TANZIA Mama Mzazi wa Lulu diva amefariki

TANZIA Mama Mzazi wa Lulu diva amefariki

Huyu Lulu diva ndio nani hasa?, Je, ana undugu wowote na Amber lulu, Lulu Michael, Divatheboss au haya majina ni ya mtu mmoja
Umeridhika?

Screenshot_20211220-110534_Opera Mini.jpg


Screenshot_20211220-110546_Opera Mini.jpg
 
Asante kwa ujumbe lakini wimbi hili halihusiki kwa Mama huyu maana aliugua kwa miaka mingi.

Wewe hujui kuwa mawimbi haya ndiyo safisha safisha ya waliougua muda mrefu na wazee?

Kwani mzee baba hakuwa na ugonjwa wa moyo pia?
 
Mama Mzazi wa Luludiva amefariki.
Mama Mzazi wa mwanamziki (Msanii wa Bongo fleva) Luludiva amefariki dunia desemba 19, 2021.

Kwa mujibu wa Lulu diva alisema mama yake aliugua kwa muda mrefu na amekuwa akimuuguza kwa miaka mingi.

R.I.P mama Lulu diva
Rip kwakweli kapambana naye sana. Alifanya juhudi sana juu ya mama yake.
 
Hii inchi ina watu unaweza kua unawasikia sikia lakini hujui wanafanyaga nini maana Dar es Salaam imebeba watu wengine ambao hawaeleweki
 
Wewe hujui kuwa mawimbi haya ndiyo safisha safisha ya waliougua muda mrefu na wazee?

Kwani mzee baba hakuwa na ugonjwa wa moyo pia?
Kweli ngoja tuchukue tahadharu japo tunaambiwa hakuna wimbi la nne.
 
Hii inchi ina watu unaweza kua unawasikia sikia lakini hujui wanafanyaga nini maana Dar es Salaam imebeba watu wengine ambao hawaeleweki
Unataka kuongelea Lulu diva? Au kuna wengine.
 
Msiba unafanyikia wapi tukawape Pole wafiwa?
Updates
===
Mwili wa mama Mzazi wa Lulu diva kuagwa juma pili tarehe 19/12/2021 majira ya saa 10 jioni katika hospital ya Lugalo jijini Dar es salaam.

Baadaye utasafirishwa kwenye mkoani Tanga Wilaya ya Mheza kwa ajili ya mazishi yatakayo fanyika juma nne desemba 21,2021
 
Back
Top Bottom