Uchaguzi 2020 Mama Salma Kikwete achukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea jimbo la Mchinga kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Mama Salma Kikwete achukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea jimbo la Mchinga kupitia CCM

Mkuu naona bado unafikiri safari hii kampeni zitafanya kama zamani. Hakuna mgombea wa CCM atakayetukanwa au kudhalilishwa na upinzani. Hujastukia ziara za Siro zinazoendelea kuhamasisha “amani na utulivu” wakati wa uchaguzi. Na kampeni zimeshaanza tayari.

Jua safari hii wagombea wa upinzani hasa CDM wameandaliwa vichapo vya uhakika kila watakapoonyesha hata mbwembwe tu (acha matusi) kwenye mikutano yao ya kampeni. Itakuwa ni mwendo wa kushushwa majukwaani, vichapo, selo, na kupumzishwa (suspension) hadi wajue safari hii wanaotakiwa kusikika pekee na kueleweka ni kina nani. Very hard times are coming.
Ataanza kuchapwa baba yako
 
nakumbuka tu siku moja aliongea pointi "watoto wa kike msiwafunguliw wanaume mapaja"
 
Sina chuki na mama lakini ukweli lazima usemwe, akichaguliwa yeye ni upotevu wa nafasi bure tu.

Mama angeweza kufanya mambo mengine na mataasisi yao akaachia wengine hiyo nafasi ya bungeni.

Kwanza yeye na mumewe wote wanapata huduma za serikali vizuri tu hana njaa ya pesa.

Kama anajiona bado kijana hapendi kukaa hivi hivi angejikita hata kwenye miradi ya kilimo na ufugaji ya familia. Watu wenye mitaji na mitandao (Business network connections) kama hawa ndio hufaa kuonesha mfano wa kufanya biashara kubwa za kusafirirsha nje bidhaa au mazao ya kilimo na ufugaji kwenda nje ya nchi. Huko atazalisha ajira nyingi sana.
Siasa awaachie wanawe akina Ridhiwan a.k.a Riz-moko (Riz1).

afu wao ndo kila siku wanasema vijana mjiajiri☺☺☺
Yeye kashindwa kutulia na mumewe pamoja pesa zote walizochuma mpaka ikulu wamekaa
 
Nitakukumbusha.. uzi huu nitaufufua.. kama akikatwa nitaomba mods anipige ban mwaka mzima
1594822676200.png
 
Sasa huyu maza anajiaibisha. Anakaba nafasi za watu ambao wangeweza kujijenga kisiasa na kufika mbali? Ni nini anachotafuta tena muda huu kuhangaika na purukushani za kijinga?
Ni democrasia hiyo!
Unaonaje lakini mafuriko ya uchukuaji form huko ccm?
Democrasia inapanuka sana ndani ya ccm na nchi kwa ujumla

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Alishapata nafasi ya kumshauri raisi kwa ukaribu kwa miaka 10,, now anataka akamshauri Rais kupitia bunge... Kila la kheri Mama Salma
 
watia nia wamekuwa wengi kushinda hata wapiga kura jamani au mnaonaje?
Kweli kabisa mimi mtaani kwangu kila mtu amechukua form ya kugombea si wanawake si wanaume ni mm tu peke yangu sijachukua form pamoja na watoto na ma housegirl....duh..
 
Sina chuki na mama lakini ukweli lazima usemwe, akichaguliwa yeye ni upotevu wa nafasi bure tu.

Mama angeweza kufanya mambo mengine na mataasisi yao akaachia wengine hiyo nafasi ya bungeni.

Kwanza yeye na mumewe wote wanapata huduma za serikali vizuri tu hana njaa ya pesa.

Kama anajiona bado kijana hapendi kukaa hivi hivi angejikita hata kwenye miradi ya kilimo na ufugaji ya familia. Watu wenye mitaji na mitandao (Business network connections) kama hawa ndio hufaa kuonesha mfano wa kufanya biashara kubwa za kusafirirsha nje bidhaa au mazao ya kilimo na ufugaji kwenda nje ya nchi. Huko atazalisha ajira nyingi sana.
Siasa awaachie wanawe akina Ridhiwan a.k.a Riz-moko (Riz1).
Sasa si mpaka awe na akili hizo!
 
AISEE!!

kila la kheri bi mkubwa ... wengi wetu tunaweza tukawa
tunamshangaa mama lakini pale bungeni nadhani
kuna fedha zinamwagika tu buree
ugumu ni kuingia tu.

mama ameshaonja hizo fedha zimemnogea
si ajabu hata sisi pia tunao mshangaa
tungelikua tumeshapita hapo bungeni na kujua namna
fedha nyingi zinavyoingia bank kwa urahis
sasahiv tusinge mshangaa mama yetu.
 
Mke wa Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Jakaya Kikwete, Mama Salma Kikwete leo amechukua fomu ya kugombea ubunge katika jimbo la Mchinga - Lindi.

Clouds Media

Nadhani ule ule Utamaduni kwa Wake wa Marais ungebakia tu vile vile kuliko huu mpya. Hivi huyu Mama akiukosa Ubunge haitokuwa Fedheha?
 
Sina chuki na mama lakini ukweli lazima usemwe, akichaguliwa yeye ni upotevu wa nafasi bure tu.

Mama angeweza kufanya mambo mengine na mataasisi yao akaachia wengine hiyo nafasi ya bungeni.

Kwanza yeye na mumewe wote wanapata huduma za serikali vizuri tu hana njaa ya pesa.

Kama anajiona bado kijana hapendi kukaa hivi hivi angejikita hata kwenye miradi ya kilimo na ufugaji ya familia. Watu wenye mitaji na mitandao (Business network connections) kama hawa ndio hufaa kuonesha mfano wa kufanya biashara kubwa za kusafirirsha nje bidhaa au mazao ya kilimo na ufugaji kwenda nje ya nchi. Huko atazalisha ajira nyingi sana.
Siasa awaachie wanawe akina Ridhiwan a.k.a Riz-moko (Riz1).


Hili jimbo litu wapinzani na watawala baada ya October 25,tunamchapa mapema akalee jukuu huko. Hana njaa na siasa haziwezi,aje kutusaidia ndugu zake wa Lindi kwa namna nyingine.
 
Back
Top Bottom