Mama Rwakatare anahaha kumuokoa Mch. Jean aliyekamatwa kwa Ubakaji!!!

Mama Rwakatare anahaha kumuokoa Mch. Jean aliyekamatwa kwa Ubakaji!!!

KING COBRA

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
2,782
Reaction score
875
Zipo taarifa kuwa Mch Jean Felix Bamana (DRC) (45) amekamatwa kwa Kwa jarida BNG/RB/862/2013 na IR682 ya tarehe 21 Feb,2013 kosa likiwa kumutoroshwa Mwanafunzi wa St. Mary Goreth ambaye ni mtoto wa Swai na kufanya naye Zinaa kwenye hotel ya GRAND Magomeni DSM huku bill zote zikilipwa na Mama Rwakatare Mbunge Viti Maalum CCM.

Kukamatwa kwa Mch Jean kumetokea baada ya kupata sms za mapenzi alizotuma Jean kwenda kwa mtoto huyo na kukutwa na baba yake Mzazi.

Polisi walipofuatilia simu ya Mch Jean wakakuta kuna mawasiliano ya Siri na Mama Rwakatare wa Mikocheni B na Ushahidi huo ukatoa Mwanya wa Kwenda Kanisani kwa mama Rwakatare ambapo alipohojiwa alikubali kumufahamu Mch Jean na kwamba ni mgeni wake Maalumu na mhubiri wa Kimataifa.

Hata hivyo imebainika kuwa Mch Jean amekuwa anafundisha semina ya Ndoa na masomo ya Kichungaji kanisani Kwa mama Rwakatare.

Wafanyakazi wa Hotel ya Grand wamebainisha kuwa bill ya Mch Jean imekuwa inalipwa na mama Rwakatare kwa mda wote huo sambamba na watoto wengine wa Tz na Wakongo ambao wapo hapo wakisubili safari ya kwenda nje ambayo inasukwa na Mch Jean na mama Rwakatare!!

Polisi walipo fika kanisani Mama Rwakatare ndiye alikwenda kumuchukua mwanafunzi aliyetorshwa na kumuleta kanisani huku akiwasihi polisi wayamalize matatizo hayo kifamilia.

Pia haikuweza kufahamika ni kwa nini Mama Rwakatare hakutaka Mgeni wake huyo alale kwenye Jumba lake na badala yake anampeleka huko
NB.
Mwaka 2004 Mch Shansi kutoka DRC alikamatwa na kupigwa PI na serikali baada ya kujificha kanisani kwa Mama Rwakatare huku akijihusisha na Ujambazi na madawa ya kulevya hadi leo hakuna aliyejifunza.

Lipo sakata la Bi Maimuna ambalo nitaeleza baadaye ila kwa mara ya kwanza naunga mkono kauli ya Rais Kikwete kuwa wapo Viongozi wa Dini ambao wanajihusisha na madawa ya Kulevya.

Up date :
Mch Jean amepandishwa mahakamani Moshi leo kwa kosa la kufanya biashara haramu ya kuusafairisha watoto nje ya nchi !!
Hata hivyo Mama Rwakatare anachunguzwa kwa hatua za biashara hiyo yenye sifa kubwa ya ukahaba na madawa ya kulevya!

[h=1]Mchungaji asomewa mashitaka hospitalini[/h]


MCHUNGAJI Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya watu wa Kongo(DRC) Jean Felix Bamana (45) amesomewa mashitaka akiwa kitandani katika hospitali ya mkoa wa Kilimanjaro ya Mawenzi mjini Moshi, akikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha binadamu.
Mchungaji Bamana ambaye ni mlemavu wa miguu, aliibua mvutano mkubwa ndani ya Jeshi la Polisi na serikali, alikamatiwa jijini Dar es Salaam akiwa na watoto wawili ndugu ambao aliondoka nao mjini Moshi, kwa ahadi ya kwenda kuwatafutia shule.
Alisomewa mashitaka hospitalini baada ya kugoma kupelekwa mahakamani tangu jumatatu wiki hii akidai ni mgonjwa huku askari wanaomlinda wakilalamika kuwa anafanya mchezo wa kuigiza.
Mshitakiwa huyo alisomewa mashitaka mawili ambayo yanaangukia kwenye sheria ya usafirishaji binadamu namba 6 ya mwaka 2008,mashitaka ambayo hayana dhamana hivyo kupelekwa rumande katika gereza kuu la mkoa wa Kilimanjaro la Karanga.
Mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya wilaya,Naomi Mwerinde,mshitakiwa huyo anadaiwa kuwa mnamo Februari 18 mwaka huu huko Masama wilaya ya Hai,alimsafrisha(Jina tunalo) kwenda Jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa hati ya mashitaka iliyosomwa na wakili wa serikali,Stella Majaliwa,mshitakiwa huyo pia anashitakiwa kwa kumsafrisha (jina tunalo) kutoka Masama wilaya ya Hai Kwenda Jijini Dar es salaam kosa ambalo lilitendekea .
Baada ya kusomewa mashitaka hayo mshitakiwa alikana na iliamuliwa apelekwe katika mahabusu ya gereza la Karanga na hadi waandishi wanatoka katika wadi namba moja ambako mashitaka hayo yalisomwa,alikuwa bado hajaondolewa.
Kesi hyo imeahirishwa hadi machi 27 mwaka huu itakapokuja kwa ajili ya kutajwa kutokana na upelekezi wa shauri hilo la jinai namba 13 la mwaka huu kutokamilika.
Kabla mahakama haijamalikiza kazi katika Hospital hiyo,mshitikiwa alilalamika kutokuwapo na huduma za vyoo vinavyokidhi mahitaji ya watu wenye ulemavu ndnai ya wadi hiyo na hata alipokuwa akitaka kituo kikuu cha polisi mjini moshi.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kusomewa mashitaka hayo,mchungaji Bamana anayehudumu katika kanisa la Mikocheni B Assembles of God,aliwataka waandishi wa habari kuwasilisha kilio chake kwa mamlaka zinazohusika ili tatizo hilo la kutokuwapo na vyoo vya kukaa katika wadi hiyo liweze kutafutiwa ufumbuzi.
 
Hatari na hasara kwao wanaojiita watumishi wa Mungu huku wakitenda dhambi.Polisi inabidi wamfikishe kwenye vyombo vya sheria ili iwe fundisho kwa wachungaji wenye tabi mbaya kama huyo mcongoman
 
watu kama hao ndio wanaosababisha watumishi wa ukweli nao wadhaniwe kuwa ni fake.
 
Zipo taarifa kuwa Mch Jean Felix Bamana (DRC) (45) amekamatwa kwa Kwa jarida BNG/RB/862/2013 na IR682 ya tarehe 21 Feb,2013 kosa likiwa kumutoroshwa Mwanafunzi wa St. Mary Goreth ambaye ni mtoto wa Swai na kufanya naye Zinaa kwenye hotel ya GRAND Magomeni DSM.

Kukamatwa kwa Mch Jean kumetokea baada ya kupata sms za mapenzi alizotuma Jean kwenda kwa mtoto huyo na kukutwa na baba yake Mzazi.

Polisi walipofuatilia simu ya Mch Jean wakakuta kuna mawasiliano ya Siri na Mama Rwakatare wa Mikocheni B na Ushahidi huo ukatoa Mwanya wa Kwenda Kanisani kwa mama Rwakatare ambapo alipohojiwa alikubali kumufahamu Mch Jean na kwamba ni mgeni wake Maalumu na mhubiri wa Kimataifa. Hata hivyo imebainika kuwa Mch Jean amekuwa anafundisha semina ya Ndoa na masomo ya Kichungaji kanisani Kwa mama Rwakatare.

Wafanyakazi wa Hotel ya Grand wamebainisha kuwa bill ya Mch Jean imekuwa inalipwa na mama Rwakatare kwa mda wote huo sambamba na watoto wengine wa Tz na Wakongo ambao wapo hapo wakisubili safari ya kwenda nje ambayo inasukwa na Mch Jean na mama Rwakatare!!

Polisi walipo fika kanisani Mama Rwakatare ndiye alikwenda kumuchukua mwanafunzi aliyetorshwa na kumuleta kanisani huku akiwasihi polisi wayamalize matatizo hayo kifamilia.
NB.
Mwaka 2004 Mch Shansi kutoka DRC alikamatwa na kupigwa PI na serikali baada ya kujificha kanisani kwa Mama Rwakatare huku akijihusisha na Ujambazi na madawa ya kulevya hadi leo hakuna aliyrjifunza
Lipo sakata la Bi Maimuna ambalo nitaeleza baadaye ila kwa mara ya kwanza naunga mkono kauli ya Rais Kikwete kuwa wapo Viongozi wa Dini ambao wanajihusisha na madawa ya Kulevyo

Kauli ya Kikwete kuwa kuwa kuna viongozi wa dini wanajishughulisha na madawa ya kulevya sio ''theory aliyovumbua'' na wala sio kitu kipya. Watu wengi walijua kabla hata yeye hajasema!! Baadhi ya viongozi wa dini wame/wana/wataendelea kujificha kwenye kichaka cha dini huku wakijishughulisha. Watu walidharau hiyo kauli sio kwamba ni ya uongo ila ni kwanini asiwakamate na badala yake anasema analialia kama yeye sio rais? Na kwakusema kauli kama hiyo wataacha?
 
I see...

Halafu hivi huyo Harris Kapiga mtangazaji wa Clouds ni Mchungaji....? Hakyanani kwastail hii hatitapona...
Kweli maandiko yanasema "Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa"
 
I see...

Halafu hivi huyo Harris Kapiga mtangazaji wa Clouds ni Mchungaji....? Hakyanani kwastail hii hatitapona...
Kweli maandiko yanasema "Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa"
Huyo Harris Mwangalie vizuri usoni kabla haja pandwa na pepo na kuanza kucheza kucheza na wale akina mama utagundua ni mchungaji katika kanisa la Mama Rwakatare
 
Mh. Mchungaji anamlipia mchungaji mwenzake ili amege watoto wa shule! Kwanini asimegwe tu yeye badala ya kufurahia vitoto vya watu vinavyotoroka shule kwa ajili ya kufanya ngono?
 
nyumba ndio imeniacha hoi. kumbe kuna mahekalu hapa duniani. huyo mtoto aliyebakwa ana umri wa miaka mingapi?
 
Mh. Mchungaji anamlipia mchungaji mwenzake ili amege watoto wa shule! Kwanini asimegwe tu yeye badala ya kufurahia vitoto vya watu vinavyotoroka shule kwa ajili ya kufanya ngono?
Hiyo ndo sifa ya Mwanamke Kahaba ,Hujui ???
Hivi ukiangalia sura yake wewe unasituka???
Yeye Kapigwa kwenye viti maalum hadi Mwisho sasa anauza watoto wa wenzie!!!!!!!!!!!!!!!
Wewe hulioni hilo jumba wakati mapato yake halalikiduchu!!!!!!!!!!
 
Jaman huyo kapiga c anakashfa toka muda mrefu sn ya kuwa ni mtu wa ku......................tg ss uchungaji umemfikaje na rwakatale analijua fika makubwa
 
I see...

Halafu hivi huyo Harris Kapiga mtangazaji wa Clouds ni Mchungaji....? Hakyanani kwastail hii hatitapona...
Kweli maandiko yanasema "Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa"

ni kwa nini unasema hivo bana? tuambie na sisi tujue.
 
Jaman huyo kapiga c anakashfa toka muda mrefu sn ya kuwa ni mtu wa ku......................tg ss uchungaji umemfikaje na rwakatale analijua fika makubwa

Hiyo ni biashara mchanganyiko bora pesa iingie, dini ni muamvuli tu, hakuna ukweli hapo.
Wanakusanya mapato ya kikanisa.
wanafanya biashara ya madawa ya kulevya.
Wanauza na watoto wa kike pia.
pengine wanauza na wale wenye kutumia upande mwingine.
 
kwa kweli hizi ni cku za mwisho. manabii wa uongo hao
 
ni kwa nini unasema hivo bana? tuambie na sisi tujue.

Huyu jamaa mi najua ni Mtangazaji wa Clouds na pia ni Mc wa maharusi nk..nk....Sasa nimeshangaa kusikia eti ni Mchungaji....Labda tusaidiane kushangaa....
 
Back
Top Bottom