Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,120
- 3,468
Hakika "Mbele yetu YEYE nyuma yake SISI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika "Mbele yetu YEYE nyuma yake SISI.
R.I.P mama
Wenye ujuzi na sheria, kijana wake aliyepo mahabusu ataruhusiwa kuhudhuria mazishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaharakati uchwara mmehusika na kifo cha huyu mama.Mama mzazi wa mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019.
Amefariki akiwa Hospitali ya Amana alikokuwa akip
View attachment 1308015
Soma pia: Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae
Mtuhumiwa anakaa jela kufanyaje wewe mwenye akiliRIP Mama.
Kiukweli muwe na akili kidogo tu, kila mama ya mtu akilia so mtuhumiwa aachiwe?
Acheni ufala nyinyi kabendera aenjoy tu makosa yake huko alipo.mahakama ndo itaamua kama kaonewa au kafanya makosa kweli
It is said....karma takes 200 yrs to affect,yet something gotta be done whilst karama takes its course.Shocked!.
Kama ni kweli Eric Kabendera anashikiliwa kwa sababu ya kalamu yake hivyo hayo mengine yote ni kisingizio tu, na yeye ndiye alikuwa tegemeo la mama yake na mama yake amefariki baada ya kukosa huduma na usongo wa mawazo wa kukamatwa kwa mwanaye, then karma ya kifo cha huyu mama itakuwa ni kubwa na haina mfano!.
Karma is real na haina mswalie Mtume.
Pole sana Eric Kabendera
Mungu akufariji na Mungu akupiganie.
P
Mfano rahisi:Dah haya bwana mzee wa Chato hii laana haitakuacha salama. Pia hata wale wengine uliowafanyia uliyofanya pia subiri laana kuu! Sijawahi kuona kiongozi wa aina yako niseme kweli kabisa!
Umejitoa ufaham tu, hawez kuingilia kwani Kwa akiri zako aliesema kuwa watu waombe msamaha waachie ni ni nini Kati ya baba yako, mama yako, Mahakama na rais? Jibu swali kenge wewe na je pale aliingilia Nyumba Ya mama yako sio Mahakama? Waliotoka walitoka mahakamani Kwa kutolewa na Mahakama? Hujui yeye ndie alietoa maelekezo Kwa DPP? Au hukuona Wakati yalitangazwa kwenye TV wote tukaona?Mfano rahisi:
G Sam umekamatwa kwa kesi ya mauaji uko mahabusu then kesi yako inaendelea mahakamani
Umeoa na una mtoto mmoja, Nyumbani mke wako na mtoto wamepata ajali wako hoi wamelazwa ICU na wew ndo kichwa cha familia unaetegemewa kwa kila ki2.
Hv unadhani mahakama itakuonea huruma eti kwa sababu hiyo?
Hapana! sheria lazima ifuate mkondo wake
Halafu Mkuu kumbebesha hizi lawama ni kujichumia dhambi za bure, coz Mkuu hawezi kuiingilia mahakama ktk maamuzi yake
Wale wanaomuombea laana mkuu, waangalie sana, laana hizo zicje kuwageukia wao bila kujielewa. "dua la kuku halimpati mwewe"
"Mungu hadhihakiwi apandacho mtu ndicho atavuna"
kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
RIP Mama.
Kiukweli muwe na akili kidogo tu, kila mama ya mtu akilia so mtuhumiwa aachiwe?
Acheni ufala nyinyi kabendera aenjoy tu makosa yake huko alipo.mahakama ndo itaamua kama kaonewa au kafanya makosa kweli
RIP Mama.
Kiukweli muwe na akili kidogo tu, kila mama ya mtu akilia so mtuhumiwa aachiwe?
Acheni ufala nyinyi kabendera aenjoy tu makosa yake huko alipo.mahakama ndo itaamua kama kaonewa au kafanya makosa kweli
Kuna jamaa. Humu anajiita Jonalist ndo alimchongea Erick kwa mamlaka!! Nadhani ana ujumbe ameupata!
Utawala huu umekunywa damu za watu wengi sana,kumbuka hata Mama Mzazi wa Sugu alifariki kwa mshtuko kutokana na mwanae (Sugu) kuwekwa korokoroni tena bila sababu za msingi!Apumzike kwa amani
Na Iwe Hivyo. AMEEN.MUNGU amuweke mahala pema mama Kabendera..mnaosababisha mama zetu wafe kwa mawazo mlaaniwe vizazi vyenu vyote, mama zenu, shangazi zenu, binamu zenu, watoto wenu, wajukuu zenu na mpaka kuku wenu wafe pia kama ambavyo wamekufa ndugu zetu kwa sababu zenu!