digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu Ingekuwa hivyo akina billgate wasingekuwa wanaumiza vichwa kutafuta pesa,moyo wa binadamu ni shimo kubwa lisilolizikaMama angetulia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Ingekuwa hivyo akina billgate wasingekuwa wanaumiza vichwa kutafuta pesa,moyo wa binadamu ni shimo kubwa lisilolizikaMama angetulia tu
Yule hata wasihangaike nae wapitishe tu gari la matangazo likipiga Nyimbo za Seya wa mipalo na Ule wimbo wa Salima ooh ooh nilikudanganya nikakuacha wewe leo salima niko wapi eeeeeeh,unaujua huo wimbo?Wewe unaogopa matusi ?Mama Salma ni mwanamke na nusu. Chukueni form jamani. Acheni kuwaponda wanaochukua
Sasa huyu maza anajiaibisha. Anakaba nafasi za watu ambao wangeweza kujijenga kisiasa na kufika mbali? Ni nini anachotafuta tena muda huu kuhangaika na purukushani za kijinga?Kila lenye kheri mama.Nafurahi watu wanavyochukua form.Demokrasia inakua.
Ni jambo jema!Salma Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Mchinga mkoani Lindi kupita Chama cha Mapinduzi (CCM).
Nilikuwa nimebeba dhana kama hii kichwani mwangu, mama kama huyu anapungukiwa nini, heshima anayo, pesa anayo, shida nini? Kwamba anawiwa kuwasemea wana lindi? aah, hapana!Sina chuki na mama lakini ukweli lazima usemwe, akichaguliwa yeye ni upotevu wa nafasi bure tu.
Mama angeweza kufanya mambo mengine na mataasisi yao akaachia wengine hiyo nafasi ya bungeni.
Kwanza yeye na mumewe wote wanapata huduma za serikali vizuri tu hana njaa ya pesa.
Kama anajiona bado kijana hapendi kukaa hivi hivi angejikita hata kwenye miradi ya kilimo na ufugaji ya familia. Watu wenye mitaji na mitandao (Business network connections) kama hawa ndio hufaa kuonesha mfano wa kufanya biashara kubwa za kusafirirsha nje bidhaa au mazao ya kilimo na ufugaji kwenda nje ya nchi. Huko atazalisha ajira nyingi sana.
Siasa awaachie wanawe akina Ridhiwan a.k.a Riz-moko (Riz1).
Kugombea ni haki yake kikatiba wala hajakosea kitu.Nani aliyekuambia ameenda kungombea kwa sababu ya pesa? Kama ameona akawatumikie wananchi wa jimbo lake kwa ukaribu.
Nasema hivi,yeye au rizone wakikatwa hakuna kitu watafanya zaidi ya kununa tu.
Ukiachana mwenye chama wengine wote ni ng'ombe waliokatwa mikia kwa sasa.
2015 wkt wa Kampeni watu wa kule jimboni kwa riz1 walilamika hamna huduma ya maji,Magu akamwambia Riz1 hapo hapo jukwaani sasa wewe si hata wkt unakunywa chai na mzee ungemwambia tu daddy kule tufanye mpango wa maji kwa wananchi wangu hahah.Nilikuwa nimebeba dhana kama hii kichwani mwangu, mama kama huyu anapungukiwa nini, heshima anayo, pesa anayo, shida nini? Kwamba anawiwa kuwasemea wana lindi? aah, hapana!
Ni haki yake pia.Sasa huyu maza anajiaibisha. Anakaba nafasi za watu ambao wangeweza kujijenga kisiasa na kufika mbali? Ni nini anachotafuta tena muda huu kuhangaika na purukushani za kijinga?
Mbona juu kabisa hatujaiona ikikuwa, imekuwa majimboni peke yake.Kila lenye kheri mama.Nafurahi watu wanavyochukua form.Demokrasia inakua.
Kule juu itakua 2025.Mbona juu kabisa hatujaiona ikikuwa, imekuwa majimboni peke yake.
Na mimi narudia tena kusema mumewe huyo Mama alishawahi kuambiwa anawashwa washwa na akaishia kujikalia zake kimya tu cha kufanya hana,sasa mkewe nae ajichanganye aje aambiwe barakoa ni kama titi la mtu mmoja hivi lililokatwa ndipo ataelewa vzr.Ccm ina wenyewe.. huyu mama narudia tena hakuna anaeweza kumkata.
Japo ni mroho wa cake ya taifa. Maana alipaswa amlee mstaafu ampikie mapocho pocho sio kkwendakushinda mjengoni..
Huyu hakuna anaeweza kumkata..labda mumewe aseme..
Kuna watu wachache sana hawafiki watano ambao kwa ccm ni kama ndio wenye chama. Mmojawapo ni mume wa huyu mama
Na mimi narudia tena kusema mumewe huyo Mama alishawahi kuambiwa anawashwa washwa na akaishia kujikalia zake kimya tu cha kufanya hana,sasa mkewe nae ajichanganye aje aambiwe barakoa ni kama titi la mtu mmoja hivi lililokatwa ndipo ataelewa vzr.
Acha aingie ulingoni apewe matusi ya kutosha/achafuliwe kwa sana tu ndipo atapata akili vizuri.
Wamekalia kuwaambia watoto wa maskini wajiajiri lkn wao kutwa kulilia ubunge.
Haki yake my P...!Ni haki yake pia.
Ninachokisema hata akikatwa hana cha kufanya yeye+mumewe.Muda huwaga haungopi.. huu uzi ni ushahid tutaona kama mama atakatwa au hatakatwa
Salma Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Mchinga mkoani Lindi kupita Chama cha Mapinduzi (CCM).