Kila jambo lina majira yake, na wakati kwa kila kusudi chini ya mbinguMama huyo anasema amefanya kila awezalo lakini amemshindwa Joan. "Mimi kama mimi nimemshindwa, na ndio maana Beatrice ameamua kuongea, umma umsaidie, naomba mtusaidie," ameeleza.
Kila jambo lina majira yake, na wakati kwa kila kusudi chini ya mbinguMama huyo anasema amefanya kila awezalo lakini amemshindwa Joan. "Mimi kama mimi nimemshindwa, na ndio maana Beatrice ameamua kuongea, umma umsaidie, naomba mtusaidie," ameeleza.
Ni kweli kabisa dada yangu huyu mama ni mpumbavu kama alivyo Mama yako.Huyo mama ndiyo mpumbavu kwa asilimia 100
Mumpotezee tu huyo. Ukiona mtu anamtukana mama kama huyu na hajamkosea lolote elewa tu ana tatizo kichwani au amelewa.Ni kweli kabisa dada yangu huyu mama ni mpumbavu kama alivyo Mama yako.
Mpuuzi huyo,amlilie mume wakeMama wa Martha Mwaipaja akihojiwa na Wemu Online TV, mama mzazi wa Martha amesema alizaa watoto watatu wakiwemo Martha na Beatrice ambao wamepishana miaka miwili, amesema mtoto wake wa kwanza alifariki miaka ya nyuma hivyo wamebaki Martha na Beatrice
Mama huyo amesema aliyoongea Beatrice ni kweli kuwa Martha hamhudumii mama yao huyo
Mama huyo amesema yeye ana wajukuu wanne tu ambao wawili ni watoto wa Beatrice, mmoja ni mtoto wa mwanae aliyefariki na mjukuu wake mwingine ni mtoto wa kiume ambaye ni mtoto wa Martha
Hivyo amesema Joan sio mjukuu wake na wala Joan sio mtoto wa Martha bali Joan alikuwa mfanyakazi wa ndani wa Martha ingawa aliambiwa na Martha kwamba Joan ni yatima anamlea
Mama huyo amesema Martha hamhudumii hata mwanae halisi wa kiume anapata shida
Mama huyo amesema ni kama Joan ndie mwamuzi wa mwisho kuhusu maisha ya Martha. Huku akisema kuna wakati aliponea chupuchupu kutapeliwa kiwanja chake na Joan kiwanja ambacho alinunuliwa na mwanae
Mama huyo amesema mifarakano ilianza kuibuka Joan alipoanza kuwa karibu na Martha kwa madai kwamba Joan amekuwa aligeuza maneno kuwagombanisha Martha na Beatrice
Tazama Video hii
damu ni nzito kuliko maji.Mama wa Martha Mwaipaja akihojiwa na Wemu Online TV, mama mzazi wa Martha amesema alizaa watoto watatu wakiwemo Martha na Beatrice ambao wamepishana miaka miwili, amesema mtoto wake wa kwanza alifariki miaka ya nyuma hivyo wamebaki Martha na Beatrice
Mama huyo amesema aliyoongea Beatrice ni kweli kuwa Martha hamhudumii mama yao huyo
Mama huyo amesema yeye ana wajukuu wanne tu ambao wawili ni watoto wa Beatrice, mmoja ni mtoto wa mwanae aliyefariki na mjukuu wake mwingine ni mtoto wa kiume ambaye ni mtoto wa Martha
Hivyo amesema Joan sio mjukuu wake na wala Joan sio mtoto wa Martha bali Joan alikuwa mfanyakazi wa ndani wa Martha ingawa aliambiwa na Martha kwamba Joan ni yatima anamlea
Mama huyo amesema Martha hamhudumii hata mwanae halisi wa kiume anapata shida
Mama huyo amesema ni kama Joan ndie mwamuzi wa mwisho kuhusu maisha ya Martha. Huku akisema kuna wakati aliponea chupuchupu kutapeliwa kiwanja chake na Joan kiwanja ambacho alinunuliwa na mwanae
Mama huyo amesema mifarakano ilianza kuibuka Joan alipoanza kuwa karibu na Martha kwa madai kwamba Joan amekuwa aligeuza maneno kuwagombanisha Martha na Beatrice
Tazama Video hii
πππWewe una "Personal issues" na hiyo familia?
Maana naona mabandiko kuhusu Martha unayarindimisha kama dozi.
Kwa sheria au kanuni Gani iliyojipambanua Ivo?Ni wajibu wa mzazi kumtunza mtoto wake, sio wajibu wa mtoto kutunza wazazi, ni hisani tu.
Ndiyo Mkuu ni neema hiyo. πππJapo ameongea kinyume chake.Mama anasema yeye 'hakujaaliwa kuchanganya damu'... Martha na Beatrice ni watoto wa Baba mmoja na Mama mmoja.
Kwamba 'kuchanganya damu' a.k.a kuzalishwa na wanaume tofauti tofauti ni 'majaaliwa/neema' kwa mwanamke?!!
Kwako mkuu wangu wa kazi Saint Anne . π
-Kaveli-
Mpumbavu ni Mpumbavu tu aijalishi ni mama yangu au yako.Ni kweli kabisa dada yangu huyu mama ni mpumbavu kama alivyo Mama yako.
Mama wa Martha Mwaipaja akihojiwa na Wemu Online TV, mama mzazi wa Martha amesema alizaa watoto watatu wakiwemo Martha na Beatrice ambao wamepishana miaka miwili, amesema mtoto wake wa kwanza alifariki miaka ya nyuma hivyo wamebaki Martha na Beatrice
Mama huyo amesema aliyoongea Beatrice ni kweli kuwa Martha hamhudumii mama yao huyo
Mama huyo amesema yeye ana wajukuu wanne tu ambao wawili ni watoto wa Beatrice, mmoja ni mtoto wa mwanae aliyefariki na mjukuu wake mwingine ni mtoto wa kiume ambaye ni mtoto wa Martha
Hivyo amesema Joan sio mjukuu wake na wala Joan sio mtoto wa Martha bali Joan alikuwa mfanyakazi wa ndani wa Martha ingawa aliambiwa na Martha kwamba Joan ni yatima anamlea
Mama huyo amesema Martha hamhudumii hata mwanae halisi wa kiume anapata shida
Mama huyo amesema ni kama Joan ndie mwamuzi wa mwisho kuhusu maisha ya Martha. Huku akisema kuna wakati aliponea chupuchupu kutapeliwa kiwanja chake na Joan kiwanja ambacho alinunuliwa na mwanae
Mama huyo amesema mifarakano ilianza kuibuka Joan alipoanza kuwa karibu na Martha kwa madai kwamba Joan amekuwa aligeuza maneno kuwagombanisha Martha na Beatrice
View: https://youtu.be/-rsmiaXel2s?si=1Xq2ewRxZONUkk8o
Tazama Video hii
Hadi sasa ambae sijaona sura yake ni joan tuu
Huyo Joan ni mke wa Martha Mwaipaja? Inaonyesha kama wana uhusiono wa kindoa wa ndoa za jinsia mojaMama wa Martha Mwaipaja akihojiwa na Wemu Online TV, mama mzazi wa Martha amesema alizaa watoto watatu wakiwemo Martha na Beatrice ambao wamepishana miaka miwili, amesema mtoto wake wa kwanza alifariki miaka ya nyuma hivyo wamebaki Martha na Beatrice
Mama huyo amesema aliyoongea Beatrice ni kweli kuwa Martha hamhudumii mama yao huyo
Mama huyo amesema yeye ana wajukuu wanne tu ambao wawili ni watoto wa Beatrice, mmoja ni mtoto wa mwanae aliyefariki na mjukuu wake mwingine ni mtoto wa kiume ambaye ni mtoto wa Martha
Hivyo amesema Joan sio mjukuu wake na wala Joan sio mtoto wa Martha bali Joan alikuwa mfanyakazi wa ndani wa Martha ingawa aliambiwa na Martha kwamba Joan ni yatima anamlea
Mama huyo amesema Martha hamhudumii hata mwanae halisi wa kiume anapata shida
Mama huyo amesema ni kama Joan ndie mwamuzi wa mwisho kuhusu maisha ya Martha. Huku akisema kuna wakati aliponea chupuchupu kutapeliwa kiwanja chake na Joan kiwanja ambacho alinunuliwa na mwanae
Mama huyo amesema mifarakano ilianza kuibuka Joan alipoanza kuwa karibu na Martha kwa madai kwamba Joan amekuwa aligeuza maneno kuwagombanisha Martha na Beatrice
View: https://youtu.be/-rsmiaXel2s?si=1Xq2ewRxZONUkk8o
Tazama Video hii
Unankana peupe hivi πAah wee acha uongo bwana, labda rangi ila vingine hapana.