi lakini amezidi kuwa mweusi.

"Huyu mtoto ni Mungu amenizawadia, ni tunu kwangu. Akisikia mama anaumwa anakimbia haraka. Sasa hizo dawa sizipati tena, macho yalikuwa yanauma na moja halioni tena na hili linaloona naona vitu vyeusi."


View attachment 1291137
Hii ndo tumekuwa tukisema. kwamba kila taaluma inajaribu kutetea wenzao. Waandishi habari wanakuza matatizo ya mwenzao kwa kutangaza haya yote, Wanasheria nao walikuza sana ya mwenzao Lissu. Ifike wakati tuelewe kwamba walio magerezani na walionyongwa pia wana wazazi, wana watoto, wana kila mtegemezi.

Ni muhimu kugundua nafasi yako ktk jamii na familia na kuachana na sifa za kijinga. Mama huyu bahati nzuri kazeeka na akili timamu. badara ya kujaribu kumuhusia rais kama alivyofanya ansatahili amwambie mwanae asilewe sifa.
 
Kwahiyo wote wanaofanya mambo kinyume hawakulelewa vizuri? Sidhani kama kuna mzazi anamlea mwanae ili aje kupata matatizo mbeleni
Wazazi tuache kudekeza watoto tuwafunze kuishi na wakubwa zao vizuri Wawe ndugu,watu wazima wa mitaani,ofisini, serikalini nk

Kabendera Ni zao la ujinga wa wazazi wake akiwemo mama yake hasa hakumfunza jinsi ya kuishi na watu waliomzidi kiumri na kimadaraka

Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu.Mama kabendera lawama zote na ziwe juu yako kwa kutomfunza vizuri mwanao Hadi kusababisha dunia ishike nafasi ya kumfunza kwa ujinga wako na kutomfunza mwanao vizuri Kama mzazi uliyemzaa.Unajua kuzaa tu kulea hujui mwanamke wewe mama kabendera.Kuzaa hata ngedere anazaa kazi Ni kwenye malezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndo tumekuwa tukisema. kwamba kila taaluma inajaribu kutetea wenzao. Waandishi habari wanakuza matatizo ya mwenzao kwa kutangaza haya yote, Wanasheria nao walikuza sana ya mwenzao Lissu. Ifike wakati tuelewe kwamba walio magerezani na walionyongwa pia wana wazazi, wana watoto, wana kila mtegemezi.

Ni muhimu kugundua nafasi yako ktk jamii na familia na kuachana na sifa za kijinga.
Nimekupa like Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubinadamu kazi, hatufanani

Sent using Jamii Forums mobile app
True wapo watu machozi,maumivu,uchungu,vilio vya wengine kwao ni burudani.Furaha yao ni kuona wengine wakiteseka.Tumeona watu badala ya kutoa msaada wao wanapiga picha,mtu yeyeto aliyepatikana toka nguvu za giza au baada ya mzazi kwenda kwa mganga hawezikuwa na utu
 
Back
Top Bottom