Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Haya maisha haya......!? Rest easy mama, pole Kabendera, wafiwa, na waloguswa na msiba huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka huko alipo mkewe anamnanga, kwa sababu ni jeuri, bila shaka anamjibu.,Jamaa atakua amefurahi atakunywa juice na karanga..huku akisubiria korosho zitolewe jikoni
Mbona unatokwa povu kiasi hicho kama malaya aliet***mbwa bure?Hivi wewe kenge unaongelea nini? Hivi mwanaume unakuaje hadi unakua mjinga kiasi hiki? Kwa nini unaakiri ya kijinga kiasi hiki? Mbona inaonekana kuwa ni moja ya wala Nyama za watu ambao wote huwa wamepata Elimu wewe umeokotwa wapi? Umesema hawez ingilia yeye sio Mahakama umeshindwa kujiongeza kidogo kujiuliza kuwa kwani kukamatwa kwake ilimkamata Mahakama? Umekuja unazungumza kuwa hana uwezo wa kumtoa, umeelezwa kuwa mbona wenzake walitoka Kwa maelekezo yake? Unaanza tena unajua taratibu zilizotumika, zilitumika taratibu zipi Kwa wengne kwake zikashindikana? Na taratibu si nizile alizoagiza kwenye TV Kuwa watolewe au zipo zingne? Subiri mtatafunwa na laaana woote vizazi vyenu hadi mtajuta, laaana ya Yule bibi haitawaacha lishtole wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda laana kwa taifa lenu la mafisi na sioLaana kubwa kwa Taifa. Mjane kutoa machozi yake
Ujumbe mzito sana huu, kweli wachawi wafanye sherehe.Huyu bibi si ndio alikuwa analalamika pesa za matibabu na mwanae wamemkamata?
Natumaini tutafanya sherehe ya kula nyama yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fala ni wewe unayedhani una hatimiliki ya upumbavu.RIP Mama.
Kiukweli muwe na akili kidogo tu, kila mama ya mtu akilia so mtuhumiwa aachiwe?
Acheni ufala nyinyi kabendera aenjoy tu makosa yake huko alipo.mahakama ndo itaamua kama kaonewa au kafanya makosa kweli
UTASIKIA: Serikali itagharimia mazishi. Hapo kina Bashite huwakosi, laaana bin laana.Subiria msibani wale wanafiki wanavyojazana kwa aibu na crocodile tears.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Karma hata wewe "shakunaku" haitakuacha, usijikoshe ukadhana sisi ni wasahaulifu kiasi hicho.Shocked!.
Kama ni kweli Eric Kabendera anashikiliwa kwa sababu ya kalamu yake hivyo hayo mengine yote ni kisingizio tu, na yeye ndiye alikuwa tegemeo la mama yake na mama yake amefariki baada ya kukosa huduma na usongo wa mawazo wa kukamatwa kwa mwanaye, then karma ya kifo cha huyu mama itakuwa ni kubwa na haina mfano!.
Karma is real na haina mswalie Mtume.
Pole sana Eric Kabendera
Mungu akufariji na Mungu akupiganie.
P
Ndo maana mtu mmoja Leo ameonekana AKICHEEEKA huko kisiwani Rubondo?Ukiishi katika nyumba ya vioo usianzishe ugomvi wa kutupiana mawe. Hii inatufundisha pia kuwa mchumba janga hulifaidi na nduguze. Pole sana wafiwa
MENO YOTE NJE hadi wapambe wameanzisha Uzi wa kicheko chake.Sherehe ya kifo chake inafanyika Rubondo
Kwani sisi ndio DPP?johnthebaptist USSR Kawe Alumni nadhani leo mna furaha tele mioyoni mwenu na mnaanza mwaka mpya kwa furaha tele moyoni! Lkn mjue laana hii haitowaacha salama! Soma komenti, kila mmoja anawalaumu na kuwakemea kwa jina la Yesu mpatilizwe !
Baki na amani sasa mwenzio kafiwa mama kwa sononi.PPersonal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
Wanabodi Tangu kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za kiuchunguzi Eric Kabendera, na kukamatwa kule kukahushishwa na makala zake, na kwa vile ni mimi niliyekuwa natafsiri makala za majarida ya nje na kuzileta humu jf, hivyo nikatuhumiwa kuwa ni makala za jf ndio zimemchongea Eric Kabendera...www.jamiiforums.com
Salaam kutoka kwa wauaji zitasaidia nini? Nani anazihitaji salaam za kinafiki.Ni kawaida yetu kama watanzania na imezoeleka palee tunapokutwa na msiba wenye kuvuta hisia za watanzania wengi viongozi wetu hutoa salamu za rambirambi kwa ndugu jamaa na familia ya wafia
Kama tulivyozoea, tunaomba kusikia salamu za rambirambi zikitumwa kwa wanafamilia na ndugu wa mama mzazi wa Erick Kabendela aliyefariki leo hii
Huu msiba ni wetu sote