TANZIA Mama mzazi wa Mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019

TANZIA Mama mzazi wa Mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019

RIP mamaa.
Napata tabu kidogo hapa. Hivi mtuhumiwa yoyote anaweza kuachiwa kabla mahakama haijadhibitishwa mashitaka juu yake kisa ana mgonjwa, watoto au majukumu fulani? ( wajuzi wa sheria mtusaidie).
Endapo kasingiziwa na mtu kwakweli tutupe lawama ila vinginevyo uwezo wetu wa kufikiri ni shiiida tulio wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni uhalali wa mashitaka dhidi yake, kuna shinikizo la kisiasa nyuma yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apumzike kwa Amani Mama yetu.

Upepo wa kisulisuli uwashukie wale wanafiki wote.
 
RIP mama

Mama Sugu na Mama Kabendera wafanye lobbying kwa Sir God.
 
RIP mamaa.
Napata tabu kidogo hapa. Hivi mtuhumiwa yoyote anaweza kuachiwa kabla mahakama haijadhibitishwa mashitaka juu yake kisa ana mgonjwa, watoto au majukumu fulani? ( wajuzi wa sheria mtusaidie).
Endapo kasingiziwa na mtu kwakweli tutupe lawama ila vinginevyo uwezo wetu wa kufikiri ni shiiida tulio wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kwenye civilized and educated society lkn sio kwetu,huku lengo la kuwekwa ndani ili unyooshwe
 
Until we take our final breath she will live in our heart, her love will light our way. Her memory will forever be with us. Every step we take, every move we make, every single day and every time we'll be missing her!

R.I.P
 
RIP mama, wenye nchi wametumia udikteta wao kumpa Mama wa watu stress na pressure kwa alichokiomba lakini akanyimwa na hakusikilizwa , nani angemhudumia!, Poleni wafiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.​
 
Nilivyoona analalamika kwa uchungu kuhusu mwanae kwenye media nikajua mama hafiki mbaliii huyuu.
Nenda mamaa, Mungu anayaona haya yote, na malipo ni hapa hapa duniani.
 
Back
Top Bottom