mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Salma Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Mchinga, Mkoani Lindi kupita Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Machi 2017, Salma ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM aliteuliwa na Rais Magufuli kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Akiwa ndio Mke wa Rais wa kwanza kuwa Mbunge nchini pia ni Mwanzilishi wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA)
Machi 2017, Salma ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM aliteuliwa na Rais Magufuli kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Akiwa ndio Mke wa Rais wa kwanza kuwa Mbunge nchini pia ni Mwanzilishi wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA)