nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,035
Ndugu yangu Mimi naamini yeyote anayeshindana na mamlaka anaishia kupata tabu, ukujifanya mjuaji na huna pa kushika utaumia mbeleniumeona eeh mambo ya kujifany amjuaji ona sasa anaeteseka ni mama ake,mkewe na ndugu zake waloguswa
Changanya dua za wafungwa elfu tano na ushee +ndugu na jamaa za wafungwa,ukipata jumla yake,kaanayo
Kisha laana huyo bibi na kijana wake msaliti wa taifa upime mzani .
Kosa alilofanya huyu dogo kwa taifa hili alistahili kunyongwa,sema Magufuli anahuruma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna beberu wa kukufaa, tunayo mifano ya wengi waliojifanya wajuaji wameishia kupata tabu si beberu si waliokuwa wanawatumia wanabaki kuwaangalia tukuheshimu mamlaka bhasiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ukijifanya mjuaji uhakikishe mabeberu yatakufaa ww na familia yako
AiseChanganya dua za wafungwa elfu tano na ushee +ndugu na jamaa za wafungwa,ukipata jumla yake,kaanayo
Kisha laana huyo bibi na kijana wake msaliti wa taifa upime mzani .
Kosa alilofanya huyu dogo kwa taifa hili alistahili kunyongwa,sema Magufuli anahuruma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazazi tuache kudekeza watoto tuwafunze kuishi na wakubwa zao vizuri Wawe ndugu,watu wazima wa mitaani,ofisini, serikalini nk
Kabendera Ni zao la ujinga wa wazazi wake akiwemo mama yake hasa hakumfunza jinsi ya kuishi na watu waliomzidi kiumri na kimadaraka
Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu.Mama kabendera lawama zote na ziwe juu yako kwa kutomfunza vizuri mwanao Hadi kusababisha dunia ishike nafasi ya kumfunza kwa ujinga wako na kutomfunza mwanao vizuri Kama mzazi uliyemzaa
Kumtukana Rais nje ya mipaka ya nchi ni kulitukana Taifa, kuungana na wahujumu wa rasilimali zetu (ACACIA) na kudidimiza juhudi za mkuu wa nchi wa kuzipigania ni swala lisovumilika, alivuka mipaka.Changamoto ni kwamba mamlaka zinajisahau kwamba zipo kwaajili ya nani,zikijitambua utii utakiwepo bila shaka.Nisawa na mama na mwanaye(Kabendera),kila mmoja anajitambua na anatambua nafasi yake kwa mwenzake.Sasa hizi mamlaka za kujimwambafy unadhani nini kinafata kama sio misuguano isiyo na ulazima?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwelii mkuu ...... mm binafsi nikiangalia chain iliyoko nyuma yangu huwa naishia kuwa mpole tuu forthe sake of watu walioko nyuma yangu
Tena huyo inatakiwa anapotoka huko korodani zisiwe zinaning'inia ili iwe fundisho.Kabla hujafa hujaumbika , hivi kama kweli Kabendera ni mtakatisha pesa huyu mama angelia namna hii ? endeleeni na ukatiri wenu lakini mtakuja kulipa tu
Hii ndo tumekuwa tukisema. kwamba kila taaluma inajaribu kutetea wenzao. Waandishi habari wanakuza matatizo ya mwenzao kwa kutangaza haya yote, Wanasheria nao walikuza sana ya mwenzao Lissu. Ifike wakati tuelewe kwamba walio magerezani na walionyongwa pia wana wazazi, wana watoto, wana kila mtegemezi.Verdiana Mjwahuzi (81) ambaye ni mama wa mwandishi wa habari, Erick Kabendera amemuomba Rais wa Tanzania, John Magufuli kumsamehe mwanaye.
Akizungumza kwa huzuni leo Ijumaa Desemba 13, 2019 katika mkutano na waandishi wa habari, Verdiana amesema Kabendera ni mwanaye pekee anayemsaidia katika matibabu.
Kabendera anakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la utakatishaji za zaidi ya Sh173 milioni na tayari amemuandikia barua mkurugenzi wa mashtaka (DPP) kukiri makosa na kuomba msamaha. Oktoba Mosi , 2019 kupitia wakili wake Jebra Kambole, alimuomba msamaha Rais Magufuli kama kuna makosa ameyafanya.
Verdiana amesema kati ya watoto wake wanane, Kabendera ni wa saba kuzaliwa na ndio alikuwa na uwezo wa kumtunza na kumuuguza.
Mheshimiwa Rais na yeye ni mtoto kama walivyo watoto wengine hata kama ni mkubwa. Ni mzazi na analea watoto. Namwomba anionee huruma.”
"Angalia maisha yalivyo magumu, dawa sipati. Naomba Rais anisaidie kama anavyosaidia wazazi wake,” amesema.
Amesema mwanaye alijitahidi kuitunza familia yake, yeye na ndugu zake wengine na kusisitiza kuwa ndio mhimili wa familia.
"Siwezi kumsifia mwanangu, wanaume wengi wakitoka kazini wanakwenda kulewa lakini Eric anafanya kazi zake hapa nyumbani hadi saa saba usiku na wakati mwingine hadi saa nane . Mambo yote aliyopata ni kwa sababu ya kufanya kazi," amesema mama huyo huku akibubujikwa machozi.
Ameongeza, “kule Segerea (gerezani) siwezi kwenda kwa sababu kuna msongamano wa watu, mahakamani kuna ngazi. Lakini mara ya mwisho nilijitahidi nikaenda nilipomuona mwanangu sikulia, nilijikaza lakini chozi moja lilinitoka. Sikujua kama ni yeye, amekonda na ana nywele nyingi kama mwehu. Ni mweusi lakini amezidi kuwa mweusi.
"Huyu mtoto ni Mungu amenizawadia, ni tunu kwangu. Akisikia mama anaumwa anakimbia haraka. Sasa hizo dawa sizipati tena, macho yalikuwa yanauma na moja halioni tena na hili linaloona naona vitu vyeusi."
View attachment 1291137
Kabla hujafa hujaumbika , hivi kama kweli Kabendera ni mtakatisha pesa huyu mama angelia namna hii ? endeleeni na ukatiri wenu lakini mtakuja kulipa tu
Wazazi tuache kudekeza watoto tuwafunze kuishi na wakubwa zao vizuri Wawe ndugu,watu wazima wa mitaani,ofisini, serikalini nk
Kabendera Ni zao la ujinga wa wazazi wake akiwemo mama yake hasa hakumfunza jinsi ya kuishi na watu waliomzidi kiumri na kimadaraka
Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu.Mama kabendera lawama zote na ziwe juu yako kwa kutomfunza vizuri mwanao Hadi kusababisha dunia ishike nafasi ya kumfunza kwa ujinga wako na kutomfunza mwanao vizuri Kama mzazi uliyemzaa.Unajua kuzaa tu kulea hujui mwanamke wewe mama kabendera.Kuzaa hata ngedere anazaa kazi Ni kwenye malezi
Nimekupa like MkuuHii ndo tumekuwa tukisema. kwamba kila taaluma inajaribu kutetea wenzao. Waandishi habari wanakuza matatizo ya mwenzao kwa kutangaza haya yote, Wanasheria nao walikuza sana ya mwenzao Lissu. Ifike wakati tuelewe kwamba walio magerezani na walionyongwa pia wana wazazi, wana watoto, wana kila mtegemezi.
Ni muhimu kugundua nafasi yako ktk jamii na familia na kuachana na sifa za kijinga.
Mtoto usimchekee kwenye malezi aweza kupangisha shida mbeleni.Mama kabendera ajilaumu mwenyewe kulea watoto hovyocc: The Economist
Human Rights Watch, LHRC
All Beberus around the world.
Pole sana mama Eric, mimi pia nampenda mama yangu sana. Nimejifunza jambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
True wapo watu machozi,maumivu,uchungu,vilio vya wengine kwao ni burudani.Furaha yao ni kuona wengine wakiteseka.Tumeona watu badala ya kutoa msaada wao wanapiga picha,mtu yeyeto aliyepatikana toka nguvu za giza au baada ya mzazi kwenda kwa mganga hawezikuwa na utu
unadhani waliopo magerezani hawana wamama wazee vipi wote wakirekodiwa wanawaombea watoto zao msamaha ,waachiliwe wafungwa wote?
Iko hii hata kwenye Biblia,wanasema tutii mamlaka au tutii mabwana zetu yaani watawala...Nimemuonea huruma sana huyu bibi na sisi watoto tujifunze tunapokuwa sehemu tujifunze tutii mamlaka tunawapa tabu sana wazazi wetu