Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama SSH anao uelewa mpana sana wa kinachoendelea tofauti na baadhi yetu tulioamua kuwa mawakala wa Kenya wenye hasira kwa kukosa hii biashara ya bandari na reli.Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Kama wewe ni mtanzania cha kufanya ni kuiombea hii nchi ina wajinga wengi sana. Watu rahisi sana kununulika na kutumika bila yao kujua kama wanatumika, nchi imejaa mazezeta.Mbona asilimia kubwa ya watz ulewa ni finyu
Ni MUNGU tu ndio anaweza amua lakini kwa Wanadamu Samia Suluhu Hassan ni Rais hadi 2030 tumkabidhi Mwinyi kijitiKwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Achà kumteteaNi kiongozi muungwana Ila kazungukwa na kundi ambalo hawezi kujitoa, na bila Shaka wanamkaririsha kwamba Watahakikisha anashinda kwa kishindo. Tupiganie KATIBA kumaliza huu ugomvi.
Kwa haya yanayoendelea sasa hapa Tanzania (ufujaji, upigaji na udalali wa rasimali za taifa), ni mwendewazimu pekee ( tena aliyevaa shati la kijani) anayeweza kuamini kuwa, Mama Samia anaweza kushinda kiti cha urais mwaka 2025. Naandika haya nikiwa na uhakika kamili kuwa, watanzania wengi sana (wakiwemo wanaCCM na makundi ya wanawake) wanamuona mama Samia kama kiongozi muoga, dhaifu na anayeongozwa kifikra na mtu au watu fulani wenye maslahi binafsi.
Mimi binafsi ninamuona Mama Samia kama kiongozi muungwana lakini mwenye uwezo mdogo wa kuweza kuongoza taifa.
Kwamba kamsafisha?Yule mbobezi angemsumbua now hayupo tena
Mnafaa kunyongwa kama chawaLazima apite, sisi chawa tupo
Wakati jpm akiwa hai!alipendwa na nani!!? ZAIDI ya mataga!!?Hapendwi,haaminiki na pia hana uwezo ila tuna bahati mbaya mno kama Taifa kuwa atapita.
Mmoja kakunja sura mwingine katazama pembeni! NDIO kusema hafati maelekezo ya rimoti SIKU HIZI!!?Hahahaaa!.Wivu,uchoyo,roho mbaya na ubinafsi wenu haviwezi kumrudisha mama Sa100 nyuma.Nenda mama ukaiponye nchi.View attachment 2654707
"Mama liwalo na liwe"siogopi chochote"Hahahaaa!.Wivu,uchoyo,roho mbaya na ubinafsi wenu haviwezi kumrudisha mama Sa100 nyuma.Nenda mama ukaiponye nchi.View attachment 2654707
Sure"A week is a long time in politics".
-Harold Wilson, former British Prime Minister.
Ukitaka kuwa na siha njema...achana na siasa za TanzaniaHapendwi,haaminiki na pia hana uwezo ila tuna bahati mbaya mno kama Taifa kuwa atapita.