Mama Mzazi wa Luludiva amefariki.
Mama Mzazi wa mwanamziki (Msanii wa Bongo fleva) Luludiva amefariki dunia desemba 19, 2021.
Kwa mujibu wa Lulu diva alisema mama yake aliugua kwa muda mrefu na amekuwa akimuuguza kwa miaka mingi.
R.I.P mama Lulu diva
Rizm ikoje mkuuMwanamuziki ni yule anayejua kupiga Alla zote za music kwa mf guitor, trampeture, rizm,kinanda, na vyombo vya asili kama malimba, ngoma, zeze na kazarika.
Sasa huyo Luludivai sijui kama anauwezo wa kupiga hivyo vyombo[emoji16][emoji16][emoji16]
Lulu Diva? Hivi diva ana mtoto anaitwa Lalu?Mama Mzazi wa Luludiva amefariki.
Mama Mzazi wa mwanamziki (Msanii wa Bongo fleva) Luludiva amefariki dunia desemba 19, 2021.
Kwa mujibu wa Lulu diva alisema mama yake aliugua kwa muda mrefu na amekuwa akimuuguza kwa miaka mingi.
R.I.P mama Lulu diva
Hahaa eti lulisiava. Aisee.Ni vyema kungekua na picture maana siyo wote tunamfahamu huyo lulisiava.
Tumuite ‘Msanii’ au ‘Mtumbuishaji’Mwanamuziki ni yule anayejua kupiga Alla zote za music kwa mf guitor, trampeture, rizm,kinanda, na vyombo vya asili kama malimba, ngoma, zeze na kazarika.
Sasa huyo Luludivai sijui kama anauwezo wa kupiga hivyo vyombo[emoji16][emoji16][emoji16]
Asante kwa kunijuza hivyo huyu ni bora kumuita Msanii tu bila shaka.Mwanamuziki ni yule anayejua kupiga Alla zote za music kwa mf guitor, trampeture, rizm,kinanda, na vyombo vya asili kama malimba, ngoma, zeze na kazarika.
Sasa huyo Luludivai sijui kama anauwezo wa kupiga hivyo vyombo[emoji16][emoji16][emoji16]
Hata yeye hahitambuiLulu diva ndio nani!
Hapana hawana uhusiano wowote Kati ya wote tajwa hapo juu.Huyu Lulu diva ndio nani hasa?, Je, ana undugu wowote na Amber lulu, Lulu Michael, Divatheboss au haya majina ni ya mtu mmoja
LULU DIVA ni ndugu na Idrisa SultanHapana hawana uhusiano wowote Kati ya wote tajwa hapo juu.
Mfano amber lulu mtu wa Mbeya, Lulu diva Tanga japo na divathebawse nae ni tangu hapo majina hayo wanatumia kama majina ya sanaa.
Dunia hii ni changamoto sanaKweli maana ameteseka sana kwa muda wote huo.