Mama mzazi wa Martha Mwaipaja alia kwa uchungu, akithibitisha kuwa mwanae huyo hamsaidii kutokana na mzozo na mdogo wake Beatrice

Mama mzazi wa Martha Mwaipaja alia kwa uchungu, akithibitisha kuwa mwanae huyo hamsaidii kutokana na mzozo na mdogo wake Beatrice

Hii familia imeamua kumchafua kabisa binti yao.

Hii sio sawa hata kidogo.
Tatizo awazijui amri za dini zao ...
Amri inasema usitamani mali ya jirani yako wala mke wake wala mume wake wala watoto wake wala mtumishi (mjakazi) (joan)wake wala chochote alichonacho. Kisha kuna amri inasema mali na fedha mtu utoa kwa babaye(mamaye) aisemi mali na fedha mtu utoa kwa wanawe .....kama martha ajamdhumu mtu yoyote kwenye familia yake hana kosa lolote tatizo huyo mzazi na mtoto wake wa kike wana uchu wa mali za Marth...yesu anasema masikini mnao siku zote na mkitaka naweza kuwa saidia ..ni hiyari.
HUYO MAMA NA TOTO LAKE MIPUMBAVU INA TAMANI MALI ZA MARTH WANATAMANI MJAKAZI WA MARTH WANATAMANI FEDHA ZA MARTH NK KINYUME NA MAANDIKO YA DINI ZAO
 
Mambo ya familia kuyapeleka kwenye vyombo vya habari ni Ufala na Ushamba uliotukuka.

Media zitapata views na pesa, nyinyi kama familia mtapata nini?

Tangu mnapata akili kuna mtu amewahi kushuhudia Media ikitatua mgogoro wa kifamilia? Zaidi watachochea tu ili wapate pesa.

Huyu mama ni mshamba, mdogo ake Martha ni mshamba na Martha mwenyewe akija kujibu kupitia Media naye atakuwa mshamba pia.
Embu tunzeni wazazi wenu kuepusha aibu
 
Mama mzazi wa Martha Mwaipaja amezungumza na kuthibitisha kuwa yale yaliyosemwa na mdogo wake, Beatrice Mwaipaja kuwa muimbaji huyo wa 'Hatufanani' hamsaidii.

Akizungumza kwa uchungu kwenye mahojiano na Wemu Online TV, Mama huyo amesema alizaa watoto watatu wakiwemo Martha na Beatrice wanaopishana miaka 2 ambapo mtoto wa kwanza alifariki dunia. Mume wake, baba yao Martha na Beatrice alifariki 1995.

Anasema hadi sasa ana wajukuu wanne tu, mtoto wa Martha ambaye ni wa kiume aliyezaa na aliyekuwa mume wake, watoto wawili wa Beatrice, na mmoja aliyeachwa na marehemu mwanae wa kwanza.

Pia, Soma: Beatrice Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake kwamba ana fedha nyingi lakini hamsaidii mama yake

Amesema, Joan alienda kwa Martha kama mfanyakazi wa ndani na kwamba alimweleza kuwa ni mtoto yatima anayehitaji msaada. Mama huyo amedai kuwa kwa sasa Joan ndiye anayeamua kila kitu katika maisha ya Martha na kwamba yeye ndiye amekuwa akimzuia asimsaidie.

Ameeleza kuwa hata mjukuu wake, mtoto wa kuzaa wa Martha naye amekuwa akiishi maisha yasiyo na furaha. "Yule mtoto (Joan) ndiye ambaye ametanda pale sebuleni," ameeleza Mama Martha kwenye mahojiano hayo.

"Mtoto wangu mpaka ninamuita 'Martha hebu njoo umuangalie mtoto huku jua linampiga halafu ninyi mmekaa sebuleni, hujui' alikuja tu akashika tu kidevu akaangalia mwanangu, akaondoka. Mtoto yule hana raha na mama yake."

Mama huyo anasema amefanya kila awezalo lakini amemshindwa Joan. "Mimi kama mimi nimemshindwa, na ndio maana Beatrice ameamua kuongea, umma umsaidie, naomba mtusaidie," ameeleza.

Anasema Martha na Beatrice wameanza kugombana mara baada tu Joan alipoingia kwenye maisha ya Martha.

"Kwasababu [Joan] ameoana kwamba Beatrice anaufahamu kwamba huyu ndiye anamchanganya dada yake, kwahiyo akiangaza kuongea, huyu binti ndipo anaanza kugeuza maneno na kumpandikizia roho ya kwamba mdogo wako hakupendi."
View attachment 3180128

Pesa huwa zina masharti
 
Hii familia yote ni ya kishenzi tu.
Tatizo awazijui amri za dini zao ...
Amri inasema usitamani mali ya jirani yako wala mke wake wala mume wake wala watoto wake wala mtumishi (mjakazi) (joan)wake wala chochote alichonacho. Kisha kuna amri inasema mali na fedha mtu utoa kwa babaye(mamaye) aisemi mali na fedha mtu utoa kwa wanawe .....kama marth ajamdhumu mtu yoyote kwenye familia yake hana kosa lolote tatizo huyo mzazi na mtoto wake wa kike wana uchu wa mali za Marth...yesu anasema masikini mnao siku zote na mkitaka naweza kuwa saidia ..ni hiyari.
HUYO MAMA NA TOTO LAKE MIPUMBAVU INA TAMANI MALI ZA MARTH WANATAMANI MJAKAZI WA MARTH WANATAMANI FEDHA ZA MARTH NK KINYUME NA MAANDIKO YA DINI ZAO
 
Hujui kuchuja taarifa, zote za uongo na kweli unazibeba unazitupa humu
Ndio maana nikakupa taarifa kua hiyo online tv sio chanzo cha kuaminika
Unashiriki kumchafua mtu kitu ambacho sio kizuri kuna habari zikiletwa na wanawake ni sawa.
Angekuwa ana muhudumia mzazi wake haya watu tusinge yajua mnatelekeza wazaz wenu af mnataka mfichiwe siri
 
Tatizo awazijui amri za dini zao ...
Amri inasema usitamani mali ya jirani yako wala mke wake wala mume wake wala watoto wake wala mtumishi (mjakazi) (joan)wake wala chochote alichonacho. Kisha kuna amri inasema mali na fedha mtu utoa kwa babaye(mamaye) aisemi mali na fedha mtu utoa kwa wanawe .....kama marthajamdhul7mu mtu yoyote kwenye familia yake hana kosa lolote tatizo huyo mzazi na mtoto wake wa kike wana uchu wa mali za Marth...yesu anasema masikini mnao siku zote na mkitaka naweza kuwa saidia ..ni hiyari.
HUYO MAMA NA TOTO LAKE MIPUMBAVU INA TAMANI MALI ZA MARTH WANATAMANI MJAKAZI WA MARTH WANATAMANI FEDHA ZA MARTH NK KINYUME NA MAANDIKO YA DINI ZAO
Mh watu hawataki kutunza wazazi wao
 
Sie wengine wazazi walishatangulia mbele ya haki tunatamani wangekuwepo, ila tunawaombea pumziko la milele tu.

Ila kwenye familia kuna mambo . mengi sana ya siri asikwambie mtu, si ajabu kuna Siri ambayo wote wanaificha either Kwa aibu au wataonekana namna gani Kwa watu.
 
Mh watu hawataki kutunza wazazi wao
Unajua maana ya haya maneno ya yesu ...waache wafu wazike wafu wao ...mzazi mwovu wakazi gani ..je unaelewa nini yesu alipo sema mzazi ni nani na mzazi wake ni nani ...yesu mwenyewe kasema mzazi ni yule atendaye haki siyo yule wa kuzaana...anasema mzazi wangu mimi yesu na ndugu yangu mimi yesu ni yule tu atendaye mapenzi ya Mungu ....maana yake ni kwamba aangalii umemzaa au la anachoangalia yeye ni haki ya mungu tu
 
Ninaposema washenzi ni jinsi wanavyoanika mambo yao hadharani. Zaidi ya kujidhalilisha hakuna msaada wowote watakaopata zaidi ya kutoa contents kwa watoa habari na kuwanufaisha wao.

Kesho itakuja habari nyingine inayotrend zaidi na wao na kadhia zao watasahaulika. Kuna wakati katika maisha ni busara zaidi kukaa kimya na kuacha ulimwengu umhukumu mtu kuliko kutoa mambo yako hadharani na mwisho wa siku ubaki na hali ile ile tu kimaisha.
Kazini kwenu hakuna wazaz au wake wanaokuja kulalamika kuwa hawatunzwi? Tofauti ni kwamba wao ni maarufu tu wanajina
 
Tunatunza kwa Wazazi kwasababu tunatakiwa kuwatunza, hatufanyi hivyo kwa kuwa watu watasema hivi au vile.

Ukiona unafanya jambo kwa kuhofia watu watasema hivi basi tambua hulifanyi kutoka moyoni.
Sasa kosa la uyo mama ni lipi?
 
Huyo mama ndiyo mpumbavu kwa asilimia 100
Wewe ndiye Martha Mwaipaya ? Mbona unamtukana Mama yako ? Uchungu wa mtoto huujui. Kumkana mama/baba aliyekuzaa ni laana. Huyo mama angeweza kuamua Martha afe au aishi alipokuwa tumboni au mdogo. Amsingizie iweje tena mbele ya media. Nguvu za giza na mapepo zimejaa kwenye ulokole. Martha has been taken by demons.
 
Atakama amtunze mama yake
Ndiyo nakwambia yalimo humo wanayajua wenyewe, kwani Martha yeye anasemaje? Sizani kama Martha kawa mjinga au hajielewi aanze tu hapo kuna kitu walitakiwa waanzie kwenye familia kwani ndugu zao si wapo?
 
Back
Top Bottom