Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

Halafu akishakula whats next au faida
 
Mbona ccm hawaposti hii clip kumjulisha rais wa wanyonge kuna mwananchi anateseka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mambo ya laana kuna watu hawayafikirii aise! Muhimu ni kutii mamlaka na kujiepusha kushindania na wenye mamlaka vinginevyo mnyonge utaishia kuumia

Sent using Jamii Forums mobile app
kwelii mkuu ...... mm binafsi nikiangalia chain iliyoko nyuma yangu huwa naishia kuwa mpole tuu forthe sake of watu walioko nyuma yangu
 
Hukumu ya Malinzi umeisikia ? kabla ya hapo mashitaka yake ungeweza kudhani hukumu yake ingekuwa kunyongwa , kumbe wakati mwingine hizi kesi zinakuwa za kutengeneza
basi tusubiri mahakama itoe hukumu na sio hukumu zote zinakuwa nyepesi....tusifananishe tuache mahakama ifanye kazi yake......na ukweli utabaki kwamba sio lazima mama yake ajue mwanae anachokifanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…