TANZIA Mama Mzazi wa Lulu diva amefariki

TANZIA Mama Mzazi wa Lulu diva amefariki

Hapana hawana uhusiano wowote Kati ya wote tajwa hapo juu.
Mfano amber lulu mtu wa Mbeya, Lulu diva Tanga japo na divathebawse nae ni tangu hapo majina hayo wanatumia kama majina ya sanaa.
Hapana. Divathebawse ni mhaya mama ndo mtu wa Tanga, na Lulu Diva ni mtu wa Arusha, mama ndio wa Tanga.
 
Pole sana Divana, msiba huu mzito kwetu sote
IMG_8800.jpg

IMG_8799.jpg

Pole tena mama
 
Back
Top Bottom