stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Swali ni je hio Mitungi wananchi wanapewa BURE au wanauziwa ?Swali kwa Nini spika kajitahidi Sana kutetea hii isu ya mitungi mia ya makamba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali ni je hio Mitungi wananchi wanapewa BURE au wanauziwa ?Swali kwa Nini spika kajitahidi Sana kutetea hii isu ya mitungi mia ya makamba?
Mtungi mdogo kununua ni sh 50,000. Kubadilisha ni sh. 25,000.kununua kitaa ni karibia laki
Hahahahaa alipitiwaYaani mama Kama alitoa Siri hivi, spika akaja kusafisha
Spika ameshasema msihofu kuna bajeti ilikuwa tayari sio kutoka mfukoni kwa mtu100×300×50000 ..... sikusoma hesabu
Jamani SI billion iyo kabsa na mil 500 ivii100×300×50000 ..... sikusoma hesabu
Kuna jambo litafuata hapo, siyo ubunge kama unavyodhani. Kikwete hazichezei tope bila sababu.Familia imeficha mengi, kweli alionekana kwenye kampeni zake ila hatuwezi jua nyuma ya pazia, wakati mwingine mtu anafanya jambo kukwepa mauza uza katika jamii
Hivi kweli uyu mama na wa kuendelea na ubunge, alafu eti unaamushwa na spika uchangie, mama ambae umekua unampikia Rais wa nchi chakula kwa miaka 10 , kwa shida gani , kwa kukosa nini, uyu ameshindwa kulieshimisha taifa kama mke wa kiongonzi mkubwa aliemaliza mda wake
Bahasha yake haiwezi kukosa 50MMama Salma Kikwete akichangia bajeti ya nishati na madini leo, alimpongeza January Makamba kwa kuwapa kila mbunge mitungi ya gesi 100.
Lakini baada mwisho wa section ya spika akasimama kutolea maelezo juu ya hili, kwa ufupi.
Kuwa jamii isielewe vibaya juu hili ni ajili ya wabunge kwenda kwa wananchi kuwafundisha kutumia mitungi na umuhimu wa gesi.
Pia bajeti ya kuwapa wabunge mitungi 100, isiwape wasiwasi wananchi pesa imetoka wapi, Ni hela ya bajeti , ambayo wabunge wamepitisha mwaka Jana.
Swali; Kwanini spika kajitahidi sana kutetea hii issue ya mitungi mia ya Makamba?
Kuna mazingira ya mipigo yanaandaliwa au yameshafanyika.Spika ameshasema msihofu kuna bajeti ilikuwa tayari sio kutoka mfukoni kwa mtu
Bajeti ya kupeana mitungi? Hao wabunge hawawezi kununua?Spika ameshasema msihofu kuna bajeti ilikuwa tayari sio kutoka mfukoni kwa mtu
Kutumia gesi haiwezekani, ni propaganda tu hiyo. Kabla ya gesi walipaswa kupunguza umaskini kwanza.Dhana ya kutumia gesi ni nzuri sana katika nchi yetu ambayo miti ipo hatarini kuteketea kwa ajili ya nishati ya mkaa na kuni.
Nampongeza Rais SAMIA kwa akili zake nyingi.
Dhana ni nzuri ya kuondoa negative energy kwa watu na teknolojia zilizopitwa na wakati, tatizo waliopewa dhamana hiyo hasa huyu wa nishati anajua anachopambania, yeye haya mambo ya kugawa mitungi angepunguza ila angejikita kwenye kunufaisha nchi nzima kwenye eneo lake la nishati, Moja yeye anahusika na umeme na watu wanahitaji umeme ushuke bei ili watumie vitu vya kurahisisha kazi na vya teknolojia mpya waondokane na ujinga wa kupoteza muda na taifa lipate watu werevu mfano mpaka Sasa watu wengi hawajui kufua kwa kutumia mashine hata sehemu kama hospital Sasa huko ndo angegawa hizo mashine badala ya hayo majiko kwa wabunge, pili upande wa mafuta ya kuendesha mitambo na usafiri huko kidogo ameanza kufanya vizuri, Hilo la vituo vya mafuta kujengwa sehemu nyingi ili watu wanaoweza kutumia mafuta wayapate bila kikwazo na usafiri kwa vile ni hitaji la muhimu kwa watu na bidhaa basi wasikwame kabisa na huko vijijini vituo vya mafuta vifike vingi ili barabara zijengwe ila kwenye Bei ajitahidi ipungue, tatu hiyo gesi yake Sasa anayogawa mitungi bila gharama za gesi kushuka haitasaidia nchi watu masikini kuishi kisasa yeye agawe mitungi sehemu maalumu tu ila gesi ndo ishuke Bei ili kila mtu aweze kutumia gesi na Hilo swala lake la uchafuzi wa mazingira litakwisha au kupungua sana, na haya mambo ya kupunguza Bei ndo nchi inatakiwa kufanya ili watu wake wazoee kutumia hivi vitu maana wengi wanaishi Bado kama watu wa kale hawataki mabadiliko na wasipobadilika wanaleta shida kwenye jamii maana hawatasitaalabika Sasa hiyo ya kushusha Bei ingetuonyesha kwamba anadhamila ya kuleta mabadiliko na kuondoa ujinga kwa watu wanaopenda kuishi kama watu wa kale.Dhana ya kutumia gesi ni nzuri sana katika nchi yetu ambayo miti ipo hatarini kuteketea kwa ajili ya nishati ya mkaa na kuni.
Nampongeza Rais SAMIA kwa akili zake nyingi.
Mjini hapaJamani SI billion iyo kabsa na mil 500 ivii
Duuuh watu wanakula maisha