TANZIA Mama Mzazi wa Lulu diva amefariki

TANZIA Mama Mzazi wa Lulu diva amefariki

Umepaona!
Ndio

Screenshot_20211221-215652_Instagram.jpg


Screenshot_20211221-215704_Instagram.jpg
 
Taarifa yako INA mapungufu umebezi kwa Lulu diva kuliko msiba wa mama,hujasema mama anaitwa nan, dini gan, aliumwa nn au ndo t aarifa ya wasifu wa marehem enz za uwai wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa yako INA mapungufu umebezi kwa Lulu diva kuliko msiba wa mama,hujasema mama anaitwa nan, dini gan, aliumwa nn au ndo t aarifa ya wasifu wa marehem enz za uwai wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante evonik,

Hapo mimi nakubali kua nimekuwa nikilenga upande mmoja sababu ni kwawa nilikuwa natoa tu arifa juu ya msiba na muhusika au mlengwa mkubwa wa msiba ni Luludiva
 
Kwani kuna kaumbuka na nini lulu?

Pole sana kwake, mama lulu alale salama
Tatizo la watu wa TA mashauzi mengi lakini nyumbani ni nyumba za tope. Si ajabu hata kwao na Sky Eclat ukakuta ni nyumba ya tope ! Kama lulu diva asingekuwa na mashauzi tusingemzonga.
 
Tatizo la watu wa TA mashauzi mengi lakini nyumbani ni nyumba za tope. Si ajabu hata kwao na Sky Eclat ukakuta ni nyumba ya tope ! Kama lulu diva asingekuwa na mashauzi tusingemzonga.

Jamani kolola😐😐😐😐 mbona sijaona mahala walipojishaua hawa watu
 
Back
Top Bottom