Wakati mwingine tuwe tunazika mjini maana huku ni kuumbuka hasa masupa staa au siyo Dinazarde wanguPole sana Divana, msiba huu mzito kwetu sote
View attachment 2052711
View attachment 2052712
Pole tena mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mwingine tuwe tunazika mjini maana huku ni kuumbuka hasa masupa staa au siyo Dinazarde wanguPole sana Divana, msiba huu mzito kwetu sote
View attachment 2052711
View attachment 2052712
Pole tena mama
Umepaona!Tukapaone kwao sasa.maana tumechoka na mbwembwe za kwenye mitandao
Mungu amutangulie kipindi hiki cha majonzi.Pole sana Divana, msiba huu mzito kwetu sote
View attachment 2052711
View attachment 2052712
Pole tena mama
Na divi tafsiri yake nini.
Unaweza kuzikia sehemu sio kwenu??Hapo lulu sio kwao
Na alikuwa anajitahidi kuuguza,kodi,chakula na sio kwamba ni tajiri ni binti anaejihangaikia Na maisha yke
KikojeNi chombo Cha muziki
Asante evonik,Taarifa yako INA mapungufu umebezi kwa Lulu diva kuliko msiba wa mama,hujasema mama anaitwa nan, dini gan, aliumwa nn au ndo t aarifa ya wasifu wa marehem enz za uwai wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Msiende tu na simu janja SI RUHUSAMsiba unafanyikia wapi tukawape Pole wafiwa?
Nenda utube utakiona au googleKikoje
Wakati mwingine tuwe tunazika mjini maana huku ni kuumbuka hasa masupa staa au siyo Dinazarde wangu
Hapo lulu sio kwao
Na alikuwa anajitahidi kuuguza,kodi,chakula na sio kwamba ni tajiri ni binti anaejihangaikia Na maisha yke
Tatizo la watu wa TA mashauzi mengi lakini nyumbani ni nyumba za tope. Si ajabu hata kwao na Sky Eclat ukakuta ni nyumba ya tope ! Kama lulu diva asingekuwa na mashauzi tusingemzonga.Kwani kuna kaumbuka na nini lulu?
Pole sana kwake, mama lulu alale salama