Mama Salma Kikwete ampongeza Waziri Makamba kuwapa mitungi 100 ya gesi, Spika atolea ufafanuzi

Mama Salma Kikwete ampongeza Waziri Makamba kuwapa mitungi 100 ya gesi, Spika atolea ufafanuzi

Mama Salma Kikwete akichangia bajeti ya nishati na madini leo, alimpongeza January Makamba kwa kuwapa kila mbunge mitungi ya gesi 100.

Lakini baada mwisho wa section ya spika akasimama kutolea maelezo juu ya hili, kwa ufupi.

Kuwa jamii isielewe vibaya juu hili ni ajili ya wabunge kwenda kwa wananchi kuwafundisha kutumia mitungi na umuhimu wa gesi.

Pia bajeti ya kuwapa wabunge mitungi 100, isiwape wasiwasi wananchi pesa imetoka wapi, Ni hela ya bajeti , ambayo wabunge wamepitisha mwaka Jana.

Swali; Kwanini spika kajitahidi sana kutetea hii issue ya mitungi mia ya Makamba?
Hajatetwa, Spika kafanuwa kwa uwazi. Ndiyo mojawapo ya kazi yake, spika pia kaelimisha kuwa muda anaopata waziri ni mdogo, hawezi kwa muda huo kuelezea hotuba yake yote.
 
Hajatetwa, Spika kafanuwa kwa uwazi. Ndiyo mojawapo ya kazi yake, spika pia kaelimisha kuwa muda anaopata waziri ni mdogo, hawezi kwa muda huo kuelezea hotuba yake yote.
uoni kuwa hili jambo lina ukakasi ndio maana akatoa ufafanuzi?
 
Sioni ukakasi naona kafanya vyema kutowa ufafanuzi.


Hivi ahonge wabunge kwa ajili ya nini? Siioni sababu.
madam spika anasema ili jambo lisichukuliwe vingine, ila kutoa mitungi 100 siku moja kabla ya kusoma bajeti , kama wewe afisa takukuru uwezi kunusa harufu ya rushwa?
 
madam spika anasema ili jambo lisichukuliwe vingine, ila kutoa mitungi 100 siku moja kabla ya kusoma bajeti , kama wewe afisa takukuru uwezi kunusa harufu ya rushwa?
Akikujibu nishtue
 
madam spika anasema ili jambo lisichukuliwe vingine, ila kutoa mitungi 100 siku moja kabla ya kusoma bajeti , kama wewe afisa takukuru uwezi kunusa harufu ya rushwa?
Huyu ajuza ni miaka kenda sasa namfahamu. Aliondokea rais furani mcorintho mwemamba cheusi kamfupi kanyimwa mwili basi bwana yule hana rekodi ya lolote jema kwa bibi huyu. Ndiye aliwafunza watanzania ujinga.
Akaja raisi yule mcheza pono pale mjengoni.. mlio tawaliwa nae mnakumbuka mapicha yaliyovujishwa na wanachuo. Basi mtawala huyu ni mwema mno kwa ajuza huyu. Anamkumbuka kwa busara na kuwatoa watanzania katika ujinga walio jazwa na bwana yule wa kwanza.
Akaja mr mipango, mr mipombe mgaratia yule. Huyu bibi hakumbuki hata nukta ya jema lililofanyika 95_2005
Akaja yule mwenye ndoa kila mkoa. Mh mahaba ya bibi huyu kwa mtawala yule hayasimuliki humu na hayaelezeki. Kila mtu aliona. Bibi alikesha kuchambana na kila aliyemkosoa hadi usiku wa manane. Bibi hakujua Esclow, meremete, ujangili, Richmonduli.. hakujua.. penzi lilimpiga upofu
Akaja bwana yule mrumi. Tinga tinga. Ajuza huyu hakumpenda kwa sura yake isiyo vutia. Hakika bwana huyu hana hata nukta ya alama ya jema aliloacha hapa nchini. Hakujenga busisi, hakujenga sgr, wala hakujenga mwalimu nyerere dams wala ikulu kwani aliua bagamoyo na kuwa bussy na mji wa kale wa chato. Hakika Taifa lilopoteza miaka kadhaa ya kutokuwa na kiongozi mbele ya macho ya Ajuza huyu. Ajuza akapotea jf
Akaja yule habadilishi ushungi, mwenda na kiti chake. Hili nalo mkalitizame. Anae zurula duniani na mtawala namba nne hapo juu. Basi mahaba kwa serikali yakamlevya ajuza huyu wa jf. Mpaka akatoa wosia kuwa sheria ya dini furani ndiyo itutawale wote. Hakika mama huyu anayoyafanya ni mengi kuliko wote tajwa hapo juu
1. Anajenga madarasa mengiiii.
2. Bajeti ya wizara ya ardhi inapitishwa kibabe
3. Anagawia wazanzibar ardhi ya bara
4. Mitungi 100 ya gesi kwa kila mbunge.
5.
Hakika anaupiga mwingi. Hii ndio akili mfu ya FaizaFoxy
 
madam spika anasema ili jambo lisichukuliwe vingine, ila kutoa mitungi 100 siku moja kabla ya kusoma bajeti , kama wewe afisa takukuru uwezi kunusa harufu ya rushwa?
Rushwa ili iweje?

Sijaiona sababu ya tuhuma.
 
Mke wa fisadi ni fisadi tu.
Hana hoja ni kutetea mafisadi wa mumewe tu.
Hovyo sana huyo mama
 
Mama Salma Kikwete akichangia bajeti ya nishati na madini leo, alimpongeza January Makamba kwa kuwapa kila mbunge mitungi ya gesi 100.

Lakini baada mwisho wa section ya spika akasimama kutolea maelezo juu ya hili, kwa ufupi.

Kuwa jamii isielewe vibaya juu hili ni ajili ya wabunge kwenda kwa wananchi kuwafundisha kutumia mitungi na umuhimu wa gesi.

Pia bajeti ya kuwapa wabunge mitungi 100, isiwape wasiwasi wananchi pesa imetoka wapi, Ni hela ya bajeti , ambayo wabunge wamepitisha mwaka Jana.

Swali; Kwanini spika kajitahidi sana kutetea hii issue ya mitungi mia ya Makamba?
Makamba is the next president of JMT.
 
Huhitaji akili kujua mingi ya mitungi hii iatanunuliwa toka kwa Don wa Taifa gas Rostam Aziz
 
madam spika anasema ili jambo lisichukuliwe vingine, ila kutoa mitungi 100 siku moja kabla ya kusoma bajeti , kama wewe afisa takukuru uwezi kunusa harufu ya rushwa?
Umeulizwa,rushwa kwa ajili ya nini? Wabunge wa CCM wana ubavu wa kugomea bajeti ya serikali?
 
Alafu uyu mama anafanya nini bungeni? Yani umekaa ikulu miaka 10 , alafu bado unaona ni sawa kuwa mbunge, hivi mzee kikwete aliweka baraka zake au uyu aliamua liwalo na liwe ,
Mwanamke mlafi sana hyo bi mkubwa ni miyeyusho ana Tamara sana
 
Pia bajeti ya kuwapa wabunge mitungi 100, isiwape wasiwasi wananchi pesa imetoka wapi, Ni hela ya bajeti , ambayo wabunge wamepitisha mwaka Jana.
Swali la msingi, hio mitungi 100 kwa kila mbunge ambayo Spika anadai ilipitishwa kwenye bajeti, wanaenda kupewa kina nani? Kwa utaratibu gani?
 
Mama Salma Kikwete akichangia bajeti ya nishati na madini leo, alimpongeza January Makamba kwa kuwapa kila mbunge mitungi ya gesi 100.

Lakini baada mwisho wa section ya spika akasimama kutolea maelezo juu ya hili, kwa ufupi.

Kuwa jamii isielewe vibaya juu hili ni ajili ya wabunge kwenda kwa wananchi kuwafundisha kutumia mitungi na umuhimu wa gesi.

Pia bajeti ya kuwapa wabunge mitungi 100, isiwape wasiwasi wananchi pesa imetoka wapi, Ni hela ya bajeti , ambayo wabunge wamepitisha mwaka Jana.

Swali; Kwanini spika kajitahidi sana kutetea hii issue ya mitungi mia ya Makamba?

Imetajwa 100, lakini si 100 kweli! Kila mbunge kachukua 300!!!
 
Back
Top Bottom