Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Lazima apite, sisi chawa tupoKwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Kwa aina hii ya Raia? Huyo ahata 20100 anaweza tawala, hii nchi hata mtoto wako Mchanga anaweza itawala, Hii ndio ncji simple kutawala Dunia nzimaKwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Nasubiria kuona kwenye kampeni kama ataruhusu maswali kutoka kwa wananchi wanyonge au ataendelea kuwarusha kwamba kero zao wapeleke kwenye vyombo vinavyohusika!Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
π€ Ashindwe kwa opposition gani au ipi?? Yaani nani atamshinda kwa mfanoπ€ wa chama gani? Huyu mumama baada ya kugundua opposition ni weak na disorganized ndani na nje ya chama chake akaona hata hakukua na haja ya kumzuia Mbowe gerezani na wala hakuna haja ya kuendelea kuzuia mikutano ya kisiasa. Hii ni baada ya yeye kuhakikisha angalau economically, socially and politically amefanya kitu ambacho anaweza simama mbele za watu kuelezea mafanikio.Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Leo kulikuwa na tafrani fulani pale Ubungo Plaza sijaelewa undani wake ila kundi fulani la UVCCM limeswagwa kwa fimbo na kuingia kwenye bus aina ya Eicher, halafu kulikuwa na tenga limeegeshwa karibu na gate linasubiri watakaokinukisha (kuna kakijikundi ni kama kalikodiwa vile)Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Kwa hali ilivyo, mama hata akitaka ajiongezee muda 2030 atapeta tu...Lazima apite, sisi chawa tupo
Waambie kabsaaaa wasikie. Idadi ya wapiga kura inazidi kushuka mwaka hadi mwaka kwa sababu wanajua upige usipige kura haileti tofautiNani kakudanganya ccm wanategemea kura?
Nakukumbusha before Hilo Kuna kikao nyeti zaid ya Hiko na ndicho kilicho muondoa Mh Lowasa. Kwenye hicho kikao huwa yeye sio mjumbe anajuwa mjumbe kama hataki kuendelea. EndKwa mfumo wetu jinsi ulivyo atapita kirahisi tu. Anachohitaji ni kuhakikisha CC ya chama wako happy na wameshiba, baada ya hapo ni wajumbe wa halmashauri na mkutano mkuu.
Ukifika wakati wa mpambano na vyama vya upinzani, atahakikisha katiba mpya ni baada ya uchaguzi mkuu, kwahiyo atakuwa na uhuru wa kutumia vyombo vya ulinzi na usalama husasani wale wahuni wasiojulikana ambao kwa sasa wako chini yake moja kwa moja kuhakikisha anapata matokeo anayotataka.
Kwa mfumo huu, there is only one way of removing a sitting president, and it's not worth the risk. So people will just wait till 2030 and hope that they can make things right.
Mmmmh Leo umesema hayoKwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
AiseeNi kiongozi muungwana Ila kazungukwa na kundi ambalo hawezi kujitoa, na bila Shaka wanamkaririsha kwamba Watahakikisha anashinda kwa kishindo. Tupiganie KATIBA kumaliza huu ugomvi.
Hakika.."A week is a long time in politics".
-Harold Wilson, former British Prime Minister.