Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,950
NO,Rais wa wanyonge huyu mama alikuomba umuachie mwanae kwani ndo anasimamia matibabu yake masikio ukaweka pamba....apumzike kwa amani na mwanga wa milele umuangazie
Ni Rais mnyonga Wanyonge !!
Sent using Jamii Forums mobile app