Mama mzazi wa Martha Mwaipaja alia kwa uchungu, akithibitisha kuwa mwanae huyo hamsaidii kutokana na mzozo na mdogo wake Beatrice

Sikia hakuna mtu atoke uko kwenda kumsaidi mama yako ni jukumu lako wewe kumsaidia ila watoto wasikuizi hawataki
Una akili fupi sana we dogo halafu kwenye mambo ya familia huna uzoefu nayo ni bora ukafunga akili yako tu.

Migogoro kama hii yakina Mwaipaja haisuruhishwi mitandaoni na kwanza huyo Mama hana hata busara unalazimisha vipi msaada ?
 
Huyo itakuwa maisha bado ndiyo anayaanza , hata mie nimeshangaa kutukana badala ya kueleweahana msamehe tu
 
Anaye amua mtu kuishi au kufa kwa mujibu wa dini zenu ni mama au Mungu ?
Wanaotupwa vyooni, baada ya kuzaliwa nani huwa ameamua. Wanaowanyonga na kuwatelekeza majalalani huwa nani ameamua. MUNGU ni mkuu, haikwepeki. Bado mzazi ana maaumuzi asilimia πŸ’― juu ya hatma ya mtoto. Mzazi aheshimiwe na kutunzwa.
 
Una akili fupi sana we dogo halafu kwenye mambo ya familia huna uzoefu nayo ni bora ukafunga akili yako tu.

Migogoro kama hii yakina Mwaipaja haisuruhishwi mitandaoni na kwanza huyo Mama hana hata busara unalazimisha vipi msaada ?
Sijaona akilazimisha msaada, nimesikia akilalamika mwanae amemkana kuwa sio mama yake. Usimtetee laana
 
"Mimi ni mama yako mwanangu. Mama Paschal unamjua mwanangu, ndiye mama ambaye nilikuambia wewe alikupokea wakati ninakuzaa wewe mwanangu. Leo unasema mimi SIYO mama yako ?!! ..."

Kwako mkuu Dejane utupe mawili matatu hapa. 😎

-Kaveli-
Sijajua kama ni mama yake kweli ngoja tuone itakapoendelea
 
Watajuana.
Mzee nae analalamika siendi kumuangalia.mzee napambana huku.kama mzima inatosha.
 
Ila kuna mahali tuna kwama watoto
 
Huyo itakuwa maisha bado ndiyo anayaanza , hata mie nimeshangaa kutukana badala ya kueleweahana msamehe tu
Mshamba mshamba sana huyu dogo, naonaga Cimments zake. Anajionaga mjanja kumbe mjinga mjinga tu. Na hajui maana halisi ya maisha.
 
Usiseme ivyo mzazi anawalea watoto sita maisha yake yote kapambana kuwasaidia
 
Absolute ✊🏿
 
Mshamba mshamba sana huyu dogo, naonaga Cimments zake. Anajionaga mjanja kumbe mjinga mjinga tu. Na hajui maana halisi ya maisha.
Hajielewi elewi anazani wote ndiyo wanaanza maisha sahizi kumbe tunajua kila kitu, hajawahi kuona wazazi wanavyobagua watoto wao, halafu hao hao ndiyo wanafanikiwa sikia sasa kelele za mzazi!
 
Mama anasema yeye 'hakujaaliwa kuchanganya damu'... Martha na Beatrice ni watoto wa Baba mmoja na Mama mmoja.

Kwamba 'kuchanganya damu' a.k.a kuzalishwa na wanaume tofauti tofauti ni 'majaaliwa/neema' kwa mwanamke?!!

Kwako mkuu wangu wa kazi Saint Anne . πŸ˜€

-Kaveli-
 
Watu humu mnatetea ujinga tu...imagn mtot umekomaa nae kipnd chote Hadi anajipata afu unaskia anasaidia mtu baki ambaye Hana hata ubini nae...ila we unakula tu msoto ...kibinadamu inauma
Ni wajibu wa mzazi kumtunza mtoto wake, sio wajibu wa mtoto kutunza wazazi, ni hisani tu.
 
Wanaotupwa vyooni, baada ya kuzaliwa nani huwa ameamua. Wanaowanyonga na kuwatelekeza majalalani huwa nani ameamua. MUNGU ni mkuu, haikwepeki. Bado mzazi ana maaumuzi asilimia πŸ’― juu ya hatma ya mtoto. Mzazi aheshimiwe na kutunzwa.

Kwa umri tulionao ni vizuri ukajiwekea Assets ambazo zitakusaidia kipindi cha baadae , mfano mashamba , Nyumba za kupangisha , kununua share katika Kampuni n.k


Mtoto / watoto sio tu wanaweza wasikusaidie Ila pia wanaweza kufa, kupata ugonjwa/magonjwa n.k

Ni dhana mbaya kuzaa mtoto ili aje akusaidie .

Dini zetu ni nzuri Sana na zimetoa muongozo kuhusu wazazi .

Ila pia dini hizi hizi zimetoa tahadhari kuhusu kuhakikisha hauishi Kwa kutegemea watu / mtu. Bali Mungu tu.
 
Usiseme ivyo mzazi anawalea watoto sita maisha yake yote kapambana kuwasaidia u

Mshamba mshamba sana huyu dogo, naonaga Cimments zake. Anajionaga mjanja kumbe mjinga mjinga tu. Na hajui maana halisi ya maisha.
Mumsamehe bure. Wengine hawajawahi hata kubeba mimba,(mke) au kupata mtoto (mwanaume). Wataropoka lolote bila kuwaza au kuchuja. Kuna mzazi mmoja aliwahi kutumia mil 10 kwa kila mwaka, kusomesha watoto huku akiokoteza na kuvaa nguo zilizopauka. Leo mtoto kama huyo amgeuke baba/mama na mzazi anyamaze ?
 
Usiseme ivyo mzazi anawalea watoto sita maisha yake yote kapambana kuwasaidia
Kama mzazi anazaa watoto sita si ina maana ana uwezo wa kuwasaidia?

Au anazaa watoto sita akitegemea nani aje amsaidie kulea?

Halafu kama mzazi anazaa watoto sita kwani lazima aje asaidiwe na kila mtoto?

Kwa nini mzazi aangalie mtoto mwenye uwezo tu ndio amtwike jukumu la kumsaidia?

Kwa nini mzazi amlaumu mtoto mwenye uwezo tu, kwamba ndio anapaswa kumsaidia?

Kwa nini asiwalaumu hao watoto wengine kwa kushindwa kuwa na uwezo wa kumsaidia?

Kwa nini target ni kwa mtoto aliyefanikiwa tu?
 
Tatizo Dunia inabadilika ila kuna watu wako nyuma sana , hii tabia ya kusema lazima watoto wakusaidie ni ya hovyo sana. Wazungu walitoka uko na nafikiri ata sisi muda wa kwenda uko, watoto wa siku hizi Wachoyo sana, ukipata kiinua mgongo watakuja wote kikisha watakimbia wote.Na hii ya kusema sio Mtoto wa kumzaa wakati yeye Ando kamlea kama Yatima na kumlea na anamtabua kama Mtoto wake ngojeni ata uridhi amemwandika yeye. Dunia imebadilika Mtoto sio kuzaaa tu ata wa kumlea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…