Aha kumbe embu niambie wapi ulinishanichangia bando?Unaliwa sana mbs zako na hizo online tv uchwala
Hapana labda kama na wewe usaidii kwenuHii familia yote ni ya kishenzi tu.
Saidien wazaz wenuHaya mambo huwa yana impact kwa watoto Megan wa Harry ivo ivo sababu ya babake na tamaa za kipuuzi
Sijui na sijui,, naona tu habari zake nakuuliza kunaniKwa lengo lipi?
Wapi nimekuambia nilishawahi kukuchangia bando?Aha kumbe embu niambie wapi ulinishanichangia bando?
Hamtunzi mama yakeSijui na sijui,, naona tu habari zake nakuuliza kunani
Sasa how comes unasema wananimalizia bando?Wapi nimekuambia nilishawahi kukuchangia bando?
Tunzeni wazaz wenuShetani yupo kazini,akiwaacha akili zikiwarudia Watajicheka sana.
Kuna tofauti gani na wazaz wanao kuja kazini kulalamika watoto wao hawatunzi?Huyu mama poyoyo. Unamsemaje vibaya mwanao kwa umma?
Hujui kuchuja taarifa, zote za uongo na kweli unazibeba unazitupa humuSasa how comes unasema wananimalizia bando?
Tatizo awazijui amri za dini zao ...He'll
Mzazi wa muimbaji wa injili leo amefunguka mazito sana kuhusu mtoto wake kaweka ukweli wote
View: https://youtu.be/jfO4MmdavMQ?si=FTVq0cSBdUE3_YgJ
Ni aibu na inasikitisha sana mtoto una mkataa mama yako kusema sio mama yangu bora angekuwa baba baba unaweza kusingiziwa ila mama hapana
Ujaamua kuionaHadi sasa ambae sijaona sura yake ni joan tuu
Ninaposema washenzi ni jinsi wanavyoanika mambo yao hadharani. Zaidi ya kujidhalilisha hakuna msaada wowote watakaopata zaidi ya kutoa contents kwa watoa habari na kuwanufaisha wao.Hapana labda kama na wewe usaidii kwenu